Ushauri wa bure kwa vyama vya siasa hasa CHADEMA

Fenb

Member
Oct 18, 2012
17
3
Vyama vya siasa mnatakiwa kuwa makini sana na hawa watu wanaokosa madaraka na kuhamia chama cha siasa kingine. Mara nyingi hao watu hawapo kwa maslahi ya Wananchi, wapo kwa maslahi yao binafsi. Mfano mzuri ni Shibuda. Kwa mtu yeyote anayefuatilia siasa utagundua tu yule mtu si kwa ajili ya maslahi ya wananchi ni kwa maslahi yake binafsi na kutaka madaraka makubwa ambayo hana uwezo nayo.
Naomba kutoa mfano pia wa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma. Huyu bwana sio mwanasiasa ambaye ana uchungu na watu wake. Wakati anagombea ubunge Kigoma mjini chini ya CHADEMA alikuwa gumzo kiasi kwamba wafuasi wa CHADEMA waliteseka sana, waliachana na waume na wake zao, Walivunjwa miguu na mateso mengine mengi sana, lkn alivyokosa madaraka, CCM wakamshawishi na kumuahidi madaraka then akahamia CCM! Sasa nauliza Je huyu alikuwa anataka madaraka kuwasaidia wananchi au kwa maslahi yake binafsi? Ur welcom
 
Huyo wa kigoma mbona chamtoto.
Mbona kuna mwenyekiti mwengine wa mkoa kiwanda chake cha kutengeneza madawa kina kashfa ya kuiuzia serikali ARV feki.
Huyu ana maslai ya namna gani na wananchi?
 
Vyama vya siasa mnatakiwa kuwa makini sana na hawa watu wanaokosa madaraka na kuhamia chama cha siasa kingine. Mara nyingi hao watu hawapo kwa maslahi ya Wananchi, wapo kwa maslahi yao binafsi. Kwa mtu yeyote anayefuatilia siasa utagundua tu yule mtu si kwa ajili ya maslahi ya wananchi ni kwa maslahi yake binafsi na kutaka madaraka makubwa ambayo hana uwezo nayo.
Huyu bwana sio mwanasiasa ambaye ana uchungu na watu wake. Sasa nauliza Je huyu alikuwa anataka madaraka kuwasaidia wananchi au kwa maslahi yake binafsi? Ur welcom
Japo huu ni ushauri mzuri, kakini angalia usiponze watu.
Mimi ushauri wangu ni huu

Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Back
Top Bottom