chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,634
Hawa ni lile kundi ambalo mimi nimelichana hapa JF hivi karibuni, lina mambo ya hovyo sana. Hili kundi linachangishana pesa huku likitoa maneno ya kashfa kwa mkuu wetu. Nina wasiwasi wana lengo la kuzuia haki isitendeke.
Vyombo vya kisheria na vya kidola viwakamate, viwahoji na ikibidi wapelekwe mahakamani. Kukamatwa kwao hakutawashangaza kwa kuwa hata wao walikuwa wanachongea watu wengine wakamatwe.
Vyombo vya kisheria na vya kidola viwakamate, viwahoji na ikibidi wapelekwe mahakamani. Kukamatwa kwao hakutawashangaza kwa kuwa hata wao walikuwa wanachongea watu wengine wakamatwe.