Ushauri wa bure kwa watoto wa viongozi wa nchi yetu ya Tanzania

JUST

JF-Expert Member
Dec 10, 2010
552
234
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.

Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.
 
Riz1,nape,emanuel nchimbi,kigoma malima,kawawa na mdogo wake,husen mwinyi,wilson malesela(nanga boy)sofia simba,sioi n.k
 
Yaani mkuu wanakera hawa watoto wa vigogo wao tu ndio wanataka kutawala hata bbada ya baba/mama zao ku-prove failure!
 
nadhani wameshaona hii ni nchi ya kifalme au hata hao wazazi wao wanawaambia kuwa wao ni wafalme hivyo wanapaswa kurithishana uongozi.....ila ipo siku yao!
 
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.

Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.

Nadhani ushauri wako ni mzuri lakini ni mgumu kutekelezwa kwa sababu kuu mbili. Moja wazazi wao si wasafi ni wezi wa mali za uma, hivyo basi bila kurithishana madaraka wao watakua katika hali mbaya zaidi maana hawatakuwa na wakuwalinda.
Pili hawa vijana elimu zao ni ndogo sana, wengine wanaonesha wana vyeti vyenye elimu kubwa lakini hawana kitu, yaani uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. Hawawezi wakapewa ofisi na efficieny ikaonekana.Nadhani wengi wanasoma vyuo visivyotambulika na hata kama vinatambulika hawazingatii masomo.
Japo si wote, na wale wenye elimu zao nzuri kwa mfano angalia watoto wa malechela kama Mwele, willy na wengine, then walinganishe na akina siyoi, ridhiwani, vita, zainabu na lusinde nadhani majibu unayo. Hawa akina lusinde hawana uwezo wa kufanya kitu kingine zaidi ya siasa ambapo wanaweza kwenda bungeni na kulala tu kama wasira
 
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.

Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.

Mkuu, Wao husomea uongozi tu !! hata mkisoma darasa moja wao waongeza masomo yaziada ya uongozi.
 
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.

Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.
Si wote lakini na kuwa mtoto wa Kiongozi isiwe kigezo cha kuwahukumu.
 
Ni vyema nyinyi watoto wa viongozi mfahamu kuwa sio kila binadamu anaweza kuwa kiongozi. uongozi ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu wengine hupata karama tufauti amabazo zikitumika vizuri jamii itafaidika. hivi niwaulize nyinyi watoto wa viongozi hamna taaluma au mambo mengine ya kufanya zaidi ya siasa za kutafuta uongozi, hamuwezi kubaki kuwa wanachama wa vyama vyenu na mkavitumikia kwa kuvipa ushauri ili kuleta manufaa katika taifa.

Nyinyi watoto wa viongozi jaribuni kubadilika someni alama za nyakati, wako wapi watoto wa gadafi, yupo wapi mpinzani wa nasari arumeru, wananchi wa Tanzania wamebadilika, wamesoma, wanuelewa na wanaweza kuongoza bila ya ninyi. chukueni hatua mapema acheni siasa za kifalme, fanyeni mambo mengine ya taaluma zenu mapema kabla upepo wa kusi na kasi haujawazolea mbali na kuanza kujuta pasipo kupata majibu.

Mkuu hoja yako ipo vyema. kwa kuongezea tuu napenda kuwashauri wajenge mazoea ya kujitathimini kabla ya kujipenyeza machoni mwa wananchi kwani wataishia kujiaibisha. maana yangu hapa ni kuwa watoto hawa licha ya kuwa ni watoto wa wale tunaowaita WAZITO KTK NCHI HII bado wanabakia kuwa wananchi kama tulivyo watanzania wakawaida. wasitake kutumia mwanya wa kuwa watoto wa wakubwa kujineemesha bali wanapaswa kufuata taratibu zile zile watumiazo watanzania wakawaida kushika uongozi. tanzania imebadilika sana sidhani kama upuuzi huu wa watoto wa viongozi kubebwa kama utavumiliwa! TANZANIA NI YETU SOTE!
 
Tanzania ni nchi ya kifalme tokea enzi na enzi. Hili linajulikana wazi. Viongozi wote wanarithishana mamlaka ya nchi kwa vizazi vyao. Tunasubiri nguvu ya umma, labda itakuwa ndio muokozi wetu. Peoplessssssss.
 
Riz1,nape,emanuel nchimbi,kigoma malima,kawawa na mdogo wake,husen mwinyi,wilson malesela(nanga boy)sofia simba,sioi n.k

Mkuu umemsahau January.. Nguvu na fitina za baba yake akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM ndizo zilizompitisha mwanawe na kumbwaga Mzee Shelukindo..
 
Si wote lakini na kuwa mtoto wa Kiongozi isiwe kigezo cha kuwahukumu.

Ukitaka kujua wanategema nguvu za wazazi wao kupata madaraka, wote wamejichimbia CCM ili kupewa support ya wazazi wao. Wenye vipaji vya uongozi wanajitofautisha na kujichnganya na Watanznia nje ya CCM ni Makongoro Julius Nyerere (amewahi kuwa NCCR) na Vicent Kiboko Nyerere (CDM).
 
Si wote lakini na kuwa mtoto wa Kiongozi isiwe kigezo cha kuwahukumu.

Mkuu.. kwangu mie kama mtoto wa kiongozi alikuwa na historia ya kuwa kiongozi toka anasoma secondary huko cina tatizo nae.. Tatizo asilimia kubwa ya hawa wanaoingizwa kwenye uongozi wa kisiasa na wazazi wao hawana historia hiyo.. Wengi hata kuwa monitor kwenye madarasa yao hawajawahi kupewa..! Unachogundua ni wazazi wao kutaka kujiwekea mfumo wa kisultani ili wawe salama pindi watakapostaaf.. Tukemee tabia hii.. Machafuko Arabuni yanaletwa na tabia hii ya kurithishana uongozi wa kisiasa.. Tanzania siyo kiciwa.. Yatafika tu na hapa ciku moja kama tutaukubali mfumo huu..
 
Nadhani ushauri wako ni mzuri lakini ni mgumu kutekelezwa kwa sababu kuu mbili. Moja wazazi wao si wasafi ni wezi wa mali za uma, hivyo basi bila kurithishana madaraka wao watakua katika hali mbaya zaidi maana hawatakuwa na wakuwalinda.
Pili hawa vijana elimu zao ni ndogo sana, wengine wanaonesha wana vyeti vyenye elimu kubwa lakini hawana kitu, yaani uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. Hawawezi wakapewa ofisi na efficieny ikaonekana.Nadhani wengi wanasoma vyuo visivyotambulika na hata kama vinatambulika hawazingatii masomo.
Japo si wote, na wale wenye elimu zao nzuri kwa mfano angalia watoto wa malechela kama Mwele, willy na wengine, then walinganishe na akina siyoi, ridhiwani, vita, zainabu na lusinde nadhani majibu unayo. Hawa akina lusinde hawana uwezo wa kufanya kitu kingine zaidi ya siasa ambapo wanaweza kwenda bungeni na kulala tu kama wasira

Katika wote wewe ndio umeongea, leo asubuhi nilikuwa nadiscuss hii issue, nasema afadhali watoto wa malecela wamesoma tofauti na wengine, na ndio maana wanakimbilia uchaguzi... lakini hata hivo huyu william nae amekaa kama sharobaro !
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom