Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 611
Heshima Kwenu!
Imetokea (kwa mujibu wa daktari) kwamba miscarriage inapotekea haswa kwa mimba za umri wa chini ya miezi 3 lazima asafishwe.Naomba kufahamishwa je,
Mosi,
Inawezekana kusafishwa kwa kuingiziwa "machuma" au kuna dawa za kumeza ili kusafisha.?
Pili,
Mwanamke anaweza kuconsive tena baada ya kutumia hizo njia na nini sababu za miscarriage.?.
Tatu,
Ipi ni more riskier than the other.?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
NB:Tafadhalini msaidieni jamaa yangu..!
Imetokea (kwa mujibu wa daktari) kwamba miscarriage inapotekea haswa kwa mimba za umri wa chini ya miezi 3 lazima asafishwe.Naomba kufahamishwa je,
Mosi,
Inawezekana kusafishwa kwa kuingiziwa "machuma" au kuna dawa za kumeza ili kusafisha.?
Pili,
Mwanamke anaweza kuconsive tena baada ya kutumia hizo njia na nini sababu za miscarriage.?.
Tatu,
Ipi ni more riskier than the other.?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
NB:Tafadhalini msaidieni jamaa yangu..!