Dhambi hiyo jamaa yangu yaani unadhani tunapenda kuwa wa UDOM.......Hiyo kesi mbona haieleweki sasa, au mie wa udom
Reason itakuwa kibao alichopigwaHold up, ina maana jamaa kafunguliwa kesi kwa sababu mkewe ni mvivu na mchafu?
Huyo ashashindikana tu kama mtu hapendi kuoga ahata ukimualika......kazi ipo hapo na kibao kitamfundisha jamaa kuwa njia ya kibao sio sahihi kwa aina ya mwanamke aliyenayeHuyo rafiki yako angeamka mapema wakati mkewe anahangaika na mtoto akasafisha nyumba ingekuwaje? Di inahitaji mikono 2 na miguu 2 kufanya usafi? Sioni sex organ ikitumika hapo. Halafu angekuwa anamualika mkewe kuoga pamoja haoni kama angembadilisha. Kuna njia zaidi ya moja kutatua tatizo, kupiga haijawahi fanya kazi kwa mtu mzima.
Pole ndugu, halikuwa lengo langu kukuumizamo.Dhambi hiyo jamaa yangu yaani unadhani tunapenda kuwa wa UDOM.......
Kwa shambulio la kudhuru mwiliHold up, ina maana jamaa kafunguliwa kesi kwa sababu mkewe ni mvivu na mchafu?
Uliona wapi. Wanaume wa bara wakamsaidia mkewe kazi? ni full mfumo dume tu. Kwa kwenda mbeleHizo ni hasira tu za mkewe zikipungua atajutia uamuzi wake kwa kufikia hatua hiyo ni dhahiri mwanamke amechoka sana na kazi za nyumbani,ofcn,malezi ya watoto,jamaa alitakiwa kumsaidia mkewe kazi ndogo ndogo mpaka beki3 arudi lakini ukiendekeza ukubwa na maguvu mwisho ndio kama hivo.
Usijudge upande mmoja maana kuna watu wanatabia ya kuongeza maneno ili yeye aonekane descentDah walimu kumbe nawenyewe wachafu hivyo vyombo vyasiku tano dah! alafu usikute huko shuleni anafundisha somo lasayansi
Just kidding dude. I'm trying to imagine the feeling of being an alumni of UDOM.Pole ndugu, halikuwa lengo langu kukuumizamo.
lisemwalo lipo nakama halipo ujue lakaribiana naukwelUsijudge upande mmoja maana kuna watu wanatabia ya kuongeza maneno ili yeye aonekane descent
Hapo hakuna haja ya ushauri bali mwanamke akishakufungulia kesi huyo si mke tena pambana naye kama adui mwingine yeyote. Isitoshe ukiona hivyo ujuwe nyuma yake kuna mtu tayariLeo nilikuwa na rafiki yangu jioni alinipigia simu niende kwani alikuwa amegombana na mke wake.
Huyo mkewe akaondoka akamuacha na mtoto wa miezi 3 mpaka saa 3 usiku bado huyo mkewe hajarudi tokea saa 11.
Sasa kanpgia simu mkewe karudi but kwa maongez aliyoyaskia mkewe akiongea na mama yake ni kwamba huyo mwanamke kamfungulia kesi polisi na ana RB ya jamaa..but jamaa kasema haendi kokote anasubiri akamatwe may be tomorrow.
KOSA: huyo mkewe kwa maelezo ya jamaa ni mvivu sana na ni mchafu na wote wanafanyakazi.
Mkewe ni mwl..binti wa kaz amesafiri kdogo sasa jamaa anadai asbh nyumba ilikuwa chafu sana vyombo vinanuka vya siku tano vimerundkwa.
Mkewe mwenyewe kuoga ni shida mara moja per day, mswaki mzozo jamaa asbh akamuwakia mkewe akamjbu hana muda jamaa kamrushia kibao mkewe kwa maelezo ya jamaa akamtukana pumbavu jamaa aliwaka vibaya.
Ndo jion wamerud kazn mara mkewe nduki hakujua anaenda wapi at ze end ndo alchorudi nacho.