Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,100
Kwanza pole sana Lulu kwa matatizo,
Ila ili upate uhuru wa moyo na nafsi nitakuomba utulize akili umalize time yako urudi nyumbani ili watesi wako wasipate sababu ya kukunanga tena.
Ila sasa Wakati ukiwa huko gerezani, fanya hili:
Wewe ni mtu maarufu na una jina kubwa katika sector ya Sanaa na ulimbwende. Fanya mawasiliano na watu wa hapo gerezani wanaozalisha vifaa mbalimbali na kuviuza huku nje.... Mf: wanatengeneza viatu, mabegi, kofia, makapeti nk.
Tafuta Meneja masoko wako wa huku nje, apeleke brand Huko gerezan na uchague moja ya bidhaa unayotaka kuibrand kwa jina lako, then zalisha na utuletee huku nje..... (Ushauri huu unategemea na namna magereza ya TZ yanavyofanya kazi) but najua hutokosa la Kufanya ukiwa Huko ndani.
Nimeshauri nikirejea namna ambavyo wasanii wa nchi nyingine wanavyotumia time zao za jela Kuandaa project na wakitoka ni mwendo wa kupiga hela tu.....
Rejea: lil wyne, Chris brown, na wengine wengi.....
NB: ushauri huu una hati miliki.
Ila ili upate uhuru wa moyo na nafsi nitakuomba utulize akili umalize time yako urudi nyumbani ili watesi wako wasipate sababu ya kukunanga tena.
Ila sasa Wakati ukiwa huko gerezani, fanya hili:
Wewe ni mtu maarufu na una jina kubwa katika sector ya Sanaa na ulimbwende. Fanya mawasiliano na watu wa hapo gerezani wanaozalisha vifaa mbalimbali na kuviuza huku nje.... Mf: wanatengeneza viatu, mabegi, kofia, makapeti nk.
Tafuta Meneja masoko wako wa huku nje, apeleke brand Huko gerezan na uchague moja ya bidhaa unayotaka kuibrand kwa jina lako, then zalisha na utuletee huku nje..... (Ushauri huu unategemea na namna magereza ya TZ yanavyofanya kazi) but najua hutokosa la Kufanya ukiwa Huko ndani.
Nimeshauri nikirejea namna ambavyo wasanii wa nchi nyingine wanavyotumia time zao za jela Kuandaa project na wakitoka ni mwendo wa kupiga hela tu.....
Rejea: lil wyne, Chris brown, na wengine wengi.....
NB: ushauri huu una hati miliki.