KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,098
- 1,745
Habari wakuu poleni na majukumu
Naomba ushauri mdogo wangu amemaliza chuo Bachelor degree in Electrical engineering mwaka 2018. MUST
Ila ana Diploma ya electrical engineering.
Baada ya kumaliza mwaka 2018, Mungu akamjaria akapata ajira Tanesco(2019) kwa cheti cha Diploma as (Technician) ila ni ya Temporary mkataba wa mwaka then ana renew sasa ivi ni mkataba wa 2 Now!
Analipwa around 790K,
Tamisemi waliopo Tangaza ajira za ualimu aliomba kwa cheti cha Bachelor na amepagwa Tanga Tech.
Ambapo analipwa around 750K ni ajira ya kudumu (permanent) vitu kama Bima ect viko offered ukilinganisha na hapo awali ambapo alikua hapati
Hapa ananiomba ushauri je aachane na Tanesco au aendelee
Maana akienda ualimu watu wa HESLB watapita nae na makoroni kibao
Salary itakua ndogo ila security ya kazi ni kubwa
Au abaki Tanesco apate take home ya 680,000/= pamoja na overtime + safari
Ila security ya kazi ni ndogo
Maana alisha niambia yeye na DM wake hawaelewani vzr ni Mtu anaemchukulia poa plus zengwe kibao
Nimshauri kipi karibuni
Naomba ushauri mdogo wangu amemaliza chuo Bachelor degree in Electrical engineering mwaka 2018. MUST
Ila ana Diploma ya electrical engineering.
Baada ya kumaliza mwaka 2018, Mungu akamjaria akapata ajira Tanesco(2019) kwa cheti cha Diploma as (Technician) ila ni ya Temporary mkataba wa mwaka then ana renew sasa ivi ni mkataba wa 2 Now!
Analipwa around 790K,
Tamisemi waliopo Tangaza ajira za ualimu aliomba kwa cheti cha Bachelor na amepagwa Tanga Tech.
Ambapo analipwa around 750K ni ajira ya kudumu (permanent) vitu kama Bima ect viko offered ukilinganisha na hapo awali ambapo alikua hapati
Hapa ananiomba ushauri je aachane na Tanesco au aendelee
Maana akienda ualimu watu wa HESLB watapita nae na makoroni kibao
Salary itakua ndogo ila security ya kazi ni kubwa
Au abaki Tanesco apate take home ya 680,000/= pamoja na overtime + safari
Ila security ya kazi ni ndogo
Maana alisha niambia yeye na DM wake hawaelewani vzr ni Mtu anaemchukulia poa plus zengwe kibao
Nimshauri kipi karibuni