Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Sijui kati ya mimi na wewe nani anafahamu mradi wa lapsset kushinda mwingine. Obviously mradi wa lapsset inalenga Kenya kwanza kabla ya kulenga hizo nchi zingine. Halafu nyinyi Watanzania mlikuwa mnataka mradi huu usitishwe lakini serikali ya Kenya imeamua kutumia pesa yake kuijenga na sasa mradi unaisha. Wivu wenu haitazuia mradi kujengwa. Nimeshasema, Mombasa port inahitaji msaidizi. Mombasa port inahandle cargo nyingi kushinda port zote za Tanzania kwa hivyo ni ujinga mtupu kusema eti Lamu port haitapata cargo. Hio backlog ya Mombasa port itapungua Lamu port itakapoanza kazi. Turnaround ya Mombasa port itaimprove na Waganda watawacha kabisa kutumia port ya Dar. Mganda atakuwa anapokea mzigo wake masaa 24 baada ya kutua Kenya.
Sasa maana ya LAPSSET project ninini?,
Hili tatizo lenu la kupenda kukaidi vitu vya wazi kabisa na kujifanya wajuaji ndio sababu mnaishia kufanya miradi mwisho mnaishia njiani. Mlionywa sana kuhusu SGR lakini mlizidi kung'ang'ana kama mnavyofanya sasa hivi katika Lamu Port.

Nilishawahi kukuambia siku za nyuma kwamba, katika projects za Kanya ambazo hazina faida ni hii Lamu port pamoja na Mombasa - Nairobi highway, na huku Tanzania ni mradi wa Bagamoyo Port pamoja na reli ya TANGA, Arusha hadi Musoma, kwasababu hii miradi ni duplication ya miradi iliyopo.

Bandari ya Mombasa na Dar es Salaam zinatosha sana kwa zaidi ya Miaka 50 ijayo kwa mahitaji ya hizi nchi, muhimu ni kuzipanua na kuongeza kasi ya kuondoa mizigo bandarini, ndio sababu wachina waliotaka kujenga Bagamoyo port walitaka bandari zingine zisiboreshwe ili kukwepa competition.

Ninakuhakikishia 100% Lamu Port haiwezi kutengeneza faida kama ilivyo SGR, itagawana mizigo na Mombasa Port mwisho bandari zote mbili zitapata hasara.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa maana ya LAPSSET project ninini?,
Hili tatizo lenu la kupenda kukaidi vitu vya wazi kabisa na kujifanya wajuaji ndio sababu mnaishia kufanya miradi mwisho mnaishia njiani. Mlionywa sana kuhusu SGR lakini mlizidi kung'ang'ana kama mnavyofanya sasa hivi katika Lamu Port.

Nilishawahi kukuambia siku za nyuma kwamba, katika projects za Kanya ambazo hazina faida ni hii Lamu port pamoja na Mombasa - Nairobi highway, na huku Tanzania ni mradi wa Bagamoyo Port pamoja na reli ya TANGA, Arusha hadi Musoma, kwasababu hii miradi ni duplication ya miradi iliyopo.

Bandari ya Mombasa na Dar es Salaam zinatosha sana kwa zaidi ya Miaka 50 ijayo kwa mahitaji ya hizi nchi, muhimu ni kuzipanua na kuongeza kasi ya kuondoa mizigo bandarini, ndio sababu wachina waliotaka kujenga Bagamoyo port walitaka bandari zingine zisiboreshwe ili kukwepa competition.

Ninakuhakikishia 100% Lamu Port haiwezi kutengeneza faida kama ilivyo SGR, itagawana mizigo na Mombasa Port mwisho bandari zote mbili zitapata hasara.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nenda kasome project plan ya lapsset kisha uje useme purpose ya lapsset ilikuwa ni gani.
 
Tatizo lako wewe unatumia hisia pekee bila kuwa na data za kuthibitisha, miaka yote bandari kubwa duniani ilikua ni Rotterdam in Netherlands, nchi ambayo haipo katika Top ten ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani, sasa hivi bandari kubwa zaidi ipo China sio Marekani ambayo ina uchumi mkubwa. Jaribu kufikiria kwanza sio lazima uzungumze kitu kama huna uhakika. Uchumi mkubwa hautoshi kuwa ndio sababu. Africa nchi yenye uchumi mkubwa ni Nigeria, lakini bandari kubwa ipo South Africa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio hutumiagi akili Ila ushabiki,kuwa na uchumi mkubwa ni factor muhimu tena kuu lakini haitoshi maana unaweza kuwa na uchumi mkubwa kwa kutumia bidhaa moja ambayo ina command price kubwa Kama mafuta kwa Nigeria. Suala hapa ni volume ya biashara ambayo inahusu bidhaa mbalimbali hapo ndipo unaikuta S.A na China kwa mujibu wa mifano yako.
Huku kwetu Uchumi mkubwa wa Kenya plus Volume ya biashara baina yake na majirani ni kubwa licha ya kwamba hao majirani ni njaa kali hususani majirani wanaotumia bandari ya Dar.Hiyo Rotterdam ilibebwa na uchumi mkubwa na volume ya biashara zinazopitia kwake kwenda nchi za jirani.
Wewe kwa akili yako unadhani uchumi wa DRC kwa mfano ukifikia level ya Kenya unadhani activities kwenye bandari ya Dar zitafananaje? Au chukulua Uchumi wa Tzn unaifikia Kenya na uwe export oriented unategemea volume ya bandari ya Dar itakuaje? Kitu ambacho hampendi kusikia hapa ni ukweli kwamba Uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko rest of EAC combined na unategemea zaidi soko la majirani kwa ku export manufactured goods,mengine yote unajizungusha zungusha tu ili usionekane unakubaliana na mtia mada.
 
Wewe ndio hutumiagi akili Ila ushabiki,kuwa na uchumi mkubwa ni factor muhimu tena kuu lakini haitoshi maana unaweza kuwa na uchumi mkubwa kwa kutumia bidhaa moja ambayo ina command price kubwa Kama mafuta kwa Nigeria. Suala hapa ni volume ya biashara ambayo inahusu bidhaa mbalimbali hapo ndipo unaikuta S.A na China kwa mujibu wa mifano yako.
Huku kwetu Uchumi mkubwa wa Kenya plus Volume ya biashara baina yake na majirani ni kubwa licha ya kwamba hao majirani ni njaa kali hususani majirani wanaotumia bandari ya Dar.Hiyo Rotterdam ilibebwa na uchumi mkubwa na volume ya biashara zinazopitia kwake kwenda nchi za jirani.
Wewe kwa akili yako unadhani uchumi wa DRC kwa mfano ukifikia level ya Kenya unadhani activities kwenye bandari ya Dar zitafananaje? Au chukulua Uchumi wa Tzn unaifikia Kenya na uwe export oriented unategemea volume ya bandari ya Dar itakuaje? Kitu ambacho hampendi kusikia hapa ni ukweli kwamba Uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko rest of EAC combined na unategemea zaidi soko la majirani kwa ku export manufactured goods,mengine yote unajizungusha zungusha tu ili usionekane unakubaliana na mtia mada.
Unaona sasa unavyobadilisha gear?, sasa muhimu ni uchumi mkubwa wa nchi yenye bandari au nchi zinazotumia hiyo and a ride?, mfano wako wa Rotterdam unaonyesha kwamba muhimu ni nchi zinazohudumiwa na hiyo bandari lakini sio nchi yenyewe yenye bandari.

Pili kuhusu bidhaa za viwandani zinazotengenezwa Kenya na kuwa exported kwa kupidia bandari ya Mombasa, ni bidhaa gani inayozalishwa katika viwanda vya Kenya na kupitie bandari ya Mombasa kuuzwa nje?.

Kaka Kenya ukiachana na Chai, Kenya kama nchi hawana exports zozote zinazotumia bandari ya Mombasa, nafuu Tanzania tuna export mazao mengi ya Kilimo kama Korosho, Katani, Kahawa, ufuta, mifugo,na vyakula. Taja Kenya wanaexport nini na vinakwenda nchi gani kwa kutumia Mombasa port?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Unaona sasa unavyobadilisha gear?, sasa muhimu ni uchumi mkubwa wa nchi yenye bandari au nchi zinazotumia hiyo and a ride?, mfano wako wa Rotterdam unaonyesha kwamba muhimu ni nchi zinazohudumiwa na hiyo bandari lakini sio nchi yenyewe yenye bandari.

Pili kuhusu bidhaa za viwandani zinazotengenezwa Kenya na kuwa exported kwa kupidia bandari ya Mombasa, ni bidhaa gani inayozalishwa katika viwanda vya Kenya na kupitie bandari ya Mombasa kuuzwa nje?.

