Ushauri unahitajika: Nikajiendeleze kielimu au niendelee na kazi zangu

Sic March

JF-Expert Member
Mar 2, 2019
690
895
Salaam kwa wakubwa na wengne wa makamo yangu natumain mu wazima

Mimi ni kijana wa makamo nilimaliza elimu yangu miaka 5 iliopita ikanibidi nikomae mtaani

Ila kwa sasa nina akiba ya Milioni 1.5, sasa nikawa nimepata wazo la kujiendleza kielimu katika chuo moja wapo kwa course ya Community Development

Kilichonileta hapa kwenu ni Jambo moja pekee binafsi Nina kazi nayofanya na ndio inanipa company hapa na pale

Nimefikiria sana je nikasome au niendelee na kazi zangu tu hayo yote nawaza ni kutokana na hali ilivo nikaona itakuwa vizuri nikapata ushauri kidogo kwa wajuzi na wakubwa wangu
 
Kama kusoma chuo kunakulazimu kuacha kazi si kushauri ufanye ivo

Ila sikiliza nafsi yko inakuambia nini kama unaona kuna njia do it.
 
Au labda ungetuambia matarajio yako baada ya kuongeza hiyo elimu ni yapi.
Kuna wadau huko juu wamekushauri kama kusoma hakutaathiri kazi yako basi endelea na wazo hilo nami nakazia hapohapo[/QUOTE]
 
Hongera kwa kupata hilo wazo

Lakini ukiona unafanya jambo bila kujibu swali la kwanini na fanya hili ni jambo kuna kuwaga na tatizo na unaweza kupoteza muda na kujilaumu

We jiulize swali tu kwanini nataka kusoma???

Kama unaona kuna kitu unaenda kukipata zaidi kuliko hicho ulichonacho basi kaanze kusoma lakini kama hakuna mimi kwa upande wangu sikushauri.
 
Ushauri ni huu anza sasa kujiandaa na maisha ya ustaafu ata ukiwa below 30s.. maana kudai mafao ni moja ya kitu kinachoweza kukuthoofu na kukuongezea msongo wa mawazo
 
Hongera kwa kupata hilo wazo

Lakini ukiona unafanya jambo bila kujibu swali la kwanini na fanya hili ni jambo kuna kuwaga na tatizo na unaweza kupoteza muda na kujilaumu

We jiulize swali tu kwanini nataka kusoma???

Kama unaona kuna kitu unaenda kukipata zaidi kuliko hicho ulichonacho basi kaanze kusoma lakini kama hakuna mimi kwa upande wangu sikushauri.
Kiukweli Kuna vitenda huwa napata lakin vinahitaji niwe na vyeti lkin Sina maana Kuna watu huwa wananipa connection lkn wanashindwa kutokana na Sina chochote
 
Au labda ungetuambia matarajio yako baada ya kuongeza hiyo elimu ni yapi.
Kuna wadau huko juu wamekushauri kama kusoma hakutaathiri kazi yako basi endelea na wazo hilo nami nakazia hapohapo
[/QUOTE]Sawa kaka
 
Salaam kwa wakubwa na wengne wa makamo yangu natumain mu wazima

Mimi ni kijana wa makamo nilimaliza elimu yangu miaka 5 iliopita.ikanibidi nikomae mtaani

Ila kwa sas Nina akiba ya mil.1.5 sas nikawa nimepata wazo la kujiendleza kielimu katika chuo moja wapo kwa course ya community development

Kilichonileta hapa kwenu ni Jambo moja pekee binafs Nina kaz nayofanya na ndo inanipa company hapa na pale

Nimefkria Sana je nikasome au niendelee na kaz zangu tu hayo yote nawaza ni kutokana na Hali ilivo nikaona itakuwa vzur nikapata ushaur kidogo kwa wajuzi na wakubwa wangu
Hongera kwa wazo la kujiendeleza kielimu kwani ni mtaji usiokwisha na kamwe hutojutia utakachokitoa katika eneo hili.

Chuo Kikuu huria yaani Open University of Tanzania,Ni moja kati ya taasisi mkombozi wa watu kama wewe mkuu,Kinakupa fursa ya kujisomea popote ulipo ilihali unaendelea na shughuli zako nyingine.Mnakutana kupitia mtandao na baada ya hapo ni kipindi cha mitihani ndio utafika kituoni kwa ajili ya kufanya mitihani.

Kama hutojali ingia kwenye website yao ya www.out.ac.tz kuna mengi utayapata,au zaidi wasiliana na namba hii 0719 017254(Andika ujumbe mfupi tu ).

Youth Worker
HArdness,Teaches
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom