Ushauri: Kilimo gani nifanye kwa mtaji wa Shilingi milioni 20?

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Jul 5, 2011
784
326
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
 
mkuu kama unataka kufuga inabidi ukae kule. huwezi kukaa mbali na biashara hiyo. maziwa yana soko sana na kule kupata malisho sio shida. na ukiweza kuwazalisha vizuri unapowauza utapata fedha ya kutosha.
kama unapenda matunda usilime tikiti lima passion fruit. kwa sasa ina bei nzuri na bei yake haichezi chezi sana kama tikiti. Matango au bamia au jamii nyingine ya mbogamboga pia nayo ni nzuri kama shamba lina maji ya kutosha.
 
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
Hilo Shamba lako lina maji?
 
mkuu kama unataka kufuga inabidi ukae kule. huwezi kukaa mbali na biashara hiyo. maziwa yana soko sana na kule kupata malisho sio shida. na ukiweza kuwazalisha vizuri unapowauza utapata fedha ya kutosha.
kama unapenda matunda usilime tikiti lima passion fruit. kwa sasa ina bei nzuri na bei yake haichezi chezi sana kama tikiti. Matango au bamia au jamii nyingine ya mbogamboga pia nayo ni nzuri kama shamba lina maji ya kutosha.
Hivi passion inachukua mda gani toka kupanda hadi kuvuna?
 
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
Njoo rungwe au mtume mwakilishi unaemwamini ununue ndizi na upeleke lilongwe-malawi kwa week utapeleka mzigo mara mbili na mzigo unagombaniwa... Mtaji pamoja na usafirishaji na kodi andaa million nne tuu....gharama za matumizi huku sio za kutisha kama dar es laam mara nyingi faida hucheza kwenye 600k-700k kwa trip moja..nipigie nkuelekeze vizuri 0765891704
 
Mimi nalima tena niko mbali sana na mashamba yalipo lakini si haba, tija naiona baada ya kupata mtu makini anayesimamia. Kilimo cha Tamzania kinahitaji mambo matano muhimu.
1. Usimamiaji
2. Usimamiaji
3. Usimamiaji
4. Mtaji
5. Soko litakalokufanya uuze mazao yako kwa wakati wowote unapotaka na muda muafaka.
Mtaji wako ungekuwa milioni 80-100; ningekushirikisha kilimo nacholima.
 
Mimi nalima tena niko mbali sana na mashamba yalipo lakini si haba, tija naiona baada ya kupata mtu makini anayesimamia. Kilimo cha Tamzania kinahitaji mambo matano muhimu.
1. Usimamiaji
2. Usimamiaji
3. Usimamiaji
4. Mtaji
5. Soko litakalokufanya uuze mazao yako kwa wakati wowote unapotaka na muda muafaka.
Mtaji wako ungekuwa milioni 80-100; ningekushirikisha kilimo nacholima.
Unaweza tushirikisha ikawa faida kwa wote
 
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.

fuga nguruwe ikizid sana milioni 10

nunua majike wa nne na dume moja.

nunua kirikuru kwa ajili ya kukusanya vyakula sokoni.

tengeneza mabanda ya ukuta nusu na juu mabati maana wapate upepo.

tengeneza bustani kwa ajili ya kama nyanya,matunda yani vile vitu ukipeleka sokoni na kama vikishindikana unalisha nguruwe
 
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
Wekeza kulima mazao kama Mboga mboga hayana risk kubwa na pia Demand ni kubwa mno kama una maji lakini ya kumwagilia.
 
Back
Top Bottom