Kaka Kenya ukiachana na Chai, Kenya kama nchi hawana exports zozote zinazotumia bandari ya Mombasa, nafuu Tanzania tuna export mazao mengi ya Kilimo kama Korosho, Katani, Kahawa, ufuta, mifugo,na vyakula. Taja Kenya wanaexport nini na vinakwenda nchi gani kwa kutumia Mombasa port?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hoja yako ya kwanza kwamba nimebadili gia angani sio kweli,wewe ndio hukunisoma vizuri mwanzo au ulisoma kwa mahaba ya kutaka ligi.Nilisema hivi Uchumi wa nchi wateja wa Tzn ni mdogo Sana which translates into small volume of business maana nyingi zinategemea commodity moja Kama madini kwa DRC na Zambia ,yale yale ya Nigeria na mafuta,ndio kusema kwamba chumi za nchi hizo zisipofanya diversification ya uchumi hakuna kitu kitabadilika kwenye activities ya bandari ya Dar labda sisi ndio tuwe na uchumi mkubwa watu wetu watumie zaidi bandari yetu
Hilo la kwamba Kenya haina kitu Cha ku export ukiacha chai kushinda Tzn Sina statistics za viwanda na sijafuatilia vizuri exports zao lakini common sense inaniambia uchumi wao sio dependant ya madini bali biashara zaidi za huduma na manufactured goods ndio maana zaidi ya nusu ya mzigo unaopita bandari yao unaushia ndani ya nchi yao.Pia kumbuka hawa Kenya ndio wawekezaji wakubwa kwenye nchi zote za Afrika mashariki na Kati kampuni zao ziko kila sehemu wanadhindana na wachina na western,imagine huku Tzn ukiacha mabenki yao Kuna Hadi kampuni zao za ulinzi binafsi za kk security na amazon group ziketaoakaa Hadi Rukwa huko
 
Hoja yako ya kwanza kwamba nimebadili gia angani sio kweli,wewe ndio hukunisoma vizuri mwanzo au ulisoma kwa mahaba ya kutaka ligi.Nilisema hivi Uchumi wa nchi wateja wa Tzn ni mdogo Sana which translates into small volume of business maana nyingi zinategemea commodity moja Kama madini kwa DRC na Zambia ,yale yale ya Nigeria na mafuta,ndio kusema kwamba chumi za nchi hizo zisipofanya diversification ya uchumi hakuna kitu kitabadilika kwenye activities ya bandari ya Dar labda sisi ndio tuwe na uchumi mkubwa watu wetu watumie zaidi bandari yetu
Hilo la kwamba Kenya haina kitu Cha ku export ukiacha chai kushinda Tzn Sina statistics za viwanda na sijafuatilia vizuri exports zao lakini common sense inaniambia uchumi wao sio dependant ya madini bali biashara zaidi za huduma na manufactured goods ndio maana zaidi ya nusu ya mzigo unaopita bandari yao unaushia ndani ya nchi yao.Pia kumbuka hawa Kenya ndio wawekezaji wakubwa kwenye nchi zote za Afrika mashariki na Kati kampuni zao ziko kila sehemu wanadhindana na wachina na western,imagine huku Tzn ukiacha mabenki yao Kuna Hadi kampuni zao za ulinzi binafsi za kk security na amazon group ziketaoakaa Hadi Rukwa huko
Kwanza nikupongeze kwa kukiri kwamba bandari ya nchi inategemea zaidi nchi zinazohudimiwa na bandari husika na sio nchi moja pekee.

Bandari ya Kenya kwa muda mrefu Sana ilikua ikihudumia nchi za Uganda, Rwanda, South Sudan na Kaskazini Mashariki mwa Tanzania na kwa kiasi kidogo nchi za Burundi, Zambia na Malawi, hii ni kutokana na ukweli kwamba baadhi ya meli kubwa zilikua hazifiki Dar es Salaam hivyo kulazimika mizigo yao kushushwa Mombasa.

Kuhusu manufacturing sector ya Kenya, sasa hivi Kenya hawana bidhaa zozote za viwandani zinazokwenda nje ukiacha, nguo na viatu ambavyo vinapitia Airport kwenda USA kupitia mpango wa AGOA.

Bidhaa za Kenya Za viwandani karibia 90% wanauza Uganda, TZ, Rwanda, Burundi, South Sudan, Sudan, na nchi za kusini mwa Afrika kupitia Tanzania. Hawazalishi bidhaa kubwa kubwa, ukiachana na Cement ambayo ni kwa ajili ya soko la ndani, bidhaa wanazozalisha Kenya ni kwa matumizi ya NYUMBANI Kama Sabuni, siagi, maziwa, mafuta ya kujipaka, dawa za meno, na zana ndogondogo za Kilimo na madawa ya kuulia wadudu, karibu vitu vyote hivi vinazalishwa Tanzania pia.

Kama utapitia katika Exports za imports za Tanzania na Kenya utagundua kwamba, hizi nchi zinakaribiana Sana katika Exports, ila Kenya imeipita Tanzania kwa mbali sana katika Imports, ndio sababu Kenya inakua na madeni mengi sana, Kenya kila kitu wanaagiza toka nje, kuanzia chakula hadi soft drinks.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom