engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Emmanuel S Jonathan, Engine capacity 1997cc ni sawa na 2000cc kwa matumizi ya mafuta ni nzuri si sawa na ile ya Japan ambayo ni Zaidi ya 2000cc.
Engine capacity 1997cc ni sawa na 2000cc kwa Matumizi ya mafuta ni nzuri si sawa na ile ya Japan ambayo ni Zaidi ya 2000cc.
Insurance (bima) kama ni private inatoshanaomba kujua kwa gari mpya inahitaji kuwa na stika gani ili iweze tembea barabarani.
Nadhan OPA(Toyota) na OPAL/OPEL ni aina tofaut za magariLibaba OPAL siyo mchezo, inachagua vituo vya mafuta (wewe utakuwa na undugu wa karibu na BP tu). kuhusu spare sijajua sana ila nilishawahi kusikia watu wanasema eti vifaa vyake ni aghali.
Subiri watu wengine wachangie pia. yangu ni hayo tu
As i wrte, ni 16.8m (DUTY & VAT INCL)Nahitaji kujua bei ya IST new model ya 2007 Inauzwaje kwa Dar. Sio kwa mtu.
Sio opal amesema toyota opa mbona ni gari ya kawaida tu aina shida sana kama unaichukua kutoka JapanLibaba OPAL siyo mchezo, inachagua vituo vya mafuta (wewe utakuwa na undugu wa karibu na BP tu). kuhusu spare sijajua sana ila nilishawahi kusikia watu wanasema eti vifaa vyake ni aghali.
Subiri watu wengine wachangie pia. yangu ni hayo tu
BP si ndo imebadilishwa jina na kuwa Puma nadhni sasa inaitwa Puma maana mpaka kwenye visima vyake kule bandai vimeandikwa PumaBP imekufa, hapa Tanzania haipo,zimebaki rangi za BP ndugu yangu. Sasa hivi mafuta ni chakachua kwa kwenda mbele.
Puma ilikuwepo wakati BP ikifanya bz hapa Bongo kama Oryx ilivyokuja kuinunua Agip.BP si ndo imebadilishwa jina na kuwa Puma nadhni sasa inaitwa Puma maana mpaka kwenye visima vyake kule bandai vimeandikwa Puma
Hakunaga kitu kama hicho. Majina sahihi ni:Natafuta gari, Suzuki Rush, au Suzuki Terios
Naombeni Ushauri ndugu zangu, katika hizi nne ipi bora na itafaa kwa sisi wagangaji wa njaa. Ningependa pia kama mtanieleza uzuri na ubaya wa kila gari hapo. Nawasilisha View attachment 1070599
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia yangu ni watu watano, (mke na watoto watatu) mizunguko yangu ni kawaida kabisa (kazini, outing, kanisani, kwenda mkoani kipindi cha likizo eg Dar Songea, kuhusu barabara niko nje ya mji ambako Barabara sio smooth kihivyoKabla ya kukushauri, labda ungeweka wazi machache ilituweze kupata picha halisi itakayowawezesha na wachangiaji wengine kushauri.
1.Ukubwa wa familia/idadi ya watu unao takiwa kuwa unapakiza mara kwa mara
2. Wingi wa mizunguko yako
3. Hali ya barabara unayoitumia kwa kiwango kikubwa (mara kwa mara)
Ukiweza kujibu hata, atleast itasaidia na wengine kutoa mchango wao wa ushauri.
Ahsante
Basi, Toyota Voltz Itakufaa zaidi. Maana ina uvumilivu wa hali ya juu sana. Karibu uiagize kupitia Semsella Enterprises kutokea be forward uweze kupata nafasi ya kuilipia kwa malipo ya awamu awamu ya hadi miezi saba.Familia yangu ni watu watano, (mke na watoto watatu) mizunguko yangu ni kawaida kabisa (kazini, outing, kanisani, kwenda mkoani kipindi cha likizo eg Dar Songea, kuhusu Barabara. Niko nje ya mji ambako Barabara sio smooth kiivo