Ushauri: Ujasirimali na HR management

mama dunia

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
420
84
Hi Wanajamvi, hebu nipeni ushauri maana napata hasira,

Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo
 
una watrain mambo gani? unatakiwa kujenga mazingira ya wao kuona kwamba hapo kwenye kampuni yako kuna future, kwa maana ya kwamba, kuna job security, kuna fursa za kukua kwa maana ya kuongezeka kipato na kufanya kazi nyingi zaidi, wafanyakazi wanataka hayo tu kiongozi.

ama sivyo train them more and more, na hakikisha unakuwa wafanyakazi wazuri kwenye key areas na uwalipe vizuri, ukiendeleza mchezo wako wa kumaxmise profit kwa kuwalipa wafanyakazi wako kidogo ujue unajiandalia frustration zaidi.
 
Hi Wanajamvi, hebu nipeni ushauri maana napata hasira,

Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo
Umepungukiwa na neno moja mama angu " How to make your employees Stay" that didn't sound like one word lakini...anyway ni pm maybe I can be of help.
 
Umepungukiwa na neno moja mama angu " How to make your employees Stay" that didn't sound like one word lakini...anyway ni pm maybe I can be of help.

Ex kidumu umesema eti utaimsaidia bedroom? Haya mie napita tu
 
Don Mangi 01:05 Yesterday
By King'asti:
Ex kidumu umesema eti
utaimsaidia bedroom? Haya mie
napita tu
ex kidumu bado una wivu na mie
eeeh?

.......Mnaingiza mahaba kwenye thread ya mama dunia wa watu.....!!
 
Last edited by a moderator:
mama dunia Pole sana na naelewa hali unayoipitia.. kwa mjasilia mali mdogo au wa kati .. hiyo ni hali ya kawaida kabisa .. kwanza hongera kwa kufanya on job training ni wajasiliamali wachache wanaofanya hivyo...

Pili sikushauri kuongeza dau kwa wafanyakazi wako kama kipato hakiruhusu.

Tatu... jaribu kubadilisha mikataba ya ajira.. ipe thamani training yako na wakati wa kusaini ajira ... mwajiliwa anatakiwa a commit to pay back your training cost in cash endapo ataondoka... hapo hutawabana wafanyakazi kutotoka au mwajili mpya kulipia training cost kama atataka kuajili wafanyakazi wako..


Kwa sasa ni hayo tu ... mengine ni PM .... karibu katika timu ya wajasilia mali
Hi Wanajamvi, hebu nipeni ushauri maana napata hasira,

Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo
 
Last edited by a moderator:
mama dunia Pole sana na naelewa hali unayoipitia.. kwa mjasilia mali mdogo au wa kati .. hiyo ni hali ya kawaida kabisa .. kwanza hongera kwa kufanya on job training ni wajasiliamali wachache wanaofanya hivyo...

Pili sikushauri kuongeza dau kwa wafanyakazi wako kama kipato hakiruhusu.

Tatu... jaribu kubadilisha mikataba ya ajira.. ipe thamani training yako na wakati wa kusaini ajira ... mwajiliwa anatakiwa a commit to pay back your training cost in cash endapo ataondoka... hapo hutawabana wafanyakazi kutotoka au mwajili mpya kulipia training cost kama atataka kuajili wafanyakazi wako..
i

Ushauri mzuri sn ni wengi tunakumbana na tatizo hilo, kwa kuongezea inategemea na aina ya biashara/kazi yako wakati mwingine ajiri anayependa commited person pia awe na uwezo wa kuelewa au kujiendeleza lakini std 7 tu au form 4 failure kabisa kiasi kwamba ni ngumu kuwa na link na activities nyingine japo ni wagumu wa kuelewa kwangu mm std 7 ndio high commited and reliable kuliko wote japokuwa pia wana drawback zao nyingi less confidence n.k.
 
mama dunia Pole sana na naelewa hali unayