Ushauri wa haraka na muhimu.!

Iza

JF-Expert Member
Jan 8, 2009
2,026
611
Heshima Kwenu!
Imetokea (kwa mujibu wa daktari) kwamba miscarriage inapotekea haswa kwa mimba za umri wa chini ya miezi 3 lazima asafishwe.Naomba kufahamishwa je,

Mosi,
Inawezekana kusafishwa kwa kuingiziwa "machuma" au kuna dawa za kumeza ili kusafisha.?

Pili,
Mwanamke anaweza kuconsive tena baada ya kutumia hizo njia na nini sababu za miscarriage.?.

Tatu,
Ipi ni more riskier than the other.?

Natanguliza shukrani zangu za dhati!


NB:Tafadhalini msaidieni jamaa yangu..!
 
Mimi siyo dr. lakini nitazungumzia kwa uzoefu wangu wa "kike" na mahusiano mazuri na madaktari nilionao.

Baada ya kuharibika kwa mimba inabidi Kusafishwa kizazi kwa kutumia MVA kit au sharp curate ni procedure ya kuingizwa vifaa ukeni na inauma sana japo unaweza kuwekewa usingizi (though its not advisable)

Mkeo atashika mimba tena ila inabidi umpe muda wa kupumzika ili angalai kizazi kipone na kuwa imara zaidi kwani ukimuwahisha sana inawezekana akawa tena kwenye hatari ya kuharibu mimba tena.

Inawezekana pia akatumia vidonge kusafisha kizazi kama hakupoteza damu nyingi sana na hakupata madhara makubwa ya ndani ya kizazi.

Njia zote hizi ni salama kama utakuwa na daktari mzuri.

B2237934-20090403165037.jpg
Hiki ndio kifaa kinachoitwa MVA (Manual Vacuum Aspirator) Hutumika kuterminate pregnancies na kusafisha kizazi pia.

sijui kama nimekusaidia.:doh::doh:
 
Back
Top Bottom