ndagabwene
Member
- May 4, 2012
- 43
- 6
Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110