Ushauri: UKAWA/CHADEMA waite maandamano kupima upepo wa siasa

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
4,582
2,783
Kwa hali iliyopo, nashauri UKAWA waite maandamano ili kupima kama kuna watu wanawaunga bado mitaani. Hii ni kutokana na hali inayoendelea mitandaoni kuwa UKAWA wameishia zao baada ya uchaguzi uliopita.

Tuna kumbuka wa mwitikio wa watu kwenye maandamano ulivyokuwa mkubwa kuanzia 2010 hadi 2015. Hii itasaidia pia kueneza falsafa mpya ya "mfumo" baada ya ile ya "ufisadi" iliyo koma rasmi mwaka jana.

Wanaweza anzia mikoa iliyoonyesha kuwaunga zaidi kama Mbeya, Arusha, DSM hata KLM.
 
Ukawa ugwanji mkono uko chini sana zile nyomi kwa sasa hazitaonekana kuitisha mikutano ni political suicide. Huoni hata DJ Na mama Tanzania yaani Mbatia hawataja taja umma Mara kwa Mara
 
Natamani nione maandamano ya chadema , walikuwa wanatusumbua na maandamao yakila siku saa slaa ayupo haya sasa mfanyabiashara mbowe kama namuone ,jaman mm n tajiri nina biblia na kitabu cha nyimbo pia nn buti zanga matata nitatoa kama chadema kutatokea maandamo , jamami hata mm nmezismis maandamano
 
Hakuna jinsi ya kujipima kwa muda mfupi bila kufanya hili. Pengine watasikia ili tujiandae na litmus zetu kuona kama kuna mabadiliko au hakuna.
Natamani nione maandamano ya chadema , walikuwa wanatusumbua na maandamao yakila siku saa slaa ayupo haya sasa mfanyabiashara mbowe kama namuone ,jaman mm n tajiri nina biblia na kitabu cha nyimbo pia nn buti zanga matata nitatoa kama chadema kutatokea maandamo , jamami hata mm nmezismis maandamano
 
Maandamo unayoyataka yatamchanga Magu maana atajisikia vibaya atakapoona nyomi wakati anaaminishwa kuwa watanzania wote wanamkubali yeye tu.
 
UKAWA wakiita maandamano wewe kilaza utaanza kusema wanahujumu Serikali ya Magufuli...

Kwahiyo ni vema wakuache na silly season yako ya vigelegele...
 
Dr.Slaa ndio alikuwa na gut na moral ya kuanzisha maandamano..sasa wale vibaka waliobaki pale unamuona nani anaweza kuleta zile amsha amsha na hivi hawauzi nyago live hali inazidi kuwa tete
 
Matahira ya Lumumba bana ..yanajifariji kwa kuiombea chadema mabaya ..teh teh teh mtanyooka tu ...safari hii yamewakuta teh teh teh mnakufa na tai shingoni ...ccm acheni kuvunga bana ..teh teh teh Lumumba safari hii hapakaliki ...ana wanyoosha magu na mtanyooka tu..mtajitoa ufahamu mpka mrudi kwenye mstari...
 
Wakijaribu kufanya maandamano hawatazuiwa na polisi bali watapata kichapo cha paka mwizi kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.

Ukimdistabu Magu ni kuwadistabu wananchi. Magufuli ni mwakilishi wa wanyonge.
 
UKAWA wakiita maandamano wewe kilaza utaanza kusema wanahujumu Serikali ya Magufuli...

Kwahiyo ni vema wakuache na silly season yako ya vigelegele...
Kwani maandamano si yanategemeana na mwitikio wa watu? Kama bado watu wanaona hawajapata walichohitaji wala hakuna mtu wa kuzuia, watakuja tu. Na hapa ndo inatakiwa tuanze upya kusimamisha chama chetu.
 
Maandamo unayoyataka yatamchanga Magu maana atajisikia vibaya atakapoona nyomi wakati anaaminishwa kuwa watanzania wote wanamkubali yeye tu.
Binafsi kama kweli ni wapinzani inatakiwa iwe hivyo. Ila kama tunaogopa kwa hiyo lini tutaanza?
 
mawazo yote usiyotaka kuyasikia unayaita ya Lumumba. Lakini naona wote wananyoka tu. Maana walizoea vya kunyonga.

Nimeona yule mkwe wa edo yumo na shemeji yake. Sheria haibagui kama unavyotaka. Cha msingi usiombe kukutana nayo.
Matahira ya Lumumba bana ..yanajifariji kwa kuiombea chadema mabaya ..teh teh teh mtanyooka tu ...safari hii yamewakuta teh teh teh mnakufa na tai shingoni ...ccm acheni kuvunga bana ..teh teh teh Lumumba safari hii hapakaliki ...ana wanyoosha magu na mtanyooka tu..mtajitoa ufahamu mpka mrudi kwenye mstari...
 
Kwa hali iliyopo, nashauri UKAWA waite maandamano ili kupima kama kuna watu wanawaunga bando mitaani. Hii ni kutokana na hali inayoendelea mtandaoni kuwa UKAWA wameisha zao baada ya uchaguzi uliopita.

Tuna kumbuka mwitikio wa watu kwenye maandamano ulivyokuwa mkubwa kuanzia 2010 hadi 2015. Hii itasaidia pia kueneza falsa mpya ya "mfumo" baada ya ile ya "ufisadi" iliyo koma rasmi mwaka jana.

Wanaweza anzia mikoa iliyoonyesha kuwaunga zaidi kama Mbeya, Arusha, DSM hata KLM.
hiki sio kipindi cha kikwete na sera zake za kukuza demokrasia. atakayeleta fyokofyoko kukiona cha moto-magufuli!
 
Back
Top Bottom