Huyu mdada kanichosha
alikua mpenzi wangu wa zamani tukaachana kisa anamichepuko mingi,na uchunguzi nilioufanya hawez acha michepuko yake
aliniumiza kichwa sana hadi kunipelekea kukesha baa ili nipoteze mawazo kwa yale alienitenda
Huyu mdada nimemtukana sana lakini bado HAELEWI SOMO.kifupi tu huyu mdada nimemtukana sana ili anipotezee lakini wapi,
imefika point hadi akipiga sipokei,akituma sms sijibu, niliitoa laini yangu kwa miezi mi 3 ili asinipate hewani lakini siku nikiiweka tu,YUMO.na kununua laini nyingne siwez coz hii laini inawatu muhimu sana na naitumia katika biashara zangu
mbaya zaidi kadri anavyonipigia,tuma text sometime hua akili ya kumludia inakuja lakini nikikumbuka aaaa siwez aisee
wakuu huyu mtu nimwambie nini ili aelewe?
ushauri wenu muhimu
alikua mpenzi wangu wa zamani tukaachana kisa anamichepuko mingi,na uchunguzi nilioufanya hawez acha michepuko yake
aliniumiza kichwa sana hadi kunipelekea kukesha baa ili nipoteze mawazo kwa yale alienitenda
Huyu mdada nimemtukana sana lakini bado HAELEWI SOMO.kifupi tu huyu mdada nimemtukana sana ili anipotezee lakini wapi,
imefika point hadi akipiga sipokei,akituma sms sijibu, niliitoa laini yangu kwa miezi mi 3 ili asinipate hewani lakini siku nikiiweka tu,YUMO.na kununua laini nyingne siwez coz hii laini inawatu muhimu sana na naitumia katika biashara zangu
mbaya zaidi kadri anavyonipigia,tuma text sometime hua akili ya kumludia inakuja lakini nikikumbuka aaaa siwez aisee
wakuu huyu mtu nimwambie nini ili aelewe?
ushauri wenu muhimu