Ushauri wa Kisaikolojia juu ya Hofu niliyonayo...

Natamani mtu angenipa ushauri huu ninao kupa Mapema kabla sijapoteza muda wangu miaka yote hiyo.. "Hakuna njia nyingine ya kusolve tatizo lako.. you are the problem but also you are the potential solution for that problem, Fanya hivi.. " Usitumie nguvu nyingi kuikataa hofu, utapoteza muda na effort bure, ushawahi kusumbuliwa na mtu jeuri mwanzo Ukawa unamwogopa Ila akawa anakuzonga mpaka ukafikia hatua ya Kumwambia "fanya chochote unachoweza maana umenitisha Sana Sasa nimechoka?"
Hakuna njia mkato ya kupambana na hofu, zaidi ya kuiruhusu ifanye chochote baada ya nafsi yako kuchoka.. kubaliana na kuwa hatarini muda wowote Mahali popote pale, fanya maamuzi huku ukitamani kujua Ni kipi kitatokea bila kuogopa, hiyo haimaanishi kuwa ufanye maamuzi hata ya kijinga kisa unataka Kupambana na tatizo la uoga, HAPANA! Njia nzuri Ni kuhakikisha unafanya kila Jambo kwa ufahamu wako wote (100%) na kwa juhudi zaidi ya watu wengine. Kwa haraka naweza sema utakua kwenye middle age crisis.. Kama Prediction yangu itakua ipo sawa Basi utakua kwenye Umri wa miaka 20 na kitu hivi (20's)

Hii Hali hua Ni ya muda tu, upo kwenye transition Period baada ya muda wa kufanya wrong choices and actions Basi utakua sawa Mkuu. Usiogope kufanya chochote unachotamani kufanya maana unaweza faulu ama kufeli, ukifaulu then good for you, Ila ukifeli pia Ni vyema maana Utaongeza hekima.. Be comfortable with being uncomfortable. Nimekua nikipitia tatizo Hilo Pia unaweza Ni PM tuone tunasaidianaje. Stay hard!
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri sana kiuhalisia nipo kwenye 20's haujakosea hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda mwingi baada ya kushindwa mambo kadhaa maishani mwangu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulishindwa ni kwanini
Unajifunza nini?
Ulishindwa kwa sababu ya mambo yaliyo ndani ama nje ya uwezo wako?

Rekebisha yale yaliyo ndani ya uwezo wako..ili next time uweze pata matokeo tofauti
Yaliyo nje ya uwezo mfano Kifo usiwaze sana
Endelea kujaribu lakini badili mbinu usitumie mbinu zile zile,badili mtizamo

Fikiria pia yale uliowahi fanikiwa...count ur blessings
Usisahau pia kila binadamu huwa anafeli.,
 
Mkuu ni Kama umenisema mimi tu. Hata mm pia ni muoga muoga Sana. Alafu na overthink vitu Sana. Yaaani unaweza kukuta kitu ni kidogo tu lakini nikakifikiria weeee baadaye na conclude mwenyewe sikiwezi. Na sitokifanya Tena.

Hali Hii Sijui imenianza Lini. Nlivyokuwa mdogo sikuwa hivi. Imefikia kipindi kila kitu kipya nakiogopa. Nna routine yangu Hiyo ndo Hiyo Hiyo anything outside that it's strange.

Mfano Few months ago Nimejaribu photography nimejifunza kidogo lakini mtu akiniambia nimpige picha naogopa kabisaaa najiuliza je asipotokea freshi? Naacha tenda Nampa mtu Mwingine.

Zamani nlikuwa naona kawaida ila naona slowly inaniaffect hata kwenye wellbeing yangu. Natafuta therapist though, siko Sawa.

Nadhani psychologist anaeza akasaidia.
 
Fikiria pia what if it goes right?ukafanikiwa?
Fikiria pia
Jiandae kwa hali zote
Mfano nikifanikiwa kitatokea 1,2,3
Na nikifeli kitatokea 1,2,3
Hata kama ni matokeo mabaya ama mazuri yatafakari yote na jaribu kufikiria utaishije baada ya hapo
Maisha ni kuendelea kupiga hatua

Nimejaribu Hii njia mkuu. Ila naona it's not working. Kwenye hiyo kufikiria Nini kitatokea ndo akili inapotea kabisa
 
Habari wakuu...


Naombeni Ushauri wenu hapa wa kisaikolojia. Mimi ni kijana ambaye nimekuwa na hali ya uoga kupita maelezo.

Pindi ninapoamua au kuwaza jambo fulani nimejikuta mapigo ya Moyo yanaenda mbio sana yakiambatana na hofu kubwa sana.

Hii hali imekuwa ikitawala sehemu kubwa ya Maisha yangu jambo linaweza kuwa dogo nitafikiria kwa kina sana hadi naishia kwenye depression kubwa..


Ushauri wakuu ili niweze kutoka kwenye hali hii maana inanipa shida kwenye maisha yanayonizunguka
wewe ni introvet kabisa
 
Mkuu ni Kama umenisema mimi tu. Hata mm pia ni muoga muoga Sana. Alafu na overthink vitu Sana. Yaaani unaweza kukuta kitu ni kidogo tu lakini nikakifikiria weeee baadaye na conclude mwenyewe sikiwezi. Na sitokifanya Tena.

Hali Hii Sijui imenianza Lini. Nlivyokuwa mdogo sikuwa hivi. Imefikia kipindi kila kitu kipya nakiogopa. Nna routine yangu Hiyo ndo Hiyo Hiyo anything outside that it's strange.

Mfano Few months ago Nimejaribu photography nimejifunza kidogo lakini mtu akiniambia nimpige picha naogopa kabisaaa najiuliza je asipotokea freshi? Naacha tenda Nampa mtu Mwingine.

Zamani nlikuwa naona kawaida ila naona slowly inaniaffect hata kwenye wellbeing yangu. Natafuta therapist though, siko Sawa.

Nadhani psychologist anaeza akasaidia.
Therapy really really helps

I recommend,

I have ever been to therapy
Inasaidia sanaa..kuna point inafika unaona huwezi endelea kubeba hali uliyonayo,
 
Habari wakuu...


Naombeni Ushauri wenu hapa wa kisaikolojia. Mimi ni kijana ambaye nimekuwa na hali ya uoga kupita maelezo.

Pindi ninapoamua au kuwaza jambo fulani nimejikuta mapigo ya Moyo yanaenda mbio sana yakiambatana na hofu kubwa sana.

Hii hali imekuwa ikitawala sehemu kubwa ya Maisha yangu jambo linaweza kuwa dogo nitafikiria kwa kina sana hadi naishia kwenye depression kubwa..


Ushauri wakuu ili niweze kutoka kwenye hali hii maana inanipa shida kwenye maisha yanayonizunguka
Subiri ukue kwanza halafu urudi kuomba ushauri
Sent from my Huawei
 
Back
Top Bottom