Ushauri wa bure kwa form six waliomaliza na wanaotarajia kujiunga vyuoni kuhusiana na UDOM

Udom ni janga la taifa,chuo cha fukuza fukuza wanafunzi bila sababu yeyote ya msingi.wanafunz wasiopungua 800 wamefukuzwa udom kwa kipindi kisichozidi mwaka 1.
 
mi sikusoma udsm bt naona wazi udom ni chuo cha kisiasa na kibovu sana,kuna wakat ofisi yetu inaendesha interview watoto wa udom wa bcom wakawa wakiulizwa masuala ya bness law wanasema wamesoma bcom tu,wakiulizwa kuhusu taxation wanadai wao hawasomi kodi,sijui ni aina gani ya wahasibu wasiojua components za kihasibu...ofisi ikapiga marufuku kupokea watu wa udom! chukua hatua!
 
mi sikusoma udsm bt naona wazi udom ni chuo cha kisiasa na kibovu sana,kuna wakat ofisi yetu inaendesha interview watoto wa udom wa bcom wakawa wakiulizwa masuala ya bness law wanasema wamesoma bcom tu,wakiulizwa kuhusu taxation wanadai wao hawasomi kodi,sijui ni aina gani ya wahasibu wasiojua components za kihasibu...ofisi ikapiga marufuku kupokea watu wa udom! chukua hatua!

ofisi gani hiyo mkuu?
 
Jaribuni kujadiri kwa tahadhari inawezekana mtoa mada akawa sahihi kwa kiasi fulani,kwa sababu mwaka jana kuna ngo moja kama sikosei africare walitangaza nafasi za kazi wakasema aplicants/gradutes from udom are not encouraged to apply,lakini mtoa maada alitakiwa aseme kwamfano degrree gani zinafanya vibaya sokoni sio kweli degree programme zote zinafanya vibaya sokoni.
 
Jamani udom iko poa isipokuwa Business courses tu hivyo wengine karibuni. Business wana lecture ambao wanaferisha sijui kisa totorials mfano mwaka huu Financial management 1 yenye wanafunzi 800 kuna A moja B+ tatu C$B Miambili wengine wote Supp

Ndio product za UDOM hizo, kweli pale ni zaidi ya Utumbo.
 
mi sikusoma udsm bt naona wazi udom ni chuo cha kisiasa na kibovu sana,kuna wakat ofisi yetu inaendesha interview watoto wa udom wa bcom wakawa wakiulizwa masuala ya bness law wanasema wamesoma bcom tu,wakiulizwa kuhusu taxation wanadai wao hawasomi kodi,sijui ni aina gani ya wahasibu wasiojua components za kihasibu...ofisi ikapiga marufuku kupokea watu wa udom! chukua hatua!

hako ka ofisi cha wizi nini? Mbona Pricewaterhousecoopers(PWC) kila mwaka wanakuja UDOM kutafuta wahitimu ili kuwaajiri, haimanishi mwanafunzi mmoja akiwa mbovu wote wanakua wabovu. Hebu peleka ka ofisi chako cha mbwa.
 
Mm ni mhitimu wa udom mwaka jana,pale uongozi ndo mbovu ila suala la taaluma hakuna shida pia wanaosema pamejaa siasa wanapotosha.Kumbukeni pia ubora wa product upo kwa mhitimu mmoja mmoja hata ukiwachukua wahitimu wa udsm uelewa utatofautiana mm kama mm najiamini kwa elimu niliyoipata udom ndiyo maana nimeweza kujiajiri kwa kufuata misingi ya elimu niliyoipata pale.Ushauri wangu ni kwamba serikali ibadili uongozi wa juu la sivyo patakuwa na migogoro kila siku na pia wanafunzi watambue majukumu yao ipasavyo na siyo kuendekeza starehe.pia waajiri tizameni uwezo wa mtu binafsi wa kutranslate alichosoma na reality na siyo gpa au chuo alichiosoma
 
jamani mada hii ni ya kweli mimi binafsi ni mwanafunzi nasomea shahada ya elimu.tukiwa BTP wanaletwa walimu wa mazoezi wa vyuo mbalimbali,UDOM huwa ni walimu ila hawana maadili hata kazini sijui hawajafundishwa ethics,hawaandiki cha lesson plan na scheme of work yaani wanafanya mambo yao kiajabuajabu tu na hiki chuo kweli kabisa ni janga la taifa tuache kupotosha umma eti ni kizuri tuwe wakweli pale hakuna kitu ila ni wataalamu wa mambo mengine ya ajabu ajabu ingawa si wote kama kutembea na wanafunzi kimwili,headmasters huwa wanajilaumu sana kupokea wanafunzi wa mazoezi kutoka UDOM embu fanya uchunguzi wa kina haya ninayoyasema hata kama unasoma hapo au ulishasoma asilimia kubwa ya wanafunzi wa UDOM naongelea sekta ya elimu sababu naitambua hawana maadili na sifa za kuwa waalimu kabisaaaa sasa kwa sekta nyingine napata wasiwasi embu nijuzeni
 
