Mb-one
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 880
- 1,279
habari zenu wakuu..
naomba ushauri juu ya uchaguzi wa magari haya ...yani kati ya toyota corona na toyota vitz.
kutokana na kipato kidogo ndugu yangu ameamua kuniuzia kati ya hayo magari..,kwa maana ya CORONA kwa tsh mil 2 yenye namba inayoanzia na A na yenye cc1490 na VITS kwa mil 3.5 yenye namba inayoanzia na B na yenye cc990. Naomba nipate ushauri juu ya gari ipi niichukue..!!!!
Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu,mbarikiwe JF
naomba ushauri juu ya uchaguzi wa magari haya ...yani kati ya toyota corona na toyota vitz.
kutokana na kipato kidogo ndugu yangu ameamua kuniuzia kati ya hayo magari..,kwa maana ya CORONA kwa tsh mil 2 yenye namba inayoanzia na A na yenye cc1490 na VITS kwa mil 3.5 yenye namba inayoanzia na B na yenye cc990. Naomba nipate ushauri juu ya gari ipi niichukue..!!!!
Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu,mbarikiwe JF