ushauri wa haraka jamani unahitajika

Zneba

Senior Member
May 12, 2010
192
7
Habari ya wakti huu wapendwa wa jf,jamani ushauri unahitajika kwa rafiki yangu huyu inshu ni very serious kwa hiyo wale watu waliotajwa na maty kuwa wanakera ni bora wasichangie.
Nina rafiki yangu saaana wa kiume jana alikuja kwangu na kunieleza habari hii ambayo nilishindwa hata nimshauri nini nikaona nilete hapa tusaidiane,Kijana huyu ana girlfriend wake ambaye wana muda wa miaka miwili tangu waanze uhusiano huo,ila kabla ya huyu ambaye yupo nae,alishawahi kukutana na binti mmoja hivi ambae alimpenda mno tu kwa maelezo yake na akawa amemtangazia nia ya kutaka kumuoa ila bint akawa amekataa kwa kumwambia kuwa hawataweza kuoana kwa ajili ya dini zao ni tofauti bint ni muslim jamaa ni christian basi jamaa alibembeleza lakin bint akasisitiza kuwa bado hawataweza kuuowana. jamaa akawa amekata tamaa ya kumpata.ndipo alipoanzisha uhusiano na huyo bint wa kwanza hapo ambae wapo nae kwa miaka miwili.tatizo alilonalo sasa ni kwamba jamaa bado anampenda yule bint wa kiislam mno tu na anahisi ndiyo mwanamke pekee ambae anaweza kuwa mtu wa maisha yake.na bint nae bado anasisitiza hawezi kubadili dini anaogopa sana wazazi wake,na jamaa anahisi mapenzi kwa girlfriend wake yamepungua kabisa coz hisia zote zipo kwa mdada wa kiislam.sasa anasema hajui hata nini afanye anayempenda kuna kikwazo aliyenae hampendi kihivyo kwahiyohata suala la kumuoa ni haiwezekani na kuanza kutafuta mdada mwingine anasema ndo kazi hasaaa mana wadada nao sasa hivi ni usanii mtupu.afanyaje?umri nao umesogea kwa kiasi flan basi ni amechanganyikiwa kbs.
 
mh hii story inaonekana kuwa ya ukweli, sasa cha kufanya kikubwa kabisa amuelze huyo GF wake wa sasa kuwa hatoweza kumuoa, asimpe hii sababu ya ukweli ila ahakikishe amefikisha ujumbe maana asiangalie upande wake tu nadhani maumivu ya mapenzi ni makubwa sana na ikibidi amuache awe free ili huyo rafikiyo apate muda wa kushuhulika na haja ya moyo wake (huyo bi dada wa kiislamu) ajaribu kuwa na muda kumconvice aonyeshe nia ya ndoa na ikibidi yeye awe muislam.
 
Kuna wengine wanatumia njia ya kujazana mimba...hii inawashinikiza wazazi wakubali ndoa katika form yoyote....ila at your own risk...
 
huo ni ushamba , wazazi wanausikaje na ndoa yao ? akae nae waongee kama kweli huyo demu anampenda jamaa atafanya kila namna waoane .
 
huo ni ushamba , wazazi wanausikaje na ndoa yao ? akae nae waongee kama kweli huyo demu anampenda jamaa atafanya kila namna waoane .[/QUOTtatizo bint anaogopa kutengwa na family mana mama yake alishamwambia siku utakayoamua kuingia kanisani basi utafute wazazi wako wengine basi bint kawa muoga mpk basi ingawa nae anampenda jamaa kama nini
 
Habari ya wakti huu wapendwa wa jf,jamani ushauri unahitajika kwa rafiki yangu huyu inshu ni very serious kwa hiyo wale watu waliotajwa na maty kuwa wanakera ni bora wasichangie.
Nina rafiki yangu saaana wa kiume jana alikuja kwangu na kunieleza habari hii ambayo nilishindwa hata nimshauri nini nikaona nilete hapa tusaidiane,Kijana huyu ana girlfriend wake ambaye wana muda wa miaka miwili tangu waanze uhusiano huo,ila kabla ya huyu ambaye yupo nae,alishawahi kukutana na binti mmoja hivi ambae alimpenda mno tu kwa maelezo yake na akawa amemtangazia nia ya kutaka kumuoa ila bint akawa amekataa kwa kumwambia kuwa hawataweza kuoana kwa ajili ya dini zao ni tofauti bint ni muslim jamaa ni christian basi jamaa alibembeleza lakin bint akasisitiza kuwa bado hawataweza kuuowana. jamaa akawa amekata tamaa ya kumpata.ndipo alipoanzisha uhusiano na huyo bint wa kwanza hapo ambae wapo nae kwa miaka miwili.tatizo alilonalo sasa ni kwamba jamaa bado anampenda yule bint wa kiislam mno tu na anahisi ndiyo mwanamke pekee ambae anaweza kuwa mtu wa maisha yake.na bint nae bado anasisitiza hawezi kubadili dini anaogopa sana wazazi wake,na jamaa anahisi mapenzi kwa girlfriend wake yamepungua kabisa coz hisia zote zipo kwa mdada wa kiislam.sasa anasema hajui hata nini afanye anayempenda kuna kikwazo aliyenae hampendi kihivyo kwahiyohata suala la kumuoa ni haiwezekani na kuanza kutafuta mdada mwingine anasema ndo kazi hasaaa mana wadada nao sasa hivi ni usanii mtupu.afanyaje?umri nao umesogea kwa kiasi flan basi ni amechanganyikiwa kbs.

Mwasu karibu tena leo umekuja na kali na ya kusisimua zaidi ya ile ya mwanzo big up mamaa,
Kwa mtazamo wangu huyu binti wa kiislamu hampendi huyu jamaa, maana anasema anaogopa wazazi hata hiyo ya bomani haitowezekana kwani kisingizio kitakuwa hichohicho cha wazazi hawataki, nilichojifunza katika maisha ni kuwa wasichana ni vigumu kutongoza na pia wagumu kusema ckutaki au ckupendi, atakufanyia vituko mpaka uondoke mwenyewe sasa nadhani hili ndilo linalomtokea jamaa yako, dunia ya leo mapenzi ni maisha vizingiti vya dini ukabila rangi vimebaki kwa zile familia zisizo na uelekeo, kama huyo kaka anaweza kuanza kuhamisha mapenzi aupe moyo wake nafac kwa huyu mwingine ikiwa tu huyu dada wa pili anampenda huyo jamaa na jamaa kweli analiona hilo basi ampe nafac, refer post yangu iliyopita when a wrong one loves you right;- USIPOPATA ULIPOPENDA PENDA ULIPOPATA, hiyo ndiyo formula nzuri ya kikwepa stress ktk mahusiano. Mungu hutupeleka ananpopataka yeye na c tupatakapo cc, mwambie asali na amkumbuke sana Mungu ktk hili.
 
boman is ther 4em.
hata jamaa amemshauri waende bomani pia ila bint anadai atatengwa coz kwenye uislam hawaitambui ndoa ya boman na wazazi walishamtisha kuwa akijaribu kufunga ndoa ya kanisani au bomani basi asiwatambue,bint nae kachanganyikiwa ndoa anaitaka wazazi anawataka
 
huo ni ushamba , wazazi wanausikaje na ndoa yao ? akae nae waongee kama kweli huyo demu anampenda jamaa atafanya kila namna waoane .

Hiyo inasaidia kama wote mko tayari , asa huyu binti nadhani hampendi mshkaji ndio maana anasisitiza hilo haliwezekani
 
hata jamaa amemshauri waende bomani pia ila bint anadai atatengwa coz kwenye uislam hawaitambui ndoa ya boman na wazazi walishamtisha kuwa akijaribu kufunga ndoa ya kanisani au bomani basi asiwatambue,bint nae kachanganyikiwa ndoa anaitaka wazazi anawataka
Hii habari mbona ni uopande wa binti tu, je jamaa yeye hajataka kusilimu ili aoe?
 
Mwasu karibu tena leo umekuja na kali na ya kusisimua zaidi ya ile ya mwanzo big up mamaa,
Kwa mtazamo wangu huyu binti wa kiislamu hampendi huyu jamaa, maana anasema anaogopa wazazi hata hiyo ya bomani haitowezekana kwani kisingizio kitakuwa hichohicho cha wazazi hawataki, nilichojifunza katika maisha ni kuwa wasichana ni vigumu kutongoza na pia wagumu kusema ckutaki au ckupendi, atakufanyia vituko mpaka uondoke mwenyewe sasa nadhani hili ndilo linalomtokea jamaa yako, dunia ya leo mapenzi ni maisha vizingiti vya dini ukabila rangi vimebaki kwa zile familia zisizo na uelekeo, kama huyo kaka anaweza kuanza kuhamisha mapenzi aupe moyo wake nafac kwa huyu mwingine ikiwa tu huyu dada wa pili anampenda huyo jamaa na jamaa kweli analiona hilo basi ampe nafac, refer post yangu iliyopita when a wrong one loves you right;- USIPOPATA ULIPOPENDA PENDA ULIPOPATA, hiyo ndiyo formula nzuri ya kikwepa stress ktk mahusiano. Mungu hutupeleka ananpopataka yeye na c tupatakapo cc, mwambie asali na amkumbuke sana Mungu ktk hili.
yani kaka ferds nimemshauri kama ulishauri hapa,kaka anasema kiukweli mapenzi yameisha kabisa kwa huyo dada na hajui hata ni kwanini amejitahidi kila njia ingawa dada anampenda na anamvumilia kwa kila kitu cz alivyoniambia huwa anamfanyia wakati mwingine vituko kumpima tu lakini dada anavumilia kweli ila ndo hivyo moyo wake haumkubali,hata hivyo kwa maelezo yake anasema hata alipokuwa anamtongoza siyo kwamba alimpenda kihivyo ni kama alikuwa anataka kupita tu ila dada akampa mapenzi kwelikweli akaona kumbwaga tena gafla hawezi ndo chanzo cha kuwa nae mpka sasa
 
mh hii story inaonekana kuwa ya ukweli, sasa cha kufanya kikubwa kabisa amuelze huyo GF wake wa sasa kuwa hatoweza kumuoa, asimpe hii sababu ya ukweli ila ahakikishe amefikisha ujumbe maana asiangalie upande wake tu nadhani maumivu ya mapenzi ni makubwa sana na ikibidi amuache awe free ili huyo rafikiyo apate muda wa kushuhulika na haja ya moyo wake (huyo bi dada wa kiislamu) ajaribu kuwa na muda kumconvice aonyeshe nia ya ndoa na ikibidi yeye awe muislam.
thanx ameupata ushauri wako
 
Hii habari mbona ni uopande wa binti tu, je jamaa yeye hajataka kusilimu ili aoe?
bora umeuuliza hilo jamaa anasema hawezi kubadili si unajua tena wanaume huwa ni ngumu sana hata kama amependa kiasi gani
 
yani kaka ferds nimemshauri kama ulishauri hapa,kaka anasema kiukweli mapenzi yameisha kabisa kwa huyo dada na hajui hata ni kwanini amejitahidi kila njia ingawa dada anampenda na anamvumilia kwa kila kitu cz alivyoniambia huwa anamfanyia wakati mwingine vituko kumpima tu lakini dada anavumilia kweli ila ndo hivyo moyo wake haumkubali,hata hivyo kwa maelezo yake anasema hata alipokuwa anamtongoza siyo kwamba alimpenda kihivyo ni kama alikuwa anataka kupita tu ila dada akampa mapenzi kwelikweli akaona kumbwaga tena gafla hawezi ndo chanzo cha kuwa nae mpka sasa

Sasa hapa nadhani tatizo c mapenzi bali msimamo, huyu jamaa anonekana anataka vyote ila in order of preference, yaani akibuma kabisa kwa yule muislamu anakuja second selection inmpoza, mwambie kuchezea nafsi ya mtu ni sawa na kuchezea bomu bora amuiache huyo wa pili agagane na upwa wa kwanza labda atapata kitoeo cha kulia wali hapo baadae, au kama vipi abadili dini kwani suala c ni dini tu, yeye anamkazania mwenzie wakati moto unamchoma yeye kama vipi vipi tu abadili abebe goma, hawezi kubadili basi aliachie goma achape mwendo na wa msalaba mwenzie
 
Habari ya wakti huu wapendwa wa jf,jamani ushauri unahitajika kwa rafiki yangu huyu inshu ni very serious kwa hiyo wale watu waliotajwa na maty kuwa wanakera ni bora wasichangie.
Nina rafiki yangu saaana wa kiume jana alikuja kwangu na kunieleza habari hii ambayo nilishindwa hata nimshauri nini nikaona nilete hapa tusaidiane,Kijana huyu ana girlfriend wake ambaye wana muda wa miaka miwili tangu waanze uhusiano huo,ila kabla ya huyu ambaye yupo nae,alishawahi kukutana na binti mmoja hivi ambae alimpenda mno tu kwa maelezo yake na akawa amemtangazia nia ya kutaka kumuoa ila bint akawa amekataa kwa kumwambia kuwa hawataweza kuoana kwa ajili ya dini zao ni tofauti bint ni muslim jamaa ni christian basi jamaa alibembeleza lakin bint akasisitiza kuwa bado hawataweza kuuowana. jamaa akawa amekata tamaa ya kumpata.ndipo alipoanzisha uhusiano na huyo bint wa kwanza hapo ambae wapo nae kwa miaka miwili.tatizo alilonalo sasa ni kwamba jamaa bado anampenda yule bint wa kiislam mno tu na anahisi ndiyo mwanamke pekee ambae anaweza kuwa mtu wa maisha yake.na bint nae bado anasisitiza hawezi kubadili dini anaogopa sana wazazi wake,na jamaa anahisi mapenzi kwa girlfriend wake yamepungua kabisa coz hisia zote zipo kwa mdada wa kiislam.sasa anasema hajui hata nini afanye anayempenda kuna kikwazo aliyenae hampendi kihivyo kwahiyohata suala la kumuoa ni haiwezekani na kuanza kutafuta mdada mwingine anasema ndo kazi hasaaa mana wadada nao sasa hivi ni usanii mtupu.afanyaje?umri nao umesogea kwa kiasi flan basi ni amechanganyikiwa kbs.
what is dini? kwani hawawezi wowana na dini zao, mbona kuna ndoa za kiserikali, au siyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom