Mkuu binafsi sijapuuza ni kweli kuna sehemu Malinyi ardhi ni 5000 Kwa ekari ila nilisikia ya hapo Mbingu ni ghari kidogo na kupata ni issue ila sehemu kubwa ya Malinyi ardhi bado ipo
Tayari vijana wangu wako kazini, lazima nirudi na jibu la maana hapa jukwaani.