mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hi Wanajamvi, hebu nipeni ushauri maana napata hasira,
Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo
Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo