Ushauri wa bure kwa Rich Mavoko

kibuyu180

JF-Expert Member
Oct 22, 2016
1,711
1,801
Richard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.

Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
 
Richard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.

Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
Huyu dogo naona anabadilisha aina ya muziki kwa kutarget aina fulani ya soko na ukijumlisha na promotion kubwa kibiashara pengine itamlipa but kwa mtazamo wangu nadhani wimbo wa mwisho mzuri alitoa nahisi unaitwa PACHA WANGU kama sijakosea.
 
Hawezi kutoa nyimbo hadi uongozi useme hapo ndiyo Diamond atabaki kuwa on top wa bongofleva,

Hayo ndiyo madhara ya kusagn mikataba bila kufikiria mbele
Huwez zungumzia positive ?au shida yako atoe nyimbo 20 kwa mwaka.?
 
Huyu dogo naona anabadilisha aina ya muziki kwa kutarget aina fulani ya soko na ukijumlisha na promotion kubwa kibiashara pengine itamlipa but kwa mtazamo wangu nadhani wimbo wa mwisho mzuri alitoa nahisi unaitwa PACHA WANGU kama sijakosea.
Wimbo mzuri ndio nini?
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom