Michael Mkwanzania
Member
- Jun 8, 2016
- 83
- 647
Nikiwa kama mteja na at the same time nimepitia kazi za marketing nyingi, nashangaa sana kwa kuwa sijakutana na wafanyabiashara wanaotumia hii njia ili kupata wateja, especially kwenye karne hii. Ili kuielewa vizuri ngoja tuchukue scenario mbili tofauti zifuatazo:
1) Hii hapa ni scenario ya kwanza ambayo ndiyo ipo kwenye asilimia 99 ya masoko yote Tanzania
Tuseme mimi nimejipanga vizuri nikapata milioni zangu kumi hivi, alafu nataka kununua gari. Sina uhakika ninunue gari gani kwa budget yangu, ni nunue showroom au second hand au niagize. Sina uhakika nichukue toyota au suzuki, hata labda nikichagua brand ya toyota kwa kua kuna spare nyingi labda , sina uhakika nichague toyota gani ambayo itanifaa, factors zipo nyingi sana.
Tuseme nikaamua nifanye research kwenye mtandao (online) sasa nione bei za magari na ni lipi linaweza kunifaa, niingie na website ya baadhi ya showrooms na nione list ya magari nichague budget yangu ilipo, bado selection zipo nyingi sanaaa. Kwa kuwa kwenye website zao wameandika bei tu na picha za magari, siwezi kujua kati ya toyota vits / ist / allex / allion / altezza na mengine yote, ni lipi ambalo nichukue? inabaki kuwa complicated mwisho wa siku naamua tu kwa kua mtu flani na yeye analo, au nimeshauriwa na rafiki, au preference yangu tu ya muonekano wa hilo gari lakini kuna factors nyingi sana za kuchagua gari ambazo ningepewa ningefanya maamuzi sahihi.
Hivi ndivyo ambavyo ningekutana navyo kwenye search yangu
2) Hii ni scenario ya pili : ambayo ndio ikitumiwa itamfanya mwenye biashara ateke soko
Rewind<<<<<<<< okay, nimejipanga kama mwaka mzima hivi, nimesave milioni kumi na nataka kununua gari. naingia facebook nakutana na page inaitwa “magari pro’s tanzania” wameandika post inaitwa “magari kumi unayoweza kununua ukiwa na milioni 7 au chini ya hapo” naingia kwenye page yao, naona ni link, nabonyeza link inanipeleka kwenye website yake ambayo imeelezea vizuri magari 10 kama nina milioni saba, but mimi nina kumi i can do better than that, naangalia kwenye sidebar kwa pembeni naona kuna post ya “magari kumi yatayokufaa kama una budget ya milioni kumi” na click hapo naisoma vizuri kisha nachagua kama magari matatu hivi.
Ila bado, gari ninalo taka mimi ni ambalo litaweza stahimili safari zangi za dar-dodoma, dar – tanga na kurudi, bila kusumbua barabarani, na search kwenye hiyo website ya “magari pro’s” then naona ipo post inayo elezea “magari 15 imara ya budget kwa ajili ya safari za kilo meter nyingi” , naingia humo then kati ya magari yote haya 15 naona gari ambayo niliyachagua mwanzo moja wapo lipo. and just like that nimepata gari linalo nifaa bila kuhangaika sana.
naangali chini ya hilo gari kuna link imeandikwa “inquire about this car” au “nunua hili gari” nabonyeza nawasiliana na muuzaji then kesho yake naenda kuchukua gari langu.
Mimi sina mtaji wa kufungua showroom kwa sahivi au kuagiza magari mengi, lakini nikija kuingia kwenye hili soko siku kama kuna mtu hajatumia hii njia nita teka soko zima, so just a heads up.
Mfano mzuri sana wa hichi ninachoongelea
nime search sana website za tanzania nione ni biashara gani inafanya hivi ila nimekosa, kama zipo tafadhali nijulishe niwapongeze, ila we need more of these kinds of business zitazotujilisha kwanini tuchague bidhaa wanazotaka kutuuzia na siyo kutu listia tu na kuandika bei sisi ndo tufanye maamuzi kila siku.
Nikaingia kwenye tovuti za mbele na kukutana na hii website inaitwa autoblog
autoblog wana uza magari na wanaandika post kama hizi kila siku za kusaidia watu wanunue gari gani, tuitembelee post hii hapa
Ni the same thing ninachoongelea, ni list ya magari ambayo yapo chini ya dollar za kimarekani 5000, au milioni 12 flani hivi za kitanzania. na ukicheki kwenye list yao kila gari wanalolitaja lina link ya kwenda kuinunua au kuiulizia hilo gari
SOKO GANI LINAWEZA KUTUMIA HII NJIA?
Soko lolote, kuanzia vipodozi hadi simu za mkononi, brand za nywele za kike, furniture, mabegi ya mgongoni, viatu, nguo na soko lolote ambalo mtu inabidi achague ndio aweze kununua hii ndio marketing tip kubwa kuliko zote ku quadruple (mara nne) your customers ndani ya muda mfupi.
Naona brand nyingi sana zina page za facebook na zinakua number kwa kasi sana lakini wanashindwa kutafuta mtu wa kuwaandikia post kama hizi ambazo ni muhimu sana kwa biashara, hii inaonesha kuwa sio tu unauza na kutaka watu wanunue kwaki ili upige hela tu, inaonesha unajua unachokiuza vizuri na wateja wana pata confidence ya kuja kununua hiyo bidhaa kwako na si kwa mshindani wako.
KIPI UNACHOHITAJI ILI KUTEKA SOKO LAKO?
Isome post kamili na mengine hapa
1) Hii hapa ni scenario ya kwanza ambayo ndiyo ipo kwenye asilimia 99 ya masoko yote Tanzania
Tuseme mimi nimejipanga vizuri nikapata milioni zangu kumi hivi, alafu nataka kununua gari. Sina uhakika ninunue gari gani kwa budget yangu, ni nunue showroom au second hand au niagize. Sina uhakika nichukue toyota au suzuki, hata labda nikichagua brand ya toyota kwa kua kuna spare nyingi labda , sina uhakika nichague toyota gani ambayo itanifaa, factors zipo nyingi sana.
Tuseme nikaamua nifanye research kwenye mtandao (online) sasa nione bei za magari na ni lipi linaweza kunifaa, niingie na website ya baadhi ya showrooms na nione list ya magari nichague budget yangu ilipo, bado selection zipo nyingi sanaaa. Kwa kuwa kwenye website zao wameandika bei tu na picha za magari, siwezi kujua kati ya toyota vits / ist / allex / allion / altezza na mengine yote, ni lipi ambalo nichukue? inabaki kuwa complicated mwisho wa siku naamua tu kwa kua mtu flani na yeye analo, au nimeshauriwa na rafiki, au preference yangu tu ya muonekano wa hilo gari lakini kuna factors nyingi sana za kuchagua gari ambazo ningepewa ningefanya maamuzi sahihi.
Hivi ndivyo ambavyo ningekutana navyo kwenye search yangu
2) Hii ni scenario ya pili : ambayo ndio ikitumiwa itamfanya mwenye biashara ateke soko
Rewind<<<<<<<< okay, nimejipanga kama mwaka mzima hivi, nimesave milioni kumi na nataka kununua gari. naingia facebook nakutana na page inaitwa “magari pro’s tanzania” wameandika post inaitwa “magari kumi unayoweza kununua ukiwa na milioni 7 au chini ya hapo” naingia kwenye page yao, naona ni link, nabonyeza link inanipeleka kwenye website yake ambayo imeelezea vizuri magari 10 kama nina milioni saba, but mimi nina kumi i can do better than that, naangalia kwenye sidebar kwa pembeni naona kuna post ya “magari kumi yatayokufaa kama una budget ya milioni kumi” na click hapo naisoma vizuri kisha nachagua kama magari matatu hivi.
Ila bado, gari ninalo taka mimi ni ambalo litaweza stahimili safari zangi za dar-dodoma, dar – tanga na kurudi, bila kusumbua barabarani, na search kwenye hiyo website ya “magari pro’s” then naona ipo post inayo elezea “magari 15 imara ya budget kwa ajili ya safari za kilo meter nyingi” , naingia humo then kati ya magari yote haya 15 naona gari ambayo niliyachagua mwanzo moja wapo lipo. and just like that nimepata gari linalo nifaa bila kuhangaika sana.
naangali chini ya hilo gari kuna link imeandikwa “inquire about this car” au “nunua hili gari” nabonyeza nawasiliana na muuzaji then kesho yake naenda kuchukua gari langu.
Mimi sina mtaji wa kufungua showroom kwa sahivi au kuagiza magari mengi, lakini nikija kuingia kwenye hili soko siku kama kuna mtu hajatumia hii njia nita teka soko zima, so just a heads up.
Mfano mzuri sana wa hichi ninachoongelea
nime search sana website za tanzania nione ni biashara gani inafanya hivi ila nimekosa, kama zipo tafadhali nijulishe niwapongeze, ila we need more of these kinds of business zitazotujilisha kwanini tuchague bidhaa wanazotaka kutuuzia na siyo kutu listia tu na kuandika bei sisi ndo tufanye maamuzi kila siku.
Nikaingia kwenye tovuti za mbele na kukutana na hii website inaitwa autoblog
autoblog wana uza magari na wanaandika post kama hizi kila siku za kusaidia watu wanunue gari gani, tuitembelee post hii hapa
Ni the same thing ninachoongelea, ni list ya magari ambayo yapo chini ya dollar za kimarekani 5000, au milioni 12 flani hivi za kitanzania. na ukicheki kwenye list yao kila gari wanalolitaja lina link ya kwenda kuinunua au kuiulizia hilo gari
SOKO GANI LINAWEZA KUTUMIA HII NJIA?
Soko lolote, kuanzia vipodozi hadi simu za mkononi, brand za nywele za kike, furniture, mabegi ya mgongoni, viatu, nguo na soko lolote ambalo mtu inabidi achague ndio aweze kununua hii ndio marketing tip kubwa kuliko zote ku quadruple (mara nne) your customers ndani ya muda mfupi.
Naona brand nyingi sana zina page za facebook na zinakua number kwa kasi sana lakini wanashindwa kutafuta mtu wa kuwaandikia post kama hizi ambazo ni muhimu sana kwa biashara, hii inaonesha kuwa sio tu unauza na kutaka watu wanunue kwaki ili upige hela tu, inaonesha unajua unachokiuza vizuri na wateja wana pata confidence ya kuja kununua hiyo bidhaa kwako na si kwa mshindani wako.
KIPI UNACHOHITAJI ILI KUTEKA SOKO LAKO?
- facebook page / instagram page / twitter page na kote kwingine ambapo unaweza ingia
- Website ya kuandika post zako na kupost bidhaa zako
- Mtu muelewa wa undani wa bidhaa unayouza, siyo lazima iwe wewe,vijana wapo wengi sana
Isome post kamili na mengine hapa