Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110
 
Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110

unthinkables ..... wewe umefanikiwaje ... una ushahidi?
 
Fungua internet cafe na pemben yake stationary,unaeza ukaanza na comp 10 desk top,printer scanner,photocopy machine,n.k
cafe goes together with stationary kwa mjin inalipa
you can take this or leave it

Internet cafe haiwezi kukulipa siku hizi watu wanatumia simu zao ku browse wewe, na wenye uwezo wana laptop zao ma modem hivyo biashara hiyo unaweza kupata kasara tu.
 
Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110

Kuna mama ntilie na baba ntilie lundo hapo mjini mbona hamuwachukui huko Holiday Out kwenu? kama kweli ndani ya milioni moja unaweza kutoka basi wasaidieni hawa mama ntilie na wanaofanana na hao.

Naamini kwa level ya huyu jamaa, ni vizuri kumshauri biashara endelevu ili pamoja na kupata faida achangie kupunguza tatizo la ajira kwa wenzetu.
 
Unatakiwa kwanza uweke wazi una interest ktk biashara gani halafu watu waje kukupa changamoto ya hizo biashara, kwa mtindo huu ni kuwafanya watu wapige ramli. Hapo chini hizo ni idea ambazo nilizisave kutoka kwa JF member jina nimesahau

BUSINESS ACTIVITIES IDEAS

1.Mining and quarrying of asbestos, mica, quartz, gem stones, abrasives, asphalt and bitumen, other non-metallic minerals, n.e.c.
2 Slaughtering, preparing and preserving meat, including sausage, edible animal
3 Processing of inedible oils and fats.

4 Canning, preserving and processing of fish, crustacean and similar foods (except soups).
5 Production of fish meal.
6 Canning and preserving fruits and vegetables n.e.c. (e.g. baked beans, grape
7 Potato flour and meal.
8 Processing of fruits and vegetables n.e.c. (e.g. baked beans, grape sugar,
9 Manufacture of vegetable and animal oils and fats.
10 Manufacture of dairy products.
11 Grain milling: flour, meal, cereal grains; rice milling; vegetable milling; manufacture of breakfast food.
12 Grain milling residue.
13 Manufacture of meal, cake of vegetables, nuts.
14 Manufacture of tapioca; wet corn milling.
15 Manufacture of starch products n.e.c.
16 Manufacture of prepared animal feeds.
17 Manufacture of bakery products (bread, pastry, etc.).
18 Sugar factories and refineries.
19 Production of maple sugar, invert sugar, sugars other than cane or beet.
20 Manufacture of cocoa, chocolate and sugar confectionery.
21 Manufacture of macaroni, noodles, couscous and similar farinaceous products.
22 Manufacture of soup containing meat.
23 Manufacture of soups of vegetables and fruit.
24 Manufacture of fish and seafood soups and specialties.
25 Manufacture of nut foods.
26 Manufacture of soft drinks; production of mineral waters.
27 Preparation and spinning of textile fibers; weaving of textiles.
28 Finishing of textiles.
29 Manufacture of made-up textile articles, except apparel.
30 Manufacture of carpets and rugs.
31 Manufacture of cordage, rope, twine and netting.
32 Manufacture of narrow fabrics, braids, lace.
33 Manufacture of fabric for industrial use, wicks; textiles, n.e.c (e.g. felt, coated or laminated fabrics, painters cloths).
34 Manufacture of knitted and crocheted fabrics and articles.
35 Manufacture of wearing apparel, except fur apparel.
36 Manufacture of artificial fur; horsehair.
37 Manufacture of fur apparel, accessories, trimmings.
38 Fur dressing and dyeing industries.
39 Tanning and dressing of leather.
40 Manufacture of luggage, handbags and the like, saddlery and harness.
41 Manufacture of footwear, except vulcanized or moulded rubber or plastics footwear.
42 Manufacture of footwear wholly of wood.
43 Manufacture of footwear of paper.
44 Manufacture of footwear primarily of vulcanized or moulded rubber.
45 Manufacture of plastics footwear.
46 Sawmilling and planing of wood, including by-products; manufacture of unassembled.
47 Manufacture of wood flour, sawdust.
48 Manufacture of veneers, sheets, plywood, laminated wood, particle board.
49 Manufacture of fibre board, other building board.
50 Manufacture of builders' carpentry and joinery.
51 Manufacture of coopers' products of wood.
52 Manufacture of other products of wood; manufacture of articles of cork, straw and plaiting materials.
53 Manufacture of plaiting materials; baskets and other articles of cane, plaiting materials.
54 Cork processing; manufacture of cork products; small wares of wood, such as tools household utensils, ornaments, caskets, cases; wood articles n.e.c.
55 Manufacture of furnishings of wood, e.g. coat racks, window blinds (not standing furniture).
56 Manufacture of pulp, paper, paperboard.
57 Manufacture of off-machine coated, glazed, gummed, laminated paper and paperboard.
58 Manufacture of carbon paper in rolls or sheets.
59 Manufacture of corrugated paper or paperboard.
60 Manufacture of containers and boxes of paper and paperboard.
61 Manufacture of other articles of paper and paperboard such as plates, utensils,
62 Printing or embossing of stationery and labels.
63 Manufacture of carbon paper, cut to size.
64 Publishing of books, brochures, musical books and other publications.
65 Publishing of newspapers, journals and periodicals.
66 Publishing of recorded media.
67 Other publishing (photos, engravings, postcards, timetables, forms, posters, art reproductions, etc.
68 Printing (periodicals, books, maps, music, posters, catalogues, stamps, currency on account of publishers, producers, government, others) .
69 Service activities related to printing (bookbinding, production of type, plates,etc.)
70 Reproduction of records, audio computer tapes from master copies; reproduction of floppy, hard compact disks.
71 Film and video reproduction.
72 Petroleum refineries.
73 Manufacture of petroleum refinery products from purchased materials.
74 Processing of nuclear fuel.
75 Manufacture of basic chemicals, except fertilizers and nitrogen compounds.
76 Manufacture of products of the nitrogenous fertilizer industry(nitric acid, ammonia, nitrate of potassium, urea).
77 Manufacture of straight, mixed, compound and complex nitrogenous,
78 Manufacture of plastics in primary forms and of synthetic rubber.
79 Manufacture of pesticides and other agro-chemical products.
80 Manufacture of paints, varnishes and lacquers.
81 Manufacture of printers' ink.
82 Manufacture of artists' colours, paints.
83 Manufacture of drugs and medicines.
84 Manufacture of surgical, medical dressings, sutures, bandages; cements used in dentistry.
85 Manufacture of soap and cleaning preparations, perfumes cosmetics and other toilet preparations.
86 Manufacture of polishes for furniture, metal, etc., waxes; deodorizing preparations
87 Edible salt refining.
88 Manufacture of activated carbon; anti-freeze preparations; chemical products for industrial and laboratory use.
89 Manufacture of writing and drawing ink; gelatin products; photochemical products,
90 Manufacture of synthetic filament yarns (spinning and weaving of purchased man-made fibres).
91 Manufacture of man-made filament tow or staple fibres, except glass rubber tyres.
92 Manufacture of rubber tyres and tubes; retreading and rebuilding of rubber tyres
93 Manufacture of synthetic rubber products in basic forms: sheets, rods, etc.
94 Manufacture of tube repair materials.
95 Manufacture of finished or semi-finished products n.e.c. of natural or synthetic rubber (e.g. industrial, pharmaceutical, apparel articles).
96 Manufacture of made-up plastics textile goods, except wearing apparel
97 Manufacture of plastics products in basic forms: sheets, rods, tubes, etc.
98 Manufacture of plastics articles n.e.c. (dinnerware, tiles, builders' parts, etc.)
99 Manufacture of yarn of glass fibres.
100 Manufacture of glass and glass products.
101 Manufacture of glass wool.
102 Manufacture of non-structural non-refractory ceramic ware (pottery, china and earthenware).
103 Manufacture of refractory clay products.
104 Manufacture of non-clay refractory products.
105 Manufacture of structural non-refractory clay and ceramic products.
106 Manufacture of cement, lime and plaster.
107 Manufacture of articles of concrete, cement and plaster.
108 Private Motorvehicles
109 Growing of cereals and other crop n.e.c. (not elsewhere classified).
110 Growing of vegetables, horticultural specialties and nursery products.
111 Gathering of mushrooms, truffles.
112 Growing of fruit, nuts, beverage and spice crops.
113 Farming of cattle, sheep, goats, horses, asses, mules, hinnies; dairy farming.
114 Raising domesticated or wild animals n.e.c (e.g. poultry).
115 Poultry hatchery, silkworm raising, on a fee or contract basis.
116 Growing of crops combined with farming of animals (mixed farming).
117 Landscape gardening.
118 Agricultural and animal husbandry service activities, on a fee contract basis.
119 Cotton ginning.
120 Hunting trapping and game propagation.
121 Catching of sea mammals.
122 Catching of animals in inland waters (e.g. frogs).
123 Tree nurseries, except forest trees.
124 Forestry and related services activities.
125 Logging.
126 Ocean and coastal fishing.
127 Fishing in land waters; fish hatcheries, cultivated beds; fishery service activities.
128 Central banking
129 Monetary intermediation of commercial and other banks
130 Monetary intermediation of savings banks and credit institutions other than banks
131 Financial leasing
132 Other credit granting
133 Financial intermediation by credit institutions other than banks n.e.c.
134 Distributing funds other than by making loans
135 Life insurance
136 Pension funding
137 Non-life insurance
138 Administration of financial markets
139 Security dealing activities
140 Activities auxiliary to financial intermediation; Bureau de change
141 Activities auxiliary to financial intermediation n.e.c.
142 Activities auxiliary to insurance and pension funding
143 Real estate activities with own or leased property
144 Real estate activities on a fee or contract basis
145 Renting of land transport equipment
146 Renting of motorcycles
147 Renting of water transport equipment (without operator)
148 Renting of air transport equipment (without operator)
149 Renting of agricultural machinery and equipment
150 Renting of construction and civil engineering machinery and equipment
151 Renting of office machinery and equipment (including computers)
152 Renting of other machinery and equipment n.e.c.
153 Renting of goods to the general public for personal or household use
154 Renting of office furniture
155 Renting of video tapes
156 Renting of theatrical equipment
157 Renting of creational goods n.e.c. (e.g. bicycles, saddle-horses, pleasure craft,
158 Hardware consultancy
159 Software consultancy and supply
160 Data processing
161 Data base activities
162 Repair of office, computing and accounting machinery
163 Repair of typewriters
164 Other computer related activities
165 Research and experimental development on natural sciences and engineering
166 Basic and general research in the biological, medical and physical sciences
167 Research and experimental development on social sciences and humanities (SSH)
168 Legal activities
169 Market research and public opinion polling
170 Maintenance facilities for road transport
171 Maintenance and repair of motor vehicles
172 Wholesale of motor vehicle parts and accessories
173 Retail sale of motor vehicle parts and accessories
174 Wholesale of motorcycles and snowmobiles and related parts and accessories
175 Retail sale of motorcycles and snowmobiles and related parts and accessories
176 Maintenance and repair of motorcycles and related parts
177 Maintenance and repair of snowmobiles
178 Retail sale of automotive fuel
179 Wholesale on a fee or contract basis
180 Wholesale of agricultural raw materials and live animals
181 Wholesale of food, beverages and tobacco
182 Wholesale of textiles, clothing and footwear
183 Wholesale of other household goods
184 Wholesale of solid and gaseous fuels and related products
185 Wholesale of metals and metal ores
186 Wholesale of construction materials, hardware, plumbing and heating equipment and supplies
187 Wholesale of other intermediate products, waste and scrap
188 Wholesale of machinery, equipment and supplies
189 Other wholesale
190 Retail sale in non-specialized stores with food, beverages or tobacco predominating
191 Other retail sale in non-specialized stores
192 Retail sale of food, beverages and tobacco in specialized stores
193 Retail sale of pharmaceutical and medical goods, cosmetic and toilet articles
194 Retail sale of textiles, clothing, footwear and leather goods
195 Retail sale of household appliances, articles and equipment
196 Retail sale of hardware, paints and glass
197 Other retail sale in specialized stores
198 Retail sale of second-hand goods in stores
199 Retail sale via mail order houses
200 Retail sale via stalls and markets
 
Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110

Mkuu Hamkati Tamaa? KABLA HUJAKARIBISHA WATU HUKO TUMEISHA JUA UNAZUNGUMZIA, GNLD, FOREVER LIVING NA KAZALIKA

Mkuu, China si dhani kama ipo hapo ilipo kwa Biashara kama hizi mnazo taka kuwaaminisha watu hapa, Huu ndo ukoloni mbaya kabisa kulikohata wa zamani, kwani wewe ukija na wazo lako la Kufuga kuku hutafanikiwa? hata kama ni baada ya miaka kadhaa?

ACHENI MAMBO YA AJABU NA BIASHARA ZENU ZISIZO KUWA NA TIJA KWA TAIFA, PENDA PRODUCT ZA NCHI YENU HATA KAMA NI MBAYA NA SI KUKOMAA NA PYRAMID ZA MADAWA YA WAZUNGU
 
Naweza kukushauri ufanye biashara kama tatu hivi zitakazoweza kukutoa haraka
1. Tafuta mashine za kchapisha zilizotumika used offset machine zinapatikana saana Germany,Belgium na kwingineko euro kisha agiza aina tatu moja ya kuchapa ya pili kisu cha kukata makaratasi na mwisho finisher ukifanikiwa kuzileta hapa nchini hazina ushuru isipokuwa 5%ya VAT tu hakika utapata tenda nyingii hasa katika halmasauri na makampni kama Tigo voda nk.
2.Unaweza kuanzisha kiwada kidogocha kutengeneza sabui za miche na liquid mtaji wake si mkubwa nadhani 15 Mil inatosha nenda Kigma uogea na wakulima wa mawese upate japo tani 20 za mafuta ya mise kwa wiki tengeneza brand yako isajili TBS Muda si mrefu utaweza kuwanza production ukipata costic soda na material kama box na mifuko kwa ajili ya parking unaweza kuuza sabuni zako kila mwezi ukafanya production mara 5 faida ni kubwa nitakupa michanganuo ukiwa upo intrested ni PM
3.Sasa hivi kuna machnjio ya kisasa huko Dodoma unakwenda shinyanga na tabora kuna minada mingi ya mifugo
 
Katika karne hii kuna biashara mtu waweza fanya na ukatengeneza faida kubwa kuliko matarajio ila tu hii biashara wengi hatuifahamu jinsi ya kuifanya na wala haiitaji kupata eneo mahali ili uifanye,ua kulipa koi kwa wingi bila hata ya kuona faida kwanza na mtaji wa biashara hii ni mdogo kiasi kwamba hizo milioni 30 zaweza kaa tu benki kiasi kama cha milioni 29 hivi na zikazaa hela nyingi huku millioni moja tu ikifanya kazi tena bila hata ya kutoa makodi mengi na hongo kweye leseni ya biashara.karibu kwenye workshop ya ufahamu juu ya biashara hii na jinsi gani ya kuifanya.kama uko hapa Dar ni vizuri zaidi na ni rahisi kukupata au hata mkoani sawa tu cha msingi mawasiliano.jumamosi hii tupo HOLIDAY INN POSTA kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 8 mchana,contribution ni tshs 10000/=au wasiliana nasi kwa namba 0657117377/0762395110

...Iweke hadharani ili JF waichambue hiyo biashara yako. Namna hiyo utakuwa umemsaidia zaidi member anayetaka ushauri na wengineo wengi! Unaogopa nini?? Yale mambo yetu yaleee???
:eyebrows: :eyebrows:
 
Habari zenu wana JF..
Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini unaoendelea katika bara za nchi za afrika. kama mnavyojua nchi yetu ta TZ kwa sasa imekumbwa na dhiki ya ajira kwa vijana kwa muda mrefu, mbali na ivo nimethubutu kabisa kukataa kuajiriwa na kutaka kuanzisha biashara ambayo hapo baadaye inaweza ikawa chachu ya ajira kwa vijana wenzangu.
Nimeweza kupata mkopo usio na riba wa TSH MILLION 30 kutoka kwa kaka yangu kwa ajili ya kuanzisha biashara nitakayoidumu, Ivyo basi nimekuja kwenu GREAT THINKERS kuomba ushauri juu ya biashara gani inafaa kwa sasa ukitegemea na mtaji husika.
Ushauri wenu ni muhimu sana.
Ahsanten.

Muone Nathan Mpangala wa ITV atakusaidia maana kuna kibonzo cha jana na juzi kitakuelimisha nikiwa kwenye pc nitakuattachia.
 
Nathan Mpangala ITV.JPG
Msikilize Nathani Mpangala
 
...Huyu member na kaka yake wote wameishashindwa hata kabla ya kuanza! Kaka mtu anaweza kutoa Milioni 30 kwa mdogo mtu ambaye hajajua hata azifanyie nini mpaka aje kuuliza JF??

Hivi ni Kipi Kinachotangulia? Wazo la Biashara ndipo Utafute Mtaji ama Mtaji Kwanza Ndipo Utafute Ufanye nini Nao ????
 
Hi

As you start the new thinking, you might as well be opening your mind for new ideas.



One of the fastest growing new idea in the world of business today in the NETWORK MARKETING BUSINESS.



This might be an alternative business for you or for your friends and relatives.



Because it is a new concept I will need to meet them for more explanation so that they can understand how network marketing business works.



In brief network marketing is a result of a new revolution in the distribution of goods and services. So it is ideally a new distribution concept.



The traditional distributional model has a lot of inefficiencies that has led to the birth of this new concept.




Networking is a fabulous way to make a wonderful income, help the people you care about and build residual income, also known as passive income.

But the thing that most people don't realize is that, there are a lot of other non-monetary benefits that are available in the network marketing industry which you can not find them anywhere else.

The attached document by Robert Kiyosaki provides a summary of 8 hidden values of the NETWORK MARKETING BUSINESS, values other the potential to make lots of money.

Hope you will enjoy reading the attached document and you will be generous enough to share it with friends and relatives who you believe are open minded to new ideas and they dream of a better future.

For those who may wish to explore the concept in more detail I will be happy to meet them, guide them through so that they can gather the neccessary facts for them to make the right decision.

As I write to you now, there is quite a good number of Tanzanians who are earning very good money from their network marketing businesses. But what sets network marketing apart from all the other businesses you know is the LIFESTYLE it provides.

What we do in this business is to grow people to the extent that your earning of income is not dependent on your presence. Your success depends on helping other people reach success. And this makes it the wonderfull business in the world.

I'll be happy to receive your comments. If you are happy to meet we can schedule an appointment and meet to discuss the idea in more details. For more information please contact us through email:21century.bussiness@gmail.com


Thanks
 
...Huyu member na kaka yake wote wameishashindwa hata kabla ya kuanza! Kaka mtu anaweza kutoa Milioni 30 kwa mdogo mtu ambaye hajajua hata azifanyie nini mpaka aje kuuliza JF??

Hivi ni Kipi Kinachotangulia? Wazo la Biashara ndipo Utafute Mtaji ama Mtaji Kwanza Ndipo Utafute Ufanye nini Nao ????

mkuu,najua kinachotangulia ni wazo la biashara,hapa nataka nieleweke kuwa kuwashirikisha watu kunaweza kuleta mabadiliko. Naamini kabisa mawazo mbalimbali kutoka kwa watu tofauti inaweza ikawa ni mwanzo wa wazo bora zaidi na lenye tija.
 
Internet cafe haiwezi kukulipa siku hizi watu wanatumia simu zao ku browse wewe, na wenye uwezo wana laptop zao ma modem hivyo biashara hiyo unaweza kupata kasara tu.

...Mkuu, bado Internet cafe ni biashara nzuri tu na ndio maana hata huko zinakotengenezwa Lsptop na Simu zenye Internet bado Huduma ya Internet Cafe inaendelea. Suala ni huduma ya Nyongeza kama ambavyo mkuu amesema kuwa unaweka Printer, PhotoCopy Scanner na Kadhalika,ukijumlisha na eneo zuri la Biashara...
 
Nashukuru sana wana JF kwa mawazo yenu mlionipatia kipindi cha miezi ya nyuma,nami niliyachukua na kuyaweza kuyafanyia kazi kwa kufanya tafiti mbalimbali,kusema ukweli nimegundua mengi sana kwenye ulimwengu wa biashara.,nimejaribu kusafiri sehemu mbalimbali zisizozidi kumi kwa ajili kufanya uchunguzi,vilevile nimejaribu kukutana na watu mbalimbali waliopo kwenye huo ulimwengu wa biashara na kugundua faida na changamoto za biashara.,hata ivo sikuwa nyuma katika usomaji wa vitabu na vijarida mbalimbali kupitia internet na kwa bahati nzuri hizi huduma kwa sasa zinapatikana kwa ukaribu zaidi.

Ukweli ni kwamba biashara ni zaidi ya kile unachofikiria kichwani, ni zaidi ya kukaa nyumbani na kuamka kesho yake asubuhi na kufanya biashara,biashara inahitaji tafiti mbalimbali ili kuifanya biashara yako iwe bora na iwe tofauti na biashara nyingine.
Nashukuru sana,tayari nimefanya maamuzi ya biashara na tayari mwezi huu wa 11 tunaanza kuifanyia kazi,wengi watajiuliza ni biashara gani.!!,nami nahitaji kuwatoa hofu ya kwamba ni biashara ambayo kila mtanzania anaiweza kuifanya haijalishi una kipato kidogo ama kikubwa cha zaidi ni kufanya maamuzi. Sijatofautiana sana na wenzangu katika hiyo biashara nilichokifanya hapo wataalam wanasena n ku "add Value". natumaini nitarudisha mrejesho juu ya maendeleo ya biashara.
Ndg. vijana wenzangu acheni kulala nyumbani,sumbua kichwa na naamini hakuna kinachoshindikana. ni hayo tu kwa leo.!!! Nitarejea tena...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom