mputura
Member
- May 20, 2013
- 24
- 49
Habari wadau,
Nahitaji nipate ushauri wa mawazo na wakitaalam pia juu ya hili jambo ambalo linaniumiza kichwa.
Nipo katika mahusiano na msichana takriban miezi 3 sasa gheto anakuja vzr ila kila nikimuomba mchezo anakataa huku akinipa visingizio kibao mpaka nikawa nakasirika na nikafikiria hata niachane nae ila nikawa namvumilia anakuja geto tunaishia kupiga story tu na ananiruhusu nimshike popote ila sio sex.
Sasa nilipojaribu kumuhoji zaidi akanambia "mimi nahitaji tujuane zaidi pia nikwambie historia kidogo ya maisha yangu" hivi juzi ndo akaniambia ukweli sasa kwamba yeye amezaliwa na virusi vya ukimwi na wazazi wake wote walikufa na ukimwi hivyo akutaka mimi aniue akaamua aniambie ukweli sababu ananipenda na kiukweli hata mimi nampenda huyu binti hakika ila kwa jambo hili limenistua sana.
Msaada wangu kwenu niweze kupata ushauri je nawezaje kuishi na mwanamke kama mpenzi wangu na nikaenjoy sex na tukaweza kupata watoto wakati yeye ni positive, na siko tayari kumuacha sababu nampenda na anajisikia furaha sana kuwa na mimi sasa labda nikisema nimuache si ataona kama nimemnyanyapaa baada ya kuniambia ukwel juu ya hali yake ya kiafya.
Naombeni msaada wa mawazo juu ya jambo hili nimekuwa na mawazo sana sijui nifanyaje
Nahitaji nipate ushauri wa mawazo na wakitaalam pia juu ya hili jambo ambalo linaniumiza kichwa.
Nipo katika mahusiano na msichana takriban miezi 3 sasa gheto anakuja vzr ila kila nikimuomba mchezo anakataa huku akinipa visingizio kibao mpaka nikawa nakasirika na nikafikiria hata niachane nae ila nikawa namvumilia anakuja geto tunaishia kupiga story tu na ananiruhusu nimshike popote ila sio sex.
Sasa nilipojaribu kumuhoji zaidi akanambia "mimi nahitaji tujuane zaidi pia nikwambie historia kidogo ya maisha yangu" hivi juzi ndo akaniambia ukweli sasa kwamba yeye amezaliwa na virusi vya ukimwi na wazazi wake wote walikufa na ukimwi hivyo akutaka mimi aniue akaamua aniambie ukweli sababu ananipenda na kiukweli hata mimi nampenda huyu binti hakika ila kwa jambo hili limenistua sana.
Msaada wangu kwenu niweze kupata ushauri je nawezaje kuishi na mwanamke kama mpenzi wangu na nikaenjoy sex na tukaweza kupata watoto wakati yeye ni positive, na siko tayari kumuacha sababu nampenda na anajisikia furaha sana kuwa na mimi sasa labda nikisema nimuache si ataona kama nimemnyanyapaa baada ya kuniambia ukwel juu ya hali yake ya kiafya.
Naombeni msaada wa mawazo juu ya jambo hili nimekuwa na mawazo sana sijui nifanyaje