Wengi wamesema mengi. Wacha nami nitoe ushauri.
Kwanza nashangaa imekuwaje serikali yenye nguvu inasitasita kutoa maamuzi ya kimamlaka kushughulikia hawa wanaoitwa wamachinga. Serikali ina vyombo vya dola na mamlaka zote kuhakikisha Machinga wanaondoka maeneo yasiyo halali kufanyia biashara. Sheria za mipango miji ziko wazi.
Kama walivyoondolewa waliojenga kwenye maeneo hatarishi pale Magomeni Dar es Salaam inashindikana vipi kuwafurumusha hawa? Swala moja linachukua miezi sita? Why all these delays? Kwa wamachinga nawashauri wachane kusuguana na serikali kwani ina nguvu kuliko wao.
Warudi vijijini huko kuna mashamba yenye rutuba na yanafaa kwa kilimo na kuongeza tija ktk uzalishaji mali, biashara na ukuaji wa uchumi kwa mtu mmoja mmoja na hatimaye kwa Taifa.
Angalizo: Wamachinge msirudie tena kutumika kisiasa. Vinginevyo mtaendelea kuonja joto la Jiwe miaka nenda miaja rudi.
Kwanza nashangaa imekuwaje serikali yenye nguvu inasitasita kutoa maamuzi ya kimamlaka kushughulikia hawa wanaoitwa wamachinga. Serikali ina vyombo vya dola na mamlaka zote kuhakikisha Machinga wanaondoka maeneo yasiyo halali kufanyia biashara. Sheria za mipango miji ziko wazi.
Kama walivyoondolewa waliojenga kwenye maeneo hatarishi pale Magomeni Dar es Salaam inashindikana vipi kuwafurumusha hawa? Swala moja linachukua miezi sita? Why all these delays? Kwa wamachinga nawashauri wachane kusuguana na serikali kwani ina nguvu kuliko wao.
Warudi vijijini huko kuna mashamba yenye rutuba na yanafaa kwa kilimo na kuongeza tija ktk uzalishaji mali, biashara na ukuaji wa uchumi kwa mtu mmoja mmoja na hatimaye kwa Taifa.
Angalizo: Wamachinge msirudie tena kutumika kisiasa. Vinginevyo mtaendelea kuonja joto la Jiwe miaka nenda miaja rudi.