Ushauri unahitajika kuhusu hii kazi ninayofanya

koba lee

JF-Expert Member
Sep 29, 2016
964
1,552
Habarin za saa hizi wakuu
Nimekuja hapa nipate ushaur wenu na mawazo pia. Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa katika sekta binafsi kampuni flani ya wahindi ambayo ni kubwa hapa Tanzania na nje pia.

Niko katika kampuni hii kwa miaka mitano mpk sasa, lakini ndugu zangu mnajua wahindi mishara yao japo kaz ninayofanya ni kubwa sana ya kutumia akili na ndo msingi wa hii kampuni,

Nafanya kaz zaid ya masaa nane kwa siku lkn shida kubwa ni huyu boss wng,ni mtu flan ambaye hajali kile ninachokifanya, kitu kidgo ashaliamsha dude, yeye ni kufoka kitu kidogo ashakua mbogo, ma-managers wenzie wote tunaheshimiana mpaka mabosi wake waliojuu wanaheshimu kitu ninachokifanya,

Lakini kwa huyu ni tofauti sana, japo najua kuwa kaz ni uvumilivu lakini unavumilia kutokana kile unacholipwa. Mshahara ni mdogo bado mtu unakufanya ufanye kazi pressure juu, ukipatia tisa ukakosea moja anza kujionea huruma Naomba niulize hivi maboss wote wako hivi au ni huyu tu
Nawasilisha.
 
una miaka mitano kazini, kazi nyingi mshahara mdogo, muda wote huo kwanini usitafute kazi sehemu nyingine au boss kakuekea limbwata!
kama huna mpango wa kutoka hapo kazini chakufanya ni kumpuuza huyo kanjibai, usioneshe kumdharau. msikilize lakini usiweke maanani jambo analokwambia.
jikaze.
 
Tatizo unajiona mkubwa kuliko kampuni.
Mbaya zaidi umekua na mawazo kwamba wewe ndio uti wa mgongo wa hiyo kampuni.
Problem inakuja pale unapokua na mawazo kwamba ukiondika kampuni itayumba.
Sio kwel mkuu,sijajiona mm ni mkubwa kuliko kampuni haiwezi kutokea,mpk naongea haya maanake mambo yanazid kwenda mrama,kampuni hii nimeikuta na hata nikiondoka itazid kuwepo
 
una miaka mitano kazini, kazi nyingi mshahara mdogo, muda wote huo kwanini usitafute kazi sehemu nyingine au boss kakuekea limbwata!
kama huna mpango wa kutoka hapo kazini chakufanya ni kumpuuza huyo kanjibai, usioneshe kumdharau. msikilize lakini usiweke maanani jambo analokwambia.
jikaze.
Asante sana mkuu,afu mpk hua nawaza kuna limbwata nn hapa limehusika maana hata kutafuta kaz sehem nyingne hua sishughuliki kabisa
 
Mkuu, Wahindi 'wote' ndio wako hivyo. Ukifanya kazi na Muhindi au Mkaburu, tegemea kupelekeshwa, kofokewaa na things like that.
Sijawahi kuona Mhindi alipe mshahara mkubwa. Dawa ni kumwibia ndio utajirike. Otherwise anza kutafuta kazi sehemu nyingine ili kuepuka hayo...
 
Mkuu, Wahindi 'wote' ndio wako hivyo. Ukifanya kazi na Muhindi au Mkaburu, tegemea kupelekeshwa, kofokewaa na things like that.
Sijawahi kuona Mhindi alipe mshahara mkubwa. Dawa ni kumwibia ndio utajirike. Otherwise anza kutafuta kazi sehemu nyingine ili kuepuka hayo...
Asante mkuu
 
Mtandika ngumi moja ya pua...... Au mtandike kofi moja uchanganye mdomo na Pua...
 
Back
Top Bottom