2. Ni ukweli usiopingika kuwa Chadema haina wanasiasa bali wengi wao ni wana harakati wanaotoka kwenye asasi zisizo za kiserikali na ndio maana hawawezi kufikia maamuzi kupitia itifaki badala yake wanasikiliza kina JF wanasemaje. Mfano wa asasi zisizo za kiserikali ni kama TNGP ( Naomi Kaihula), Chama cha wanasheria wao simamia haki za wachimba madini, na viongozi wa mashirika ya dini mfano mbunge aliepingwa hivi juzi na monica mbega.
Rejea katiba na ilani ya chama, acha uvivu!
Nia yenu tunaijua ni kuchafua jamvi ili lionekana lina wafuasi wa chama fulani halafu serikali ilifute si bure muna mission ya muda mrefu tunawajua lengo lenu mpaka sasa
Huna logic sawa na mabua unagonja kuwashwa moto huwezi kutukana watu kamtukane baba yakokatiba na ilani ni mtei kwa bahati mbaya mimi sina nasaba naye, hope atakuwa na binti mwingine nioe hapo nitakuwa naijua vizuri katiba na ilani.
Zemarcopolo-Sokomoko + Zitto with Fake IDs angalia sana anaposti Zemarcopolo supporter ni Sokomoko akiposti Sokomoko supporter Zemarcopolo ,you not can fool us all the time,your mission will let you no where
Rejea post zako zote uzuri jukwaa hili kila mtu anawekewa post alizotuma wewe zako hazilingani na wengine zaidi zinafanana na za Ze-marcopolo you are the same person ngonja tukuletee Assange akuumbuweFake ID ndio kitu gani.
Nyinyi hamjazoea kuona watu wanasema mawazo tofauti. Hilo ndio tatizo lenu. Ndio maana nikimuunga mkono Sokomoko mnashangaa. Lakini Buchanan akimuunga mkono Maxshimba mnaona sawa tu!
Rejea post zako zote uzuri jukwaa hili kila mtu anawekewa post alizotuma wewe zako hazilingani na wengine zaidi zinafanana na za Ze-marcopolo you are the same person ngonja tukuletee Assange akuumbuwe
Sokomoko hoja yako ya 4 inahitaji kuangaliwa upya.Hilo la kuona sura zile zile za viti maalum umeliona kwa Chadema tu?CCM yako mbona ina ukoloni uliopitiliza.Sofia Simba na Anna Abdalah wana majimbo hawa?Amepitishwa mara ngapi viti maalum?Magreth Sitta je?Pindi Chana?Kina Likokola?wewe acha kuliona hilo kwa wenzako.Isitoshe Dr Kitila Mkumbo nakumbuka alishawahi kutoa maelezo ya nini kilitokea.Pili,Mbowe alipoulizwa na Mwakitwange kwenye mdahalo alitoa maelezo ya kushibisha.Au hukufuatilia?Hatuongei kwa upenzi ila kwa facts zilizopo.Mwisho,chadema kutazama au kuchukua maoni ya wanaJF sio dhambi.Humu tunatoa maoni ambayo wengi wetu hatufiki makao makuu kutoa maoni yetu.Tupo mbali kwanini tusitumie nafsi hii kushauri?
Kabla sijatoka,huko CCM nako bila kutoa "ushirikiano" kwa wakubwa hupati ubunge wa viti maalum na ndio maana hawa hawana hoja bungeni za kushibisha umma.Huwezi kumlinganisha LIkokola na Suzan Lyimo.
Huna logic sawa na mabua unagonja kuwashwa moto huwezi kutukana watu kamtukane baba yako
Siku zote mkuki kwa nguruwe......hii thread imekuwa km ndo umewapaka mafuta ccm kwa mgongo wa chupa...............au ulimaanisha ccm?....pole sana kwa kuchanganya vyama kwani ulivyovitaja ndiyo sifa za ccm yako ya mafisadi
\Serikali haiwezi kulifuta jukwaa hili. Ila swala la jukwaa kuwa la wafuasi wa chadema liko obvious.
eeh kazikwelikweli,ila sokomoko katoa ushauri ambao kama chadema na wafuasi wake kwaujumla wanatakiwa kuufanyia kazi,chadema tubadilike sio kila tuambiwacho nakushauriwa lazma tulete ubishi nakupinga nakusema wametumwa na ccm au cuf,tubadilike tuchague mazuri wanayosema kina sokomoko na wengine tuyafanyie kazi yale mazur kwa maendeleo ya chadema na taifa letu pia.ni kweli kabisa wote wenye kufikiria tofauti na sisi wametumwa, kinachotakiwa ni kusikiliza anachotaka Mbowe na kufuatailituwe sahihi, by the way tunajua mawazo ya mbowe yanatoka kwa mkwewe.
Kwahiyo unataka kusema Chadema inaiga kwa CCM? tutegemee na nyie mkiingia madarakani mtafanya EPA zenu? Lakini mkuu utaratibu kule CCM wa Viti maalum unaeleweka ila Chadema haueleweki waulize kina Mkumbo watakuambia usibishane kwa kua unataka kubishana kisaidie chama kisije kikafa kifo cha Mende.
huo sio ushauri bali maelezo mfa maji haishi kutapatapa hata CCM kuna mengi mabaya ya kuwashauri si unasema ni chama imara jifanye unawashauri kama utafanywa kama Horace Kolimba waliomkorimba bada ya kusema chama kimekosa dira!!