Habari zenu wana JF..
Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini unaoendelea katika bara za nchi za afrika. kama mnavyojua nchi yetu ta TZ kwa sasa imekumbwa na dhiki ya ajira kwa vijana kwa muda mrefu, mbali na ivo nimethubutu kabisa kukataa kuajiriwa na kutaka kuanzisha biashara ambayo hapo baadaye inaweza ikawa chachu ya ajira kwa vijana wenzangu.
Nimeweza kupata mkopo usio na riba wa TSH MILLION 30 kutoka kwa kaka yangu kwa ajili ya kuanzisha biashara nitakayoidumu, Ivyo basi nimekuja kwenu GREAT THINKERS kuomba ushauri juu ya biashara gani inafaa kwa sasa ukitegemea na mtaji husika.
Ushauri wenu ni muhimu sana.
Ahsanten.
MWEZI MMOJA BAADA YA USHAURI WA JF..!!
Nashukuru sana wana JF kwa mawazo yenu mlionipatia kipindi cha miezi ya nyuma,nami niliyachukua na kuyaweza kuyafanyia kazi kwa kufanya tafiti mbalimbali,kusema ukweli nimegundua mengi sana kwenye ulimwengu wa biashara.,nimejaribu kusafiri sehemu mbalimbali zisizozidi kumi kwa ajili kufanya uchunguzi,vilevile nimejaribu kukutana na watu mbalimbali waliopo kwenye huo ulimwengu wa biashara na kugundua faida na changamoto za biashara.,hata ivo sikuwa nyuma katika usomaji wa vitabu na vijarida mbalimbali kupitia internet na kwa bahati nzuri hizi huduma kwa sasa zinapatikana kwa ukaribu zaidi.
Ukweli ni kwamba biashara ni zaidi ya kile unachofikiria kichwani, ni zaidi ya kukaa nyumbani na kuamka kesho yake asubuhi na kufanya biashara,biashara inahitaji tafiti mbalimbali ili kuifanya biashara yako iwe bora na iwe tofauti na biashara nyingine.
Nashukuru sana,tayari nimefanya maamuzi ya biashara na tayari mwezi huu wa 11 tunaanza kuifanyia kazi,wengi watajiuliza ni biashara gani.!!,nami nahitaji kuwatoa hofu ya kwamba ni biashara ambayo kila mtanzania anaiweza kuifanya haijalishi una kipato kidogo ama kikubwa cha zaidi ni kufanya maamuzi. Sijatofautiana sana na wenzangu katika hiyo biashara nilichokifanya hapo wataalam wanasena n ku "add Value". natumaini nitarudisha mrejesho juu ya maendeleo ya biashara.
Ndg. vijana wenzangu acheni kulala nyumbani,sumbua kichwa na naamini hakuna kinachoshindikana. ni hayo tu kwa leo.!!! Nitarejea tena...
Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini unaoendelea katika bara za nchi za afrika. kama mnavyojua nchi yetu ta TZ kwa sasa imekumbwa na dhiki ya ajira kwa vijana kwa muda mrefu, mbali na ivo nimethubutu kabisa kukataa kuajiriwa na kutaka kuanzisha biashara ambayo hapo baadaye inaweza ikawa chachu ya ajira kwa vijana wenzangu.
Nimeweza kupata mkopo usio na riba wa TSH MILLION 30 kutoka kwa kaka yangu kwa ajili ya kuanzisha biashara nitakayoidumu, Ivyo basi nimekuja kwenu GREAT THINKERS kuomba ushauri juu ya biashara gani inafaa kwa sasa ukitegemea na mtaji husika.
Ushauri wenu ni muhimu sana.
Ahsanten.
MWEZI MMOJA BAADA YA USHAURI WA JF..!!
Nashukuru sana wana JF kwa mawazo yenu mlionipatia kipindi cha miezi ya nyuma,nami niliyachukua na kuyaweza kuyafanyia kazi kwa kufanya tafiti mbalimbali,kusema ukweli nimegundua mengi sana kwenye ulimwengu wa biashara.,nimejaribu kusafiri sehemu mbalimbali zisizozidi kumi kwa ajili kufanya uchunguzi,vilevile nimejaribu kukutana na watu mbalimbali waliopo kwenye huo ulimwengu wa biashara na kugundua faida na changamoto za biashara.,hata ivo sikuwa nyuma katika usomaji wa vitabu na vijarida mbalimbali kupitia internet na kwa bahati nzuri hizi huduma kwa sasa zinapatikana kwa ukaribu zaidi.
Ukweli ni kwamba biashara ni zaidi ya kile unachofikiria kichwani, ni zaidi ya kukaa nyumbani na kuamka kesho yake asubuhi na kufanya biashara,biashara inahitaji tafiti mbalimbali ili kuifanya biashara yako iwe bora na iwe tofauti na biashara nyingine.
Nashukuru sana,tayari nimefanya maamuzi ya biashara na tayari mwezi huu wa 11 tunaanza kuifanyia kazi,wengi watajiuliza ni biashara gani.!!,nami nahitaji kuwatoa hofu ya kwamba ni biashara ambayo kila mtanzania anaiweza kuifanya haijalishi una kipato kidogo ama kikubwa cha zaidi ni kufanya maamuzi. Sijatofautiana sana na wenzangu katika hiyo biashara nilichokifanya hapo wataalam wanasena n ku "add Value". natumaini nitarudisha mrejesho juu ya maendeleo ya biashara.
Ndg. vijana wenzangu acheni kulala nyumbani,sumbua kichwa na naamini hakuna kinachoshindikana. ni hayo tu kwa leo.!!! Nitarejea tena...