Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Ndo tatizo la CCM kutowapa kitchen Party watu wa aina ya Msukuma (Mb) Kwamba kuna utengano mkubwa kati ya chama na dola na kwamba hata agekuwa Mwenyekiti mwandamizi wa walioshindikana katika mkoa ila anapaswa kuheshimu mamlaka ya kisheria kwa mujibu wa taratibu zilizopo...