Mm ni mhitimu wa udom mwaka jana,pale uongozi ndo mbovu ila suala la taaluma hakuna shida pia wanaosema pamejaa siasa wanapotosha.Kumbukeni pia ubora wa product upo kwa mhitimu mmoja mmoja hata ukiwachukua wahitimu wa udsm uelewa utatofautiana mm kama mm najiamini kwa elimu niliyoipata udom ndiyo maana nimeweza kujiajiri kwa kufuata misingi ya elimu niliyoipata pale.Ushauri wangu ni kwamba serikali ibadili uongozi wa juu la sivyo patakuwa na migogoro kila siku na pia wanafunzi watambue majukumu yao ipasavyo na siyo kuendekeza starehe.pia waajiri tizameni uwezo wa mtu binafsi wa kutranslate alichosoma na reality na siyo gpa au chuo alichiosoma
ndugu yangu ukisema UDOM hakuna siasa unapotosha uma kabisa acha kutudanganya wanafunzi wa UDOM tupo nao kila siku na wengi wapo makazini walioitimu udom ni wasumbufu sana na hawafai embu pima wewe mwenyewe ufanisi wako wa kazi japo kimoyomoyo then uniambiee udom hakuna elimu pale ni bora liende tu
 
Acheni kupotosha kuwa hakuna point katika utetezi nimesema suala la ufahamu wa mambo ni tofauti kati ya mtu na mtu na pia usijumuishe udhaifu wa mtu kwa kundi la watu mfano huwezi kuwa na mtoto mfupi ukasema watoto wote tanzania ni wafupi unapotosha na pia ubora na ufahamu wa mambo unategemeana na tabia ya mwanafunzi mwenyewe,wapo wanaopenda kujituma kimasomo na wapo ambao bora amalize.Tumia ushahidi wa huyo aliyesema wapo wanaotembea na wanafunzi ktk vituo wanakopangwa hili linadhihirisha utofauti wa malezi na hulka ya mtu na siyo kwamba hawafundishwi maadili ya kazi na pia kuhusu kuandaa work plan jiulize huwa haandai kila mara au ni baada tu ya kujiunga?tambua unapoingia kazini kunavitu unatakiwa uvifanye kwa kufuata mfumo ulioukuta na pia ni lazima ujue kwa ufasaha na siyo vingine na mwisho mkubali kuwa watu wanatofautiana ktk uelewa ndiyo maana kuna mwanafunzi anapata alama ya juu na mwingine ya chini.kuhusu utendaji wangu mm nipo vyema na tena usipime najiamini na wala sina shaka na naibua miradi yangu na kuaandaa mchanganuo vyema bila shida na pesa napata sasa nakushangaa wewe unaye generalize mambo
 
Kwa wale vijana wote wanaotarajia kujiunga vyuoni mwaka huu nawapa tahadhari kwamba MSIJARIBU KUJIUNGA NA CHUO KUKUU CHA UDOM kwani ni chuo kilichojaa siasa chafu, ufisadi, ukandamizaji, wizi, elimu yenye ubabaishaji, ukosefu wa waalimu na mengine mengi machafu.KWENDA KUSOMA UDOM NI KUHARIBU FUTURE YAKO KWANI UTAKUJA KUJUTA saana baadae.Kwa ushauri zaidi waweza kuni-pm.

wewe acha uongo!,tatzo la udom ni uongozi wa juu hasa prof.Mlacha kwa suala la ubora wa elimu hakuna tatzo na hata malecturer wapo wa kutosha na wenye kiwango cha kimataifa na kitaifa na wanafunz wanasoma kama kawa na wanapata kazi/ajira kwa wingi ndani na nje ya tz.Acha kupotosha umma wewe kijana..
 
ndugu yangu ukisema UDOM hakuna siasa unapotosha uma kabisa acha kutudanganya wanafunzi wa UDOM tupo nao kila siku na wengi wapo makazini walioitimu udom ni wasumbufu sana na hawafai embu pima wewe mwenyewe ufanisi wako wa kazi japo kimoyomoyo then uniambiee udom hakuna elimu pale ni bora liende tu

we shoga wanafunz wa Udom Wangekuawa wabov PWC wasingekua wanakuja kila mwaka hapo chuoni kuchukua wahitimu na kuwaajiri
 
we shoga wanafunz wa Udom Wangekuawa wabov PWC wasingekua wanakuja kila mwaka hapo chuoni kuchukua wahitimu na kuwaajiri

kama huna la kusema ni bora kukaa kimya kuliko kutuletea upuuzi na matusi, ni ukwel UDOM kunanuka kila aina ya uchafu, panahitaji mapinduzi makubwa.
 
Back
Top Bottom