Ushauri wa bure kwa CHADEMA

Jack Beur

JF-Expert Member
Feb 26, 2010
222
246
Idadi ndogo ya wapiga kura waliojitokeza Igunga imenisikitisha sana ukilinganisha na jinsi mikutano ya kampeni ilivyokuwa inajaza watu, naishauri CHADEMA kuhamasisha wafuasi wake kutoa somo la uraia kuhusu umuhimu wa kujiandikisha,hili linaweza kufanywa wakati wa kuboresha daftari la wapiga kura, wafanye operesheni hamasisha kujiandikisha vinginevyo tutaendelea kulialia tu,ndiyo huenda CCM wanaiba kura, lakini kama wapiga kura wa CHADEMA ni wengi hata huo wizi itakuwa ngumu,vijana wengi ambao ndio wafuasi wa CHADEMA hawana shahada za kupiga kura,wazee na akina mama wengi wako CCM,we need to act not keeping crying....
 
Idadi ndogo ya wapiga kura waliojitokeza Igunga imenisikitisha sana ukilinganisha na jinsi mikutano ya kampeni ilivyokuwa inajaza watu, naishauri CHADEMA kuhamasisha wafuasi wake kutoa somo la uraia kuhusu umuhimu wa kujiandikisha,hili linaweza kufanywa wakati wa kuboresha daftari la wapiga kura, wafanye operesheni hamasisha kujiandikisha vinginevyo tutaendelea kulialia tu,ndiyo huenda CCM wanaiba kura, lakini kama wapiga kura wa CHADEMA ni wengi hata huo wizi itakuwa ngumu,vijana wengi ambao ndio wafuasi wa CHADEMA hawana shahada za kupiga kura,wazee na akina mama wengi wako CCM,we need to act not keeping crying....
ushauri wako ni mzuri sana
 
Acheni UDINI,BANGI na FUJO, mtapaka baadhi ya wazee na kina mama. Mambo ya tindikali,ubakaji ni vitu vinapingwa kabisa na hao wazee na kina mama.

Na ushauri wa muhimu kabisa, Tafuteni nguo za maana za kuvaa, hii ya magwanda ni upumbavu tu.
 
naishauri CHADEMA kuhamasisha wafuasi wake kutoa somo la uraia, hili linaweza kufanywa vinginevyo tutaendelea kulialia tu, we need to act not keeping crying....
Huu ni ushauri mzuri
Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Back
Top Bottom