Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,186
Salaam wanaJF.
Kutokana na uzoefu wangu binafsi wa maisha hadi sasa na uelekeo wa dunia unavyokwemda, nina washauri vijana waliopo Sekondari, wazazi au walezi tunaowafanyia maamuzi, au mtu yeyote uliye kwenye nafasi ya kushawishi maamuzi, ni vyema kijana atakapomaliza kidato cha Sita, ajiunge na chuo cha ufundi wowote mfano Magari, Useremala, Umeme [ na yanayofanana na hayo], kisha ndio aendelee na elimu ya Chuo kikuu kwa masuala ayatakayo kama Udaktari, Sheria, Ualimu n.k.
Hii faida zake ni mbili,
Moja unapokuwa Chuo unaweza kuwa unafanya vijikazi viwili vitatu [vinakupa hela ya kujikimu na pili inakuongezea ujuzi].
Pili; Utakapomaliza Chuo ukiwa mtaani walau unakuwa na ujuzi wa kuingizia pesa kabla hujapata ajira ya ndoto yako. Lakini pia hata ukiwa na ajira ya ndoto zako, haiharibu kitu unapokuwa daktari huku una kampuni yako ya ufundi seremala.
Inawezekana ikiwa tu utaweka aibu za kijinga pembeni na ukaamua kusimamia kile kinachokufaa.
Kutokana na uzoefu wangu binafsi wa maisha hadi sasa na uelekeo wa dunia unavyokwemda, nina washauri vijana waliopo Sekondari, wazazi au walezi tunaowafanyia maamuzi, au mtu yeyote uliye kwenye nafasi ya kushawishi maamuzi, ni vyema kijana atakapomaliza kidato cha Sita, ajiunge na chuo cha ufundi wowote mfano Magari, Useremala, Umeme [ na yanayofanana na hayo], kisha ndio aendelee na elimu ya Chuo kikuu kwa masuala ayatakayo kama Udaktari, Sheria, Ualimu n.k.
Hii faida zake ni mbili,
Moja unapokuwa Chuo unaweza kuwa unafanya vijikazi viwili vitatu [vinakupa hela ya kujikimu na pili inakuongezea ujuzi].
Pili; Utakapomaliza Chuo ukiwa mtaani walau unakuwa na ujuzi wa kuingizia pesa kabla hujapata ajira ya ndoto yako. Lakini pia hata ukiwa na ajira ya ndoto zako, haiharibu kitu unapokuwa daktari huku una kampuni yako ya ufundi seremala.
Inawezekana ikiwa tu utaweka aibu za kijinga pembeni na ukaamua kusimamia kile kinachokufaa.