Ushauri wa bure kwa CHADEMA

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,316
10,782
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
 
Big Up Wapambanaji; ofisi zenye hadhi, kituo cha televisheni na vyombo vya kisasa kimawasiliano pamoja na training kwa maafisa wa kada mbali mbali juu ya technolojia za kimawasiliano ni mamobo ya msingi mara baada ya kutawazwa mbunge wetu mpya wa Igunga.
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.

Ni ushauri mzuri sana huu naamini utafanyiwa kazi.

Mkuu tunaomba uwe tayari kutoa support yako kwa ajili ya utekelezaji lakini pia itapendeza kama utachukua na kadi.

Tuko pamoja sana mkuu.
 
ni ushauri mzuri sana ni swala la vipambele kumba chama kimetoka kwenye kampeni mwishoni mwa mwaka jana, tegemea chama kuwa na madeni na katika ruzuku nijuavyo mimi huwa wanatoa kulingana jimbo lilivyo patakura lakini kama wenyeji wasehemu husika tukiongozwa la viongozi wetu tukiamua tunaweza kuharakisha badala ya kusubili makao makuu au pesa ya gawio..
 
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa
 
Thank you my fellow citizen. Am pretty sure sister Regina will pass by here to take these ideas. However, let us fight for the country first our personal affairs later. We have nothing to loose except the chains of out stupidity, poverty and ignorance. Fight hard CHADEMA I have seen from the mountain top, 'dawn is near'. Ni hayo tu
 
Halafu tunamlipa JOSEPHINE 7.2M kila mwezi! Badala ya kujenga ofisi?
 
Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu!
 
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa

Huoni kwamba hizo operations ndizo zinazidi kuwaumbua ninyi CCM.CDM are always strategic,thats why always mtacheza ngoma ya CDM.
 
Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu!

N wewe pia una akili mgando au umejilazimisha kutokuona.Kigoma,mwanza,mara,singida,Dar,mbeya,shinyanga,iringa n.k kuna wachaga huko?.Hatutaki akili zenu na sera zenu za kibaguzi ninyi magamba.
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.

Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali.
 
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa

ushauri wa kgmagambamagamba!
 
Back
Top Bottom