Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,263
- 9,883
Nimeifikiria sana hii biashara ya kuchonga funguo za milango ya nyumba,vitasa na funguo za magari nikaona kuwa naweza kuifanya nikaongeza kipato hasa ukizingitia mahali nilipo huduma hii haipo.
Hivyo napenda kutapata ushauri wenu taratibu maana ya kupata kibali na mashine zinazochonga pia ushauri wa kitaalamu maana sijawahi kufanya hii kazi.
Je nikiasi gani cha mtaji natakiwa nianze nacho na wapi nitapata mashine kwa hapa Dar es salaam.
Natanguliza shukrani.
Hivyo napenda kutapata ushauri wenu taratibu maana ya kupata kibali na mashine zinazochonga pia ushauri wa kitaalamu maana sijawahi kufanya hii kazi.
Je nikiasi gani cha mtaji natakiwa nianze nacho na wapi nitapata mashine kwa hapa Dar es salaam.
Natanguliza shukrani.