Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Leo nipo na wanawake, kwanini mwanamke uachike au usalitiwe, zingatia vitu hivi:
*USAFI
*EPUKA GUBU
*TENDO LA NDOWA/DEKEZA
Nikianza na Usafi hakuna asiye juwa mwanaume anataka mkewe awe msafi.
Gubu: Hii ni hatari sana wanawake wengi hapa mna bugi mdomo, Sikh zote mwanaume hapendi kubishana tumeumbwa kutawala kwahiyo ukitaka uwe juu ni mbaya, mfano Mumeo kachelewa kurudi nyumbani usimfokee ingawa unatumia, Mpokee vizuri mpe pole ya kazi mvuwe shati, mvutie chumbani mpige na busu, muulize maswali matatu: kila kitu mume wangu tayari nimeandaa utaa:
Hakika hapo hakuna limbwata ni utundu.
Alafu kesi yakuchelewa unaimalizia kitandani, yaani hakika hata kama anamchepuko lazima atabadilika.
Fanyia kazi mwanaume kama mtoto anapenda kudekezwa kupetiwa petiwa, halima utaifurahia mahusiano yako.
*USAFI
*EPUKA GUBU
*TENDO LA NDOWA/DEKEZA
Nikianza na Usafi hakuna asiye juwa mwanaume anataka mkewe awe msafi.
Gubu: Hii ni hatari sana wanawake wengi hapa mna bugi mdomo, Sikh zote mwanaume hapendi kubishana tumeumbwa kutawala kwahiyo ukitaka uwe juu ni mbaya, mfano Mumeo kachelewa kurudi nyumbani usimfokee ingawa unatumia, Mpokee vizuri mpe pole ya kazi mvuwe shati, mvutie chumbani mpige na busu, muulize maswali matatu: kila kitu mume wangu tayari nimeandaa utaa:
- Utaanza kula chakula
- Kuoga
- Au utaanza na mimi pia nipo tayari.
Hakika hapo hakuna limbwata ni utundu.
Alafu kesi yakuchelewa unaimalizia kitandani, yaani hakika hata kama anamchepuko lazima atabadilika.
Fanyia kazi mwanaume kama mtoto anapenda kudekezwa kupetiwa petiwa, halima utaifurahia mahusiano yako.