REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Habari zenu
Kutokana na kushamili wizi wa pesa kwa kupitia huduma za kipesa kwa simu za mkononi, na kuwepo na malamiko mengi kutoka vyombo vya ulinzi na usalama lakini bado wizi upo na unaendelea basi naomba nitoe ushauri wa bure kwa vyombo husika
Ushauri wangu hii huu kampuni za simu anzisheni utaratibu pindi utu atumiwapo pesa basi asiwe na uwezo wa kuitoa mpaka masaa matatu yapite hii itasaidia wale watu wanaoibiwa kutoa tarifa kwa huduma kwa wateja na kurudishiwa pesa yao endapo wamefanya muhamala ambao hawautambui au wamegundua wameibiwa.
Kutokana na kushamili wizi wa pesa kwa kupitia huduma za kipesa kwa simu za mkononi, na kuwepo na malamiko mengi kutoka vyombo vya ulinzi na usalama lakini bado wizi upo na unaendelea basi naomba nitoe ushauri wa bure kwa vyombo husika
Ushauri wangu hii huu kampuni za simu anzisheni utaratibu pindi utu atumiwapo pesa basi asiwe na uwezo wa kuitoa mpaka masaa matatu yapite hii itasaidia wale watu wanaoibiwa kutoa tarifa kwa huduma kwa wateja na kurudishiwa pesa yao endapo wamefanya muhamala ambao hawautambui au wamegundua wameibiwa.