Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Wee!! jamaa km ulikuwa unamkuna vizuri jiandae kurogwa tu!!!! mademu wakipoteza chenye thamani wanaumiaga sana!! anajua wenzake wanafaidiUpo sahihi ndugu.Ndio maana nipo hapa kuomba ushauri
cha kufanya nenda kwa kaluma nzila tena siyo mmoja ukapate kinga!! ndo ufanye michakato mingine hao si watu!! wewe ndo unajua jinsi ulivo kuwa unamkuna! km alikuwa hafurahii machejo usiwe na wasi!