joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #61
Nimeuaribu kivipi Rena?, mbona unakwenda vizuri tusi huu uzi!
Nimeuaribu kivipi Rena?, mbona unakwenda vizuri tusi huu uzi!
Huyu ni wewe Geza ama Mkenya amehack account yako?Uganda ndo jibu bado Uganda wana mazoea na Bandari ya Mombasa (over 90% of their cargo) na mpaka tutakapokuwa na Mabenki yetu Uganda na SGR kukamilika ndo tunaweza kushindana na Kunyaland vizuri ila so far bado na ukizingatia proximity kati ya Kampala na Nairobi!
Mshikaji ana-cramHuna data umeandika hisia huna ulichofatilia huna unacho kijua
Jambo lingine ambalo mumesahau Geza Ulole Mbolabilika na wewe Joto ni Kwamba TZ ina ports 4 ilhali Kenya na Uganda zinashare port moja kwa jina la Mombasa port.Kaka kama hujui kwamba Bandari ya Mombasa inahudumia mizigo mingi kwa mwaka kuliko Dar, basi ninakusamehe kwa MOYO mkunjufu huu uzi haukufai, kuwa mtazamaji inatosha.
port 4 zipi hizo?Jambo lingine ambalo mumesahau Geza Ulole Mbolabilika na wewe Joto ni Kwamba TZ ina ports 4 ilhali Kenya na Uganda zinashare port moja kwa jina la Mombasa port.
Samahani nimekosea kidogo hamna ports 4 kwenye Indian Ocean. Mna bandari 3 zilizo kwenye bahari la hindi. Dar, Mtwara na Tanga.port 4 zipi hizo?
Mnajenga mpaka lini Lamu port tangu Kibaki era?Samahani nimekosea kidogo hamna ports 4 kwenye Indian Ocean. Mna bandari 3 zilizo kwenye bahari la hindi. Dar, Mtwara na Tanga.
Kumbuka Kenya na Uganda zinatumia port moja tu kwa jina la Mombasa port. Tunajenga Lamu port. Pengine hiyo italeta competition kwa Mombasa port katika siku za usoni.
Samahani nimekosea kidogo hamna ports 4 kwenye Indian Ocean. Mna bandari 3 zilizo kwenye bahari la hindi. Dar, Mtwara na Tanga.
Kumbuka Kenya na Uganda zinatumia port moja tu kwa jina la Mombasa port. Tunajenga Lamu port. Pengine hiyo italeta competition kwa Mombasa port katika siku za usoni.
Bado haijibu swali la kwanini Mombasa iwe na cargo kubwa kuliko Dar. Kumbuka ni bandari ya Dar tu ndio inayotumika kupitisha mizigo ya hizo nchi za nje, Tanga zaidi ni kupitishia mafuta na bandari ya Mtwara sasa hivi ndio imeanza kutumika kusafirishia korosho na Sementi ya Dangote.Jambo lingine ambalo mumesahau Geza Ulole Mbolabilika na wewe Joto ni Kwamba TZ ina ports 4 ilhali Kenya na Uganda zinashare port moja kwa jina la Mombasa port.
Si hata afadhali ungeniitisha latest pictures za Lamu port badala ya kuongea matope.Mnajenga mpaka lini Lamu port tangu Kibaki era?
View attachment 1566093
DP World Completes 400 Meter Expansion Of Somaliland’s Berbera Port.
13th August 2020 Godfrey Ivudria0 Comments
DP World this week announced the completion of a 400-meter expansion of the Berbera port in Somaliland.
The Dubai Port Company that is contracted to expand the port said once operational, it will increase the terminal’s capacity by 500,000 TEUs per year and further strengthen Berbera as a major regional trade hub servicing the Horn of Africa.
In a tweet, DP World stated: “We have just completed a 400m quay and a new extension at Berbera Port, Somaliland. Once operational, it will increase the terminal’s capacity by 500,000 TEUs per year and will further strengthen Berbera as a major regional trade hub servicing the Horn of Africa.”
