KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,156
Wewe hutaki kuelewa ninachoandika au unapindisha tu maksudi na kujifanya huelewi.Mimi nawaambia wanaojitambua wasipoteze muda wao kwenda kupanga mstari kwenye box la kura, labda itumike njia tofauti na hiyo ya box la kura. Kama wewe bado unaamini kuwatoa ccm kwa njia ya box la kura basi kazana kushawishi watu waende, mimi nimechagua kuwaambia kuwa box la kura ni kupoteza muda.
Ni wapi nilipoandika kuwa 'ninaamini kuwa kupiga kura na kuishia hapo' ndio itakuwa njia ya kuwaondoa CCM?
Huwezi kuwa mtu 'unayejitambua' halafu ukaacha kupigania haki yako. Huenda huelewi maana ya "kujitambua."