Kiberenge
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 1,102
- 1,031
Wanataka viambatanisho kama barua ya serikali ya mtaa but picha wanakupiga wenyewe bureLazima uende bank
Wanataka viambatanisho kama barua ya serikali ya mtaa but picha wanakupiga wenyewe bureLazima uende bank
Wanataka viambatanisho kama barua ya serikali ya mtaa but picha wanakupiga wenyewe bure
Mpesa MasterCard na Halotel visa wamerahisisha mambo siku hizo so kila kitu juu Kwa juu bila ya kukanyaga Bankhapo kwenye picha bure umeniacha hoi.. ni sawa kununua bando la tigo wakupe whatsapp bure bila gharama!