The news has elicited excitement within the Somaliland government with the vice president Abdirahman Abdilahi saying: “As Deputy President of Somaliland and on behalf of the people, words can’t express my great excitement about the nearing completion of the Berbera port expansion. my gratitude goes to the Sheikhs of the UAE and the DP World.”
DP world, the Dubai based world’s largest port operator is the key player in the rebuilding of Berbera, they have invested $442 million for the expansion of the port and are also the economic free zone. It has projected to complete work by February next year.
In 2017 when the original agreement was signed, the CEO of DP World Mr. Sultan Ahmed bin Sulayem drew a parallel between the growth of Dubai and the development path Somaliland is on and added “Our vision is to make Berbera a trading and transportation hub for the Horn of Africa.”
Berbera port is among the few corridors in the Horn of African region, which serves for both military and commercial purposes.
The Berbera Port was built in 1964 by the Soviet Union and further expanded by the United States of America (USA) in 1982. It has served for both the Soviet Union and the U.S military within a span of 20 years.
Once completed, facilities and service will surpass those in the neighbouring Djibouti according to the contractors.
According to the DP World, the port will be able to handle the biggest ships compared to the other ports in the region and will complement activities at the Port of Djibouti and the Lamu Port which is also under expansion in the coast of Kenya.
The Berbera Port expansion is the largest investment in Somaliland since it parted ways with Somalia in 1991.
Work on the port expansion has reduced due to the measures put in place in the fight against the spread of the deadly coronavirus but the Somaliland government and the DP World have projected all facilities will be ready for operation early 2021.
“We are very much on course. Of course the coronavirus has affected the speed at which we were on, but we will soldier on and deliver the most modern port facility in Berbera,” an official of the DP World said.
The Berbera port expansion, designed to equip the Somaliland port for major vessels and transform it into one of Africa’s pre-eminent facilities.
Expansion of the port started early last year with the first phase at a cost $101 million.
Federico Banos-Linder, Vice President External Relations, DP World, said once the port is done, Somaliland will be one of the biggest and most modern players in the maritime industry in the Horn of Africa.
“Already with phase one of the three phases done, we have increased the container capacity by 50 per cent and pushed volumes by 70 per cent which is a massive improvement.
“We are now exporting 4 million livestock from 1.5 million just less than a year ago,” said Banos-Linder.
Total investment of the two phases will reach $442m. The port’s current capacity is around 150,000 twenty-foot equivalent units [a measure of ships container carrying capacity] and is set to expand to 450,000 TEUs once development is complete.
DP World firm will also create an economic free zone in the surrounding area, targeting a range of companies in sectors from logistics to manufacturing, and a $100m road-based economic corridor connecting Berbera with Wajaale in Ethiopia
“Our aim is to make this an important regional hub for the maritime industry in the Horn of Africa,” DP World chairman and Chief Executive Officer Sultan bin Sulayem said.
“We are within schedule in our work,” he added.
DP World holds a 51 per cent stake in the Berbera port, while Ethiopia holds 19 per cent and Somaliland the rest.
DP World completes 400 meter expansion of Somaliland's Berbera Port. - East African Business Week
MY TAKE
In a span of 3 years the port is running whereas Lamu port was launched over 8 years back during kibaki era and yet not complete!
LAPSSET Corridor: President Kibaki launches 18.5bn euro Lamu port project - Kenya Engineer
Lamu mwaka wa nane first 3 berths r not ready!Si hata afadhali ungeniitisha latest pictures za Lamu port badala ya kuongea matope.
Jiulize mnapitisha tani ngapi ya mizigo kupitia Tanga na Mtwara. Hiyo mizigo sio kidogo. Transhipment inayofanyika bandari ya Mombasa ni kidogo sana na haiwezi kutueleza ni kwa nini Dar inapokea mizigo kidogo. Nadhani sababu ni kuwa Dar ina competition kutoka Mtwara na TangaBado haijibu swali la kwanini Mombasa iwe na cargo kubwa kuliko Dar. Kumbuka ni bandari ya Dar tu ndio inayotumika kupitisha mizigo ya hizo nchi za nje, Tanga zaidi ni kupitishia mafuta na bandari ya Mtwara sasa hivi ndio imeanza kutumika kusafirishia korosho na Sementi ya Dangote.
Sababu inayoweza kuleta maana ni hiyo ya kwamba meli kubwa zilikua hazifiki Dar, zinashusha mizigo ya Tanzania hapo Mombasa ndio meli ndogo ndogo zinachukua na kuleta Dar.
Ngoja nijaribu kulifanyia kazi wazo lako, inaonekana linaweza kuwa ni kweliJiulize mnapitisha tani ngapi ya mizigo kupitia Tanga na Mtwara. Hiyo mizigo sio kidogo. Transhipment inayofanyika bandari ya Mombasa ni kidogo sana na haiwezi kutueleza ni kwa nini Dar inapokea mizigo kidogo. Nadhani sababu ni kuwa Dar ina competition kutoka Mtwara na Tanga
Ni kazi rahisi sana. Kwenye google tafuta statistics za Tanga port kisha utafute statistics za Mtwara port kisha uzijumuishe pamoja. Hapo utajua hizi port mbili zinanyang'anya Dar tani ngapi za mizigo. Halafu uje utupe majibu.Ngoja nijaribu kulifanyia kazi wazo lako, inaonekana linaweza kuwa ni kweli
Juzi nilikuuluza swali ukajitia hamnazo, sasa leo nakuuliza tena..Mnajenga mpaka lini Lamu port tangu Kibaki era?
View attachment 1566093
DP World Completes 400 Meter Expansion Of Somaliland’s Berbera Port.
13th August 2020 Godfrey Ivudria0 Comments
DP World this week announced the completion of a 400-meter expansion of the Berbera port in Somaliland.
The Dubai Port Company that is contracted to expand the port said once operational, it will increase the terminal’s capacity by 500,000 TEUs per year and further strengthen Berbera as a major regional trade hub servicing the Horn of Africa.
In a tweet, DP World stated: “We have just completed a 400m quay and a new extension at Berbera Port, Somaliland. Once operational, it will increase the terminal’s capacity by 500,000 TEUs per year and will further strengthen Berbera as a major regional trade hub servicing the Horn of Africa.”
The news has elicited excitement within the Somaliland government with the vice president Abdirahman Abdilahi saying: “As Deputy President of Somaliland and on behalf of the people, words can’t express my great excitement about the nearing completion of the Berbera port expansion. my gratitude goes to the Sheikhs of the UAE and the DP World.”
DP world, the Dubai based world’s largest port operator is the key player in the rebuilding of Berbera, they have invested $442 million for the expansion of the port and are also the economic free zone. It has projected to complete work by February next year.
In 2017 when the original agreement was signed, the CEO of DP World Mr. Sultan Ahmed bin Sulayem drew a parallel between the growth of Dubai and the development path Somaliland is on and added “Our vision is to make Berbera a trading and transportation hub for the Horn of Africa.”
Berbera port is among the few corridors in the Horn of African region, which serves for both military and commercial purposes.
The Berbera Port was built in 1964 by the Soviet Union and further expanded by the United States of America (USA) in 1982. It has served for both the Soviet Union and the U.S military within a span of 20 years.
Once completed, facilities and service will surpass those in the neighbouring Djibouti according to the contractors.
According to the DP World, the port will be able to handle the biggest ships compared to the other ports in the region and will complement activities at the Port of Djibouti and the Lamu Port which is also under expansion in the coast of Kenya.
The Berbera Port expansion is the largest investment in Somaliland since it parted ways with Somalia in 1991.
