JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.
Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.
Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.