matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,538
- 15,175
nimenusurika kufa baada ya kupigwa sportlight kwa mstukizo na truck kubwa.
Nimepoteza marafiki wa moyoni wanne kwa mkupua wakiwa wanaaza kuinusa mwanza kwa sababu dreva alisinzia.
Kama sio mzoefu bora tupambane mchana tu.
Nimepoteza marafiki wa moyoni wanne kwa mkupua wakiwa wanaaza kuinusa mwanza kwa sababu dreva alisinzia.
Kama sio mzoefu bora tupambane mchana tu.