Work on the port expansion has reduced due to the measures put in place in the fight against the spread of the deadly coronavirus but the Somaliland government and the DP World have projected all facilities will be ready for operation early 2021.
“We are very much on course. Of course the coronavirus has affected the speed at which we were on, but we will soldier on and deliver the most modern port facility in Berbera,” an official of the DP World said.
The Berbera port expansion, designed to equip the Somaliland port for major vessels and transform it into one of Africa’s pre-eminent facilities.
Expansion of the port started early last year with the first phase at a cost $101 million.
Federico Banos-Linder, Vice President External Relations, DP World, said once the port is done, Somaliland will be one of the biggest and most modern players in the maritime industry in the Horn of Africa.
“Already with phase one of the three phases done, we have increased the container capacity by 50 per cent and pushed volumes by 70 per cent which is a massive improvement.
“We are now exporting 4 million livestock from 1.5 million just less than a year ago,” said Banos-Linder.
Total investment of the two phases will reach $442m. The port’s current capacity is around 150,000 twenty-foot equivalent units [a measure of ships container carrying capacity] and is set to expand to 450,000 TEUs once development is complete.
DP World firm will also create an economic free zone in the surrounding area, targeting a range of companies in sectors from logistics to manufacturing, and a $100m road-based economic corridor connecting Berbera with Wajaale in Ethiopia
“Our aim is to make this an important regional hub for the maritime industry in the Horn of Africa,” DP World chairman and Chief Executive Officer Sultan bin Sulayem said.
“We are within schedule in our work,” he added.
DP World holds a 51 per cent stake in the Berbera port, while Ethiopia holds 19 per cent and Somaliland the rest.
DP World completes 400 meter expansion of Somaliland's Berbera Port. - East African Business Week
MY TAKE
In a span of 3 years the port is running whereas Lamu port was launched over 8 years back during kibaki era and yet not complete!
LAPSSET Corridor: President Kibaki launches 18.5bn euro Lamu port project - Kenya Engineer
Pipeline mwaka wa tatu huu bado mnazinduaLamu mwaka wa nane first 3 berths r not ready!
Crap...Huko ndiko nisikotaka kupekenyua, nimesema kwa kila mtu mwenye kufuatilia kwa undani, atagundua ukweli upo wapi kati ya hizi nchi mbili, hata wewe kama unafuatilia utagundua ukweli upo wapi?, au wewe ni mpaka mtu atangazwe na kunyenyuliwa mkono juu kama kwenye mchezo wa Ngumi?, hata huko kwenye mchezo wa ngumi pia watu wanapinga na kukataa matokeo hata baada ya bingwa kutangazwa na kunyenyuliwa mkono huu
Wengine wetu tuko busy mchana. Inabidi tuchangie majioniMbona wakenya siku hizi wamekua wanyonge hawataki kuchangia mijadala Educative kama hii?.
Daaah kuna maswali mengine bana . Sasa unazani kauliza takwimu za nini? Daah sijui watu mnafikiriaga kwa kichwa cha chini au cha juuTakwimu zipi?, kwamba Mombasa port inapokea mizigo mingi kuliko Dar?
Saa zingine una ujinga sana. Mtu mwenye akili timamu atauliza "je ujenzi wa Lamu port umefikia wapi?". Lakini wazimu tu ndio anaweza sema kuwa mradi umekwama kwa sababu unaenda polepole. Hata mradi wa Umeme wa Ethiopia wa Gerd ulianza 2011 na bado haujakamilika lakini huwezi sikia mtu akisema kuwa mradi huo haupo au umekwama. Ujenzi wa sea wall wa lamu port umekamilika. Yaani mahali ambapo crane zinakuwepo umekamilika kwa berth zote tatu. Sasa huoni kama hio ni progress? Imebaki mchanga kujazwa na kisha container terminal kujengwa.Lamu mwaka wa nane first 3 berths r not ready!