kethika
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 630
- 472
Najua humu wapo vijana ambao hawajaoa au kuolewa. Ushauri huu ni kwa faida ya wote. Humu pia wapo washauri na wenye watoto na ndugu zao ambao hawajaoa au kuolewa. Ushauri huu pia unawafaa.
Kama wewe ni kijana wa kiume na ni wa mwisho ktk kuzaliwa usioe msichana anayetegemewa kwao. Wasichana wa hivi huwa wanakuwa na spirit ya uongozi ndani yao. Hivyo hataacha kukuongoza pia mkiwa hapo ndani. Sasa wewe si unajua ndo kichwa cha nyumba, jambo hilo litwaletea usumbufu mkubwa sana.
Kama wewe umeamua kuolewa na mtoto wa kiume wa mwisho kuzaliwa kwao, basi jiandae kuwa mama in some points maaba tabia za utoto sometimes zitaibuka kwa mumeo
Kama umeamua kuoa msichana wa mwisho kwao basi jiandae kulea.
Naomba kuwasilidha mawazo yangu huru.
Kama wewe ni kijana wa kiume na ni wa mwisho ktk kuzaliwa usioe msichana anayetegemewa kwao. Wasichana wa hivi huwa wanakuwa na spirit ya uongozi ndani yao. Hivyo hataacha kukuongoza pia mkiwa hapo ndani. Sasa wewe si unajua ndo kichwa cha nyumba, jambo hilo litwaletea usumbufu mkubwa sana.
Kama wewe umeamua kuolewa na mtoto wa kiume wa mwisho kuzaliwa kwao, basi jiandae kuwa mama in some points maaba tabia za utoto sometimes zitaibuka kwa mumeo
Kama umeamua kuoa msichana wa mwisho kwao basi jiandae kulea.
Naomba kuwasilidha mawazo yangu huru.