EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Leo nilikuwa na rafiki yangu jioni alinipigia simu niende kwani alikuwa amegombana na mke wake. Huyo mkewe akaondoka akamuacha na mtoto wa miezi 3 mpaka saa 3 usiku bado huyo mkewe hajarudi tokea saa 11.
Sasa kanipigia simu mkewe karudi but kwa maongezi aliyoyaskia mkewe akiongea na mama yake ni kwamba huyo mwanamke kamfungulia kesi polisi na ana RB ya jamaa but jamaa kasema haendi kokote anasubiri akamatwe may be tomorrow.
KOSA: Huyo mkewe kwa maelezo ya jamaa ni mvivu sana na ni mchafu na wote wanafanyakazi. Mkewe ni mwalimu, binti wa kazi amesafiri kidogo sasa jamaa anadai asubuhi nyumba ilikuwa chafu sana vyombo vinanuka vya siku tano vimerundkwa.
Mkewe mwenyewe kuoga ni shida mara moja per day, mswaki mzozo jamaa asubuhi akamuwakia mkewe akamjbu hana muda jamaa kamrushia kibao mkewe kwa maelezo ya jamaa akamtukana pumbavu jamaa aliwaka vibaya.
Ndo jioni wamerudi kazini mara mkewe nduki hakujua anaenda wapi at ze end ndo alichorudi nacho.
Sasa kanipigia simu mkewe karudi but kwa maongezi aliyoyaskia mkewe akiongea na mama yake ni kwamba huyo mwanamke kamfungulia kesi polisi na ana RB ya jamaa but jamaa kasema haendi kokote anasubiri akamatwe may be tomorrow.
KOSA: Huyo mkewe kwa maelezo ya jamaa ni mvivu sana na ni mchafu na wote wanafanyakazi. Mkewe ni mwalimu, binti wa kazi amesafiri kidogo sasa jamaa anadai asubuhi nyumba ilikuwa chafu sana vyombo vinanuka vya siku tano vimerundkwa.
Mkewe mwenyewe kuoga ni shida mara moja per day, mswaki mzozo jamaa asubuhi akamuwakia mkewe akamjbu hana muda jamaa kamrushia kibao mkewe kwa maelezo ya jamaa akamtukana pumbavu jamaa aliwaka vibaya.
Ndo jioni wamerudi kazini mara mkewe nduki hakujua anaenda wapi at ze end ndo alichorudi nacho.