Verifier
JF-Expert Member
- Aug 14, 2019
- 457
- 1,503
Wewe unasemaje kwani?Una kiwanja Bunju lakini kwa sasa unaishi kwa kaka. Umepata mchumba mnategemea kufunga ndoa. Bugdet ya harusi mliyonayo mkononi ni milioni 10. Hii ni pesa wachumba waliweka kwa pamoja kwa miaka miwili.
Hawataki michango wameomba zawadi kwa atakaeweza. Mama wa mke anataka watumie milioni 2 kwa harusi simple na milioni nane wajenge nyumba ya nyuma kwenye kiwanja chao.
Maharusi wanasita, ingawa walipanga harusi ndogo lakini si ya milioni 2.