Ushauri wa bure kwa ndugu zetu wa visiwani

i pad3

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,518
378
haya ni maoni nimeyachomoa kwenye baadhi ya post za Mkandara huyu jamaa nakubali sana michango yake hanaga mambo ya kuremba na huu mchango nimeupenda ..samahani sana Mkandara kwa kuchukua bandiko lako na kulifanya thread ila ni ujumbe mzuri sana kwa ndugu zetu
Ikiwa madai ya Wazanzibar ni haya Je wamewahi kuyawakilisha kwa wabunge na rais wao? na yapi yalikuwa majibu ya Karume au Shein kulingana na madai yote haya.
Pili ni mwaka juzi tu 2010 mlipiga kura za kutaka utawala wa mseto na mkasema ndio njia bora zaidi kwa Wanzanzibari walioungana, sasa leo imekuwaje hata mseto huo hamuutaki tena ilihali viongozi wote ni Wazanzibar na mlichagua wenyewe?. Na maadam kuna mfumo wa kiuchumi huru kwa Wazanzibnar kuagiza mali zao kutoka nje sidhani kama kuna sheria inayomzuia Mzanzibar kuleta mchele au ngano kutoka nje maana hata huku bara ni wafanyabiashara ndio huingiza vyakula nchini sio swala la serikali unless kuna uhaba na uwezo mdogo.

Toka mwaka 2000 kabla hata ya uchaguzi wa pili wa awamu ya Mkapa niliowahi kuwaambia badala ya kuanzisha machafuko Zanzibar na Pemba kwa nini msiombe referundum ili wananchi wapewe fursa ya kuchagua kubaki ktk muungano au watoke na zoezi zima lisimamiwe na vyombo vya kimataifa bila kuwabagua Wazanzibara. Na pia mfahamishwe wazi mazuri na mabaya ya kujitenga pindi ikitokea kujitenga isijekuja tukalaumiana. Lakini Maalim Seif kwa majibu yake alisema yeye kisha ifanya kazi alotumwa, hakutumwa kuomba referundum, nikawageukia Wazanzibar wenyewe na kusema huyu zuga tu kama kweli ana nia ya madai yenu basi asingejibu kirahisi hivyo. Toka 2000 hadi leo ndio nasikia mnaanza kudai referendum tena baada ya nyie wenyewe kuchagua serikali ya mseto kama ndio UMOJA wa Wazanzibar. Tuwaelewe vipi?

Kumbuikweni tu mlioko bara mtachukuliwa ka wageni na sidhani kama biashara zetu zitaweza kwenda mbele kwa kuomba kibali cha ajira au ukazi kila mwaka na hasa ukizingatia corruption iliyopo serikalini. Kujitenga kwenu na madai haya yasokuwa na maana kabisa mtajimaliza wenyewe.
 
haya ni maoni nimeyachomoa kwenye baadhi ya post za Mkandara huyu jamaa nakubali sana michango yake hanaga mambo ya kuremba na huu mchango nimeupenda ..samahani sana Mkandara kwa kuchukua bandiko lako na kulifanya thread ila ni ujumbe mzuri sana kwa ndugu zetu


sasa wacha tujimalize wenyewe nyinyi watanganyika mutakuwa hamumumo wacha tuuvunje sababu tunataka tuuvunje tuatakutana EAC imetosha mutuwache tupumuweeee
 
sasa wacha tujimalize wenyewe nyinyi watanganyika mutakuwa hamumumo wacha tuuvunje sababu tunataka tuuvunje tuatakutana EAC imetosha mutuwache tupumuweeee


Waambie kwanza wezenu waliopo kwenye post zinazotokana na Muungano waziachie kwanza ndo tutawaamini.
 
haya ni maoni nimeyachomoa kwenye baadhi ya post za Mkandara huyu jamaa nakubali sana michango yake hanaga mambo ya kuremba na huu mchango nimeupenda ..samahani sana Mkandara kwa kuchukua bandiko lako na kulifanya thread ila ni ujumbe mzuri sana kwa ndugu zetu

kwani kwa kuwaacha wenyewe wakaendesha mambo yao , Tanganyika tutapoteza nini ????

Tunaacha kushughulikia matatizo yetu yaliyotujaa nchi ya watu karibu 40 million tunaendeshwa na kavisiwa vidogo viwili vyenye watu wasiofika milioni 1na nusu???

Magazeti yote ni Zanzibar , Redio zote ni zanzibar , tumekuwa mafala kiasi hichi Watanganyika???

AIBU GANI HII ?????

JF YOTE ETI INA GREAT THINKERS HUKU MA-GREAT THINKER WOTE AKILI ZAO NI ZANZIBAR???


THREAD ZIMEJAA ZANZIBAR HIVI ZANZIBAR VILE AIBU TUPU

MASIKINI TANGANYIKA YANGUUUUUUUUUUUUUUUU
 
kwani kwa kuwaacha wenyewe wakaendesha mambo yao , Tanganyika tutapoteza nini ????

Tunaacha kushughulikia matatizo yetu yaliyotujaa nchi ya watu karibu 40 million tunaendeshwa na kavisiwa vidogo viwili vyenye watu wasiofika milioni 1na nusu???

Magazeti yote ni Zanzibar , Redio zote ni zanzibar , tumekuwa mafala kiasi hichi Watanganyika???

AIBU GANI HII ?????

JF YOTE ETI INA GREAT THINKERS HUKU MA-GREAT THINKER WOTE AKILI ZAO NI ZANZIBAR???


THREAD ZIMEJAA ZANZIBAR HIVI ZANZIBAR VILE AIBU TUPU

MASIKINI TANGANYIKA YANGUUUUUUUUUUUUUUUU
bilal mwinyi nahodha na kina mahadhi ndio wanafaidi na kuwasaliti wenzao wazanzibar
 
wazanzibari hawapendani hata kidogo jkwa nini waliopo bara wanaokula maisha wasiende kuungana na wenzao wa huko visiwani ?
 
bilal mwinyi nahodha na kina mahadhi ndio wanafaidi na kuwasaliti wenzao wazanzibar

huja jibu kitu hapo juu ,

KWA NINI HATUSHUGHULIKI NA MAMBO YA TANGANYIKA YETU TUNAHAINGAIKA USIKU MCHANA NA ZANZIBAR YENYE WATU MILIONI 1 NA NUSU

HAO NI WATU WACHACHE TU , JEE TUKIIONGELEA TANGANYIKA YETU NA MATATIZO YETU SI WATARUDI HAO KWAO???

TUMEKUWA HATUNA AKILI KWA ZANZIBARI KULIKO WENYEWEEEEEEEE

MASIKINI JF

MASIKINI GREAT THINKERS

MASIKINI TANGANYIKA

HAYA ENDELEA NA ZANZIBARI HUKU TANGANYIKA TUKITAFUNWA NA MAFISADI
 
Nitaamini kweli WanZanibar wanataka Zanzibar yao na sisi waZanzibara tubaki na Tanganyika yetu ni pale tu Wabunge wote toka Zanzibar watakapo achia ngazi nakuondoka kuacha nafasi hizo hapo ndio nitaona kweli wanachosema mengineyo wanafanya maigizo.
 
Mkuu, Mtotowa mjini, Muungano ukivunjika, wa bara watapata shida sana. Kwanza fikiria, Itabidi tugawane mali zote za Muungano. Wa bara hawana hata mali yoyote, nje ya mali za Jamhuri ya muungano. ni masikini wa kutupwa, wakati wa zanzibari, tayari wana serikali kamili, inayojiendesha. Kumbuka, Muungano unanufaisha wa bara, na ndiyo maana wanaung'ang'ania.
 
@mleta mada
wazanzibar wapeleke malalamiko yao mara ngapi?
mbona yashapelekwa sana 2,2napuuzwa
na iyo kuchomwa moto makanisa ni ao ao mabwana zenu mausalama na ccm,ktk kutaka kuzma harakati za wazanzibr,
na iyo katiba 2shaambiwa muungano ucguswe,
kwa iyo wacha 2dai che2 kw njia ya amani,shari mnaitaka nyiny wenyenu kungangania zanzibr,mnaacha kujiletea maendeleo mnapoteza nguvu zenu zote kuikalia znz,
hatimae mko nyuma kmaendeleo kuliko jirani zenu wote,licha ya raclimali zote mlonazo,
acheni ujinga ujinga nyie watwana,zanzbr haiwahusu
 
Nitaamini kweli WanZanibar wanataka Zanzibar yao na sisi waZanzibara tubaki na Tanganyika yetu ni pale tu Wabunge wote toka Zanzibar watakapo achia ngazi nakuondoka kuacha nafasi hizo hapo ndio nitaona kweli wanachosema mengineyo wanafanya maigizo.

USISUBIRI KUAMINI KWANI SISI TUKIWAAMBIA TUNAITAKA TANGANYIKA YETU WATAENDA WAPI???

KUMBE TUNAHITAJI UAMSHO HATA HUMU jf KWANI MA GREAT THINKERS WA KITANGANYIKA WAMEPATA UGONJWA WANAOTA ZANZIBARI KILA WAKATI

TANGANYIKA IMEYEYUKA KATIKA AKILI ZAO
 
Na hao wazanzibari wanaolalamika na kufanya huo upumbavu wote ni wale ambao wamepigwa na maisha, mbona viongozi wao walioko madarakani hawafanyi huo upumbavu na kutoa hayo matamshi ya kihuni.
 
Mkuu, Mtotowa mjini, Muungano ukivunjika, wa bara watapata shida sana. Kwanza fikiria, Itabidi tugawane mali zote za Muungano. Wa bara hawana hata mali yoyote, nje ya mali za Jamhuri ya muungano. ni masikini wa kutupwa, wakati wa zanzibari, tayari wana serikali kamili, inayojiendesha. Kumbuka, Muungano unanufaisha wa bara, na ndiyo maana wanaung'ang'ania.
Pumba tupu, jipange kuandika upya!
 
Kama ni kweli Muungano ufee tu kwa nini watanganyika tunaung'ang'ania!!!???
@mleta mada
wazanzibar wapeleke malalamiko yao mara ngapi?
mbona yashapelekwa sana 2,2napuuzwa
na iyo kuchomwa moto makanisa ni ao ao mabwana zenu mausalama na ccm,ktk kutaka kuzma harakati za wazanzibr,
na iyo katiba 2shaambiwa muungano ucguswe,
kwa iyo wacha 2dai che2 kw njia ya amani,shari mnaitaka nyiny wenyenu kungangania zanzibr,mnaacha kujiletea maendeleo mnapoteza nguvu zenu zote kuikalia znz,
hatimae mko nyuma kmaendeleo kuliko jirani zenu wote,licha ya raclimali zote mlonazo,
acheni ujinga ujinga nyie watwana,zanzbr haiwahusu
 
Mkuu, Mtotowa mjini, Muungano ukivunjika, wa bara watapata shida sana. Kwanza fikiria, Itabidi tugawane mali zote za Muungano. Wa bara hawana hata mali yoyote, nje ya mali za Jamhuri ya muungano. ni masikini wa kutupwa, wakati wa zanzibari, tayari wana serikali kamili, inayojiendesha. Kumbuka, Muungano unanufaisha wa bara, na ndiyo maana wanaung'ang'ania.

mali gani hizo za muungano unaongelea?? maana mimi sioni hata moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom