ushauri wa biashara

biashara ya sembe ndo habari ya mjini kwa sasa.

Hili jibu ni dharau kwamba milioni moja siyo hela au unamaanidha nini? Bora ungekaa kimya tu uache wadau waje.

Mtoa mada wewe subiri tu kuna watu watakuja na ushauri mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom