Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Sawa! lakini itambulike officially na Serikali.
Na kama serikali inaweza kugharimia ufanyaji wa sensa , vilevile hawa Masheikh watakaofanya hii kazi wagharimiwe na Serikali.
why Govt? Hakuna msaada wa serikali ambao unatolewa kwa imani ya dini. Kama ni nguruwe hata wasabato hawali