GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,581
Kabla ya kwenda Kukamata muwe Kwanza mnapitia ama kwa Waganga au Watabiri ili wawaambieni kama mkiwakamata na Kuwafungulia Kesi mtashinda au mtaanguka. Huu ni mwaka wa Tatu ( 3 ) sasa nimefanya ' utafiti ' wangu mdogo tu na nimegundua ya kwamba 95% ya wale ambao huwa mnawakamata tena kwa mikogo mingi mkikutana nao Mahakamani katika ulingo wa Kucheza na Sheria huwa mnaanguka vibaya na kuitia tu aibu Serikali / Jamhuri na hata pengine kuitia hasara kwa namna moja au nyingine.
Ni matumaini yangu makubwa kwamba huu ushauri wangu ' Kuntu ' kabisa mtaufanyia Kazi ili msizidi Kuumbuka na Kudharauliwa.
Nawasilisha.
Ni matumaini yangu makubwa kwamba huu ushauri wangu ' Kuntu ' kabisa mtaufanyia Kazi ili msizidi Kuumbuka na Kudharauliwa.
Nawasilisha.