akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Wamarekani wanajuta...... na mfano ukiwa tamko la Collin Powell mwaka 2005 ....wanajuta kwa kitendo cha majeshi yao na yale ya washirika wao kuvamia Irak.
Msemo unaotumiwa ndani ya shirika la ujasusi la marekani CIA na Uingereza MI6 pamoja na lile la Canada CSIS ni 'Sadam has killed many in death than when he was alive'.
Kama historia imetufundisha lolote haki huua wengi zaidi inapokuwa imekufa kuliko inapokuwa hai.
Kikwete jaribu kukaa chini na wagombea wenzako muelewane....jifunze mlichofanya Zanzibar ambacho kimewawezesha kuiba bila kupingwa.
Wagombea wa Upinzani na wapiga kura wao watasababisha uharibifu mkubwa usiotibika kwenye kushindwa kwao kuliko hata kama mngeacha haki ichukue mkondo wake.
Kikwete mustakabali wa Taifa hili uko mikononi mwako..Kaeni viongozi wote mtusaidie wananchi.....KUMBUKA...HAKUNA ALIYESHINDA AU ALIYESHINDWA UCHAGUZI HUU....UNAELEWA FIKA KWA NINI MSEMO HUU ULITUMIWA NA WAGOMBEA WAWILI WA ZANZIBAR.....SHAURI YAKO!!!!!!!!!!!!
Msemo unaotumiwa ndani ya shirika la ujasusi la marekani CIA na Uingereza MI6 pamoja na lile la Canada CSIS ni 'Sadam has killed many in death than when he was alive'.
Kama historia imetufundisha lolote haki huua wengi zaidi inapokuwa imekufa kuliko inapokuwa hai.
Kikwete jaribu kukaa chini na wagombea wenzako muelewane....jifunze mlichofanya Zanzibar ambacho kimewawezesha kuiba bila kupingwa.
Wagombea wa Upinzani na wapiga kura wao watasababisha uharibifu mkubwa usiotibika kwenye kushindwa kwao kuliko hata kama mngeacha haki ichukue mkondo wake.
Kikwete mustakabali wa Taifa hili uko mikononi mwako..Kaeni viongozi wote mtusaidie wananchi.....KUMBUKA...HAKUNA ALIYESHINDA AU ALIYESHINDWA UCHAGUZI HUU....UNAELEWA FIKA KWA NINI MSEMO HUU ULITUMIWA NA WAGOMBEA WAWILI WA ZANZIBAR.....SHAURI YAKO!!!!!!!!!!!!