JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
🤣🤣🤣Mm nimecheka zaidi komenti yako ulivyoiandika..kuwahusisha walalamishi na kuku(watu) wanaopiga kelele banda la if
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Mm nimecheka zaidi komenti yako ulivyoiandika..kuwahusisha walalamishi na kuku(watu) wanaopiga kelele banda la if
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nina imani atakusikiliza, Bakhresa alikataa kuchukua malori ya mafuta ya Kiongozi mmoja mkubwa mstaafu wakati akiwa madarakani , kiongozi alitaka kufichiwa magari yake Bakhresa kwa usafi wake akakataa
Umempiga spana ya nguvu!! 🤣🤣🤣Wakati Magufuli anamteua mtoto wa dada yake kuwa Katibu Mkuu wa wizara ya fedha uliwahi kumshauri chochote ?
Ndio wewe nini?Hacha kuchafua familia za watu ,Bakhresa Hana mtoto mwenye kula unga hata mmoja wote wanajielewa vibaya mno
Kaka pamoja na wizi huu, Tanesco ishakuwaga chocho la upigaji la CCM miaka nenda rudi tangu Net Group SA, Richmond, Songas, IPTL na midudu mininge kibao.Narudia tena Tanesco kuna wizi mkubwa sana unaendelea
Bila ushahidi, na kuja kubwabwaja tu, hivi huwa hamuoni aibu?Narudia tena Tanesco kuna wizi mkubwa sana unaendelea
Endeleeni kuhongwa mitungi ya gesi,kenge nyieBila ushahidi, na kuja kubwabwaja tu, hivi huwa hamuoni aibu?