Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Wengi ni chuki, roho mbaya na wivu ndio vinavyowa nyegeranyegera. Kila kukicha thread za clouds na kibonde tu, hii inaonesha walivyo juu. Pamoja na kuponda kwenu bado mnaendelea kuisikiliza tu kama vile hakuna redio nyingine. Si sikilizeni WAPO iliyokuwa upande wenu? Kwa taarifa zenu Clouds ndio baba wa burudani hapa Tanzania na mtaipenda tu kwa moyo au kwa chuki.Yaani mkuu unaeleza kweli kuna mpuuzi mmoja hapo juu anapinga sijui huwa anafurahiaje matusi hayo? jaman kuna watu wengine wamejaa mawazo mabaya tu!