Ushauri: Upinzani ushughulike vipi na Lipumba

Unarudia hekaya zilezile, hazifuti ukweli yote hayo yalifanyika bila taratibu za kikatiba kufuatwa ndiyo maana Maalimu Leo anakwama sababu huo UKAWA hauna mashiko kisheria ulikuwa uhuni wa kutafuta kuingia Ikulu. Unayoyaona ni madhara ya UKAWA usio meno
Utaratibu wa katiba kufuatwa??? Ssa kma utaratibu haukufuatwa si kosa ni la muanzilishi wa ukawa professor lipumba ama ??? Lipumba ndio alianzisha ukawa kwa minajili ya kudai katiba mpya alipoona mchakato hauendi kma alivyofikiri akaona ashawishi wanaUkawa wote wasusie na ndio kilichotokea

Walipoenda kibandamaiti baada ya kutoka bungeni... lipumba alisema watashirkiana mpaka uchaguzi mkuu ili wakimtoa ccm ndio walete katiba mpya sasa je ukiangalia hapo hayo yote maalim anahusika wapi ??? Mbona kma tulikosea kuibadili ukawa kuwa chama cha siasa usimlalamikie lipumba ila lawama unarusha kwa maalim???

Pia unasema muungano hapo kisheria..... nakumbuka mnyika alipeleka hoja kuhusu katiba iliopo kufanyiwa mabadiliko machache kuwezesha uchaguzi mkuu kufanyika maana ilikuwa wazi katiba mpya isingekuwa imepatikana.... sasa makinda akaipoga kapuni na wapinzani walipokuja juu akaishia kuwatimua je wwe ulitaka wafanyeje ili ukawa itambulike kisheria wakati bungeni walipigwa danadana na hta kikwete alipowaita na kuingia nao makubaliano aliishia kuwaacha kwenye mataa kuhusu makubaliano hayo !!! Je ulitaka wafanyeje???
 
Badala ya kupanga mbinu kupambana na ccm,manapanga kumalizana wenyewe kwa wenyewe.Tukisema upinzani Tanzania ni wababaishaji mnakuja juu
Tatizo kubwa tukilonalo kama nchi ni watawala kupambana zaidi kutengeneza kundi kubwa la wajinga. Wewe ni mhanga wa mapambano hayo -umejaa ujinga! akili ndogo ulizonazo zinakufanya uone kuwa kinachoendelea ni mvutano baina ya wapinzani!
 
kwa sasa wanatumika..kwa manufaa ya wanaowatumia..mfumo ulifanya kazi
Nani anawatumia?? Kma wanatumika mbona mliwaingiza serikalini mpaka wakashika wizara nyeti??? Kma walikuwa na nia mbaya si wangeivuruga nchi walipokuwa mawaziri wa SUK??? mkuu acheni visababu vya kidini ukweli ni kwamba CUF sio ya kidini ila ina mizizi zanzibar ndio maana utaona wengi ni waislam ila haimaanishi ni ya waislam pekee na ndio maana ilipigiwa kura hta maeneo ambapo ukristo upo hayo ya udini wameshagundua ni propaganda za ccm maana hta chadema ilipoanza kuwa tishio wakadai ni ya wakristo na wachagga!!!
 
zitto junior huyu Magdalena Sakaya anayetumiwa na Lipumba alifikaje hapo alipofika kama CUF kuna udini. Agenda ya udini alijibebesha Lipumba kwa malengo yake ya kisiasa na ndiyo maana alidai kwamba mwaka 2010 ilibidi "kuokoa jahazi" ili Kikwete amshinde Slaa. Sasa fikiria mtu aliyekuwa anagombea Urais kuitoa CCM Madarakani anawezaje kumsaidia mgombea wa CCM kumshinda Mgombea wa CHADEMA?

Leo kuna watu wanataka tuamini kwamba Lipumba hatumiwi na CCM kuivuruga CUF na bila aibu wanajisahaulisha mafanikio ya CUF na CHADEMA chini ya UKAWA. Lipumba roho yake itatulia siku akiona CUF haina wabunge Tanganyika na Maalim siyo tishio tena kwa CCM kule Zanzibar.
 
Utaratibu wa katiba kufuatwa??? Ssa kma utaratibu haukufuatwa si kosa ni la muanzilishi wa ukawa professor lipumba ama ??? Lipumba ndio alianzisha ukawa kwa minajili ya kudai katiba mpya alipoona mchakato hauendi kma alivyofikiri akaona ashawishi wanaUkawa wote wasusie na ndio kilichotokea

Walipoenda kibandamaiti baada ya kutoka bungeni... lipumba alisema watashirkiana mpaka uchaguzi mkuu ili wakimtoa ccm ndio walete katiba mpya sasa je ukiangalia hapo hayo yote maalim anahusika wapi ??? Mbona kma tulikosea kuibadili ukawa kuwa chama cha siasa usimlalamikie lipumba ila lawama unarusha kwa maalim???

Pia unasema muungano hapo kisheria..... nakumbuka mnyika alipeleka hoja kuhusu katiba iliopo kufanyiwa mabadiliko machache kuwezesha uchaguzi mkuu kufanyika maana ilikuwa wazi katiba mpya isingekuwa imepatikana.... sasa makinda akaipoga kapuni na wapinzani walipokuja juu akaishia kuwatimua je wwe ulitaka wafanyeje ili ukawa itambulike kisheria wakati bungeni walipigwa danadana na hta kikwete alipowaita na kuingia nao makubaliano aliishia kuwaacha kwenye mataa kuhusu makubaliano hayo !!! Je ulitaka wafanyeje???
Binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa na akili za kuambiwa chsnganya na zako.
UKAWA ni "Umoja wa Kudai Jatiba ya Wananchi" sio. chama na haujasajiliwa kisheria ni kama upatu wa akina mama wa uswazi. Na mxhaksto wa katiba haujaisha wanaweza kuendelea wakitaka.
Taeatibu za kujiunga na Chama au kuchaguliwa kugombea uongozi ni za Kikatiba kwa kila chama usipofuata sababu ya kuyimiza haja fulani ombea ufanikiwe usipofanikiwa ndio matatizo unayoyaona Leo ndani ya CUF, NCCR Mageuzi na NLD. Watu watahoji!! Kwanini tuliyafanya Yale kwa maslahi ya nani? Lowassa angeshinda Leo na wana Ukawa wakapata nafasi ktk serikali yake usingesikia kelele hizi wala Lipomba asingepata wafuasi. Umoja ilikuwa dhania ya kuingilia ikulu sababu haikuwa ilikuwa vyama kurudi kwenye mstari kungojea mbinu nyingine 2020 hata kama ni kurudia hii.
Njama zilizofanywa na Chadema/Lowassa za kumwita Kwa Siri Maalim na Duni, kuingia nao dili la Lowassa kuwa mgombea na Duni kuwa mwenza bila kumshirikisha Mwenyekiti Lipumba na siku hiyohiyo kuyangazwa ndiyo chanzo cha tote haya
 
zitto junior huyu Magdalena Sakaya anayetumiwa na Lipumba alifikaje hapo alipofika kama CUF kuna udini. Agenda ya udini alijibebesha Lipumba kwa malengo yake ya kisiasa na ndiyo maana alidai kwamba mwaka 2010 ilibidi "kuokoa jahazi" ili Kikwete amshinde Slaa. Sasa fikiria mtu aliyekuwa anagombea Urais kuitoa CCM Madarakani anawezaje kumsaidia mgombea wa CCM kumshinda Mgombea wa CHADEMA?

Leo kuna watu wanataka tuamini kwamba Lipumba hatumiwi na CCM kuivuruga CUF na bila aibu wanajisahaulisha mafanikio ya CUF na CHADEMA chini ya UKAWA. Lipumba roho yake itatulia siku akiona CUF haina wabunge Tanganyika na Maalim siyo tishio tena kwa CCM kule Zanzibar.
Hivi Cuf ilimchukulia hatua gani Lipumba baada ya kuwaambia waislamu wamchague Kikwete?
 
Hivi Cuf ilimchukulia hatua gani Lipumba baada ya kuwaambia waislamu wamchague Kikwete?
Alikuwa keshaharibu na uchaguzi umepita na hayo mambo aliyasemea msikitini na siyo kwenye vikao vya CUF. Bila shaka alionywa lakini kwa kuwa ni sugu wa kutumiwa na CCM,alikaidi maonyo.
 
Binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa na akili za kuambiwa chsnganya na zako.
UKAWA ni "Umoja wa Kudai Jatiba ya Wananchi" sio. chama na haujasajiliwa kisheria ni kama upatu wa akina mama wa uswazi. Na mxhaksto wa katiba haujaisha wanaweza kuendelea wakitaka.
Taeatibu za kujiunga na Chama au kuchaguliwa kugombea uongozi ni za Kikatiba kwa kila chama usipofuata sababu ya kuyimiza haja fulani ombea ufanikiwe usipofanikiwa ndio matatizo unayoyaona Leo ndani ya CUF, NCCR Mageuzi na NLD. Watu watahoji!! Kwanini tuliyafanya Yale kwa maslahi ya nani? Lowassa angeshinda Leo na wana Ukawa wakapata nafasi ktk serikali yake usingesikia kelele hizi wala Lipomba asingepata wafuasi. Umoja ilikuwa dhania ya kuingilia ikulu sababu haikuwa ilikuwa vyama kurudi kwenye mstari kungojea mbinu nyingine 2020 hata kama ni kurudia hii.
Njama zilizofanywa na Chadema/Lowassa za kumwita Kwa Siri Maalim na Duni, kuingia nao dili la Lowassa kuwa mgombea na Duni kuwa mwenza bila kumshirikisha Mwenyekiti Lipumba na siku hiyohiyo kuyangazwa ndiyo chanzo cha tote haya
Sasa si nlishakwambia kuwa jitihada zilifanywa ja upinzani ambapo TCD walikutana na kikwete na alikubaliana nao kuwa mabadiliko yangefanyika baada ya hapo bungeni pia walidai mabadiliko hayo ila kutokana na ubabe wa ccm hawakuheshim makubalaiano ya TCD na kikwete ya august 2014 sasa kipi hasa ulitaka upinzani wafanye watambulike kisheria?????

2. Unasema walikubaliana kwenye viambaza kumpitisha lowasa nje ya utaratibu unasahau lipumba naye kabla ya mchakato wa lowasa alisema wazi kabisa walienda nyumbani kwake pamoja na slaa na kahangwa kukubaliana nani agombea na wote wakakubaliana slaa agombee sasa hyo njia aliotumia lipumba kumpitisha slaa kugombea urais ilikuwa formal?????

Tukija kwa issue ya lowasa jamani mbona ni lipumba aliyeitisha press conference kumkaribisha lowasa ina maana alikaribisha bila kutaarifiwa kuhusu ujio wa lowasa??? Mbona hta alipoteuliwa kuwa mgombea urais lipumba akiwa buguruni alisema lowasa kugombea urais ukawa kutasaisia kuwaunganisha wapinani wote maana mgombea anatoka nje ya vyama husika sasa kma alikuwa hajaafiki aliitisha press bugurunu kusifia ugombea wa lowasa ili iweje??? Kwanni mtu mnafki namna hii mnamsupport???? Kma yye ni mtu wa kufuata taratibu kma unavyodai mbona alimpitisha slaa kuwa mgombea wakiwa sebuleni kwake bila maalim kuwepo???

Double standards mkuu acha
 
Alikuwa keshaharibu na uchaguzi umepita na hayo mambo aliyasemea msikitini na siyo kwenye vikao vya CUF. Bila shaka alionywa lakini kwa kuwa ni sugu wa kutumiwa na CCM,alikaidi maonyo.
Ndiyo kwanza nakusikia wewe mkuu kuwa Lipumba alionywa kwa kile kitendo cha kuwaambia waislamu wampigie kura Kikwete.
 
Ndiyo kwanza nakusikia wewe mkuu kuwa Lipumba alionywa kwa kile kitendo cha kuwaambia waislamu wampigie kura Kikwete.
Ni mkaidi sana na ameshakuwa sugu kwenye kutumiwa na CCM. Wewe inakuwaje unautaka Urais lakini kumbe kila siku unafanya Kampeni Kikwete amshinde Slaa. Ni aibu sana hata kwa wale wanaomuunga mkono hivi sasa!
 
Hahahahahaha hv ukisema mwanasiasa jabari aliyebaki wa upinzani Tanganyika Lipumba ni number moja rudi maktaba kapekue ni mwanasiasa gani aliyeanzisha vuguvugu la kisiasa ambalo Dr Slaa alikuja kucopy na chadema kutake over 2010 - 2015 chini ya katibu mkuu Dr Slaa cjuh kama nafasi ya Dr slaa chadema walishaijaza? au bado ipo wazi

Hakuna mwanasiasa Tanganyika aliyefikia record ya Lipumba kuanzia kisiasa na kiharakati za kisiasa
Wakati wake CUF bara viti vya ubunge havikuwahi kuzidi viwili. SAWA!
 
Sasa si nlishakwambia kuwa jitihada zilifanywa ja upinzani ambapo TCD walikutana na kikwete na alikubaliana nao kuwa mabadiliko yangefanyika baada ya hapo bungeni pia walidai mabadiliko hayo ila kutokana na ubabe wa ccm hawakuheshim makubalaiano ya TCD na kikwete ya august 2014 sasa kipi hasa ulitaka upinzani wafanye watambulike kisheria?????

2. Unasema walikubaliana kwenye viambaza kumpitisha lowasa nje ya utaratibu unasahau lipumba naye kabla ya mchakato wa lowasa alisema wazi kabisa walienda nyumbani kwake pamoja na slaa na kahangwa kukubaliana nani agombea na wote wakakubaliana slaa agombee sasa hyo njia aliotumia lipumba kumpitisha slaa kugombea urais ilikuwa formal?????

Tukija kwa issue ya lowasa jamani mbona ni lipumba aliyeitisha press conference kumkaribisha lowasa ina maana alikaribisha bila kutaarifiwa kuhusu ujio wa lowasa??? Mbona hta alipoteuliwa kuwa mgombea urais lipumba akiwa buguruni alisema lowasa kugombea urais ukawa kutasaisia kuwaunganisha wapinani wote maana mgombea anatoka nje ya vyama husika sasa kma alikuwa hajaafiki aliitisha press bugurunu kusifia ugombea wa lowasa ili iweje??? Kwanni mtu mnafki namna hii mnamsupport???? Kma yye ni mtu wa kufuata taratibu kma unavyodai mbona alimpitisha slaa kuwa mgombea wakiwa sebuleni kwake bila maalim kuwepo???

Double standards mkuu acha
Bwana mkubwa makubaliano ya Kikwete na TCD yalikuwa kwa kuwa kunauwezekano mchakato wa katiba mpya usikamilike kwa muda basi baadhi ya vipengele vinavyoonekana kukubalika na kusaidia uchaguzi kuwa wa huru na hak, vitengenezee ili ujadiliwe na Bunge la Jamhuri ya Muungano na vitumike katika uchaguzi wa 2015. unajua nini kilitokea wanaojidai wajuaji walisusa bunge na wakaingia kwenye uchaguzi.

Ni kweli kulikuwa na mazungumzo ya Dk. Slaa na Lipumba juu nani agombee kimkakati ili kuing'oa CCM na walipokubaliana waliazimia jambo hili liende kwenye vikao vya kikanuni kwa kila chama husika. Wakisubiri kuitishwa kwa vikao hivyo gia zikabadilishwa angani.

Sio double standard ila Lowassa ametambulishwa kwa mara ya kwanza kwenye Kamati kuu bila mjumbe yeyote kujua wakiwa kwenye kikao wakaambiwa na Mbowe kuna mgeni huko nje anataka kujiunga na Chadema akamtambulishwa. "sisi tulidhani anajiunga na Chama halafu taratibu za kawaida za kumpata mgombea zingefuata nilistukia anatangazwa ndio mgombea wa UKAWA" by Dr W Slaa. Watu walikuwa wanasubiri taratibu kufuatwa siku ya pili yake Maalim na Duni wakaonekana Masaki kwenye kikao na Lowassa, Lipumba hana habara anasubiri taratibu. Jioni Press Conference Lowassa anatangazwa Mgombea kupitia Ukawa Duni Mgombea mwenza. tusiwe tunasahau mapema. Tulijali zaidi kutafuta ushindi tukaziba macho na masikio kujua madhara ya kufanya vitu bila kufuata taratibu za katiba za vyama, tukubali hilo lilikuwa ni kosa kibinadamu.
 
Aliishaanza kupoteza uaminifu tangu alipomuunga mkono Kikwete uchaguzi 2005. Wenzio waliokuwepo huwalizagi swali hilo.
Lipumba aliweza kufanya hivyo kwa sababu hizo ndiyo ajenda za cuf,huo ndiyo udini wa cuf.
 
Nani anawatumia?? Kma wanatumika mbona mliwaingiza serikalini mpaka wakashika wizara nyeti??? Kma walikuwa na nia mbaya si wangeivuruga nchi walipokuwa mawaziri wa SUK??? mkuu acheni visababu vya kidini ukweli ni kwamba CUF sio ya kidini ila ina mizizi zanzibar ndio maana utaona wengi ni waislam ila haimaanishi ni ya waislam pekee na ndio maana ilipigiwa kura hta maeneo ambapo ukristo upo hayo ya udini wameshagundua ni propaganda za ccm maana hta chadema ilipoanza kuwa tishio wakadai ni ya wakristo na wachagga!!!
seif anatumika na chadema,anataka kuwauzia ukanda wa pwani ya tanganyika,ibra anatumiwa na ccm,wakiamini ataweza kuwazuwia chadema kwa mwavuli wa ukawa kuibeba pwani ambayo ni ngome ya cuf..by the way udini upo tz
 
Back
Top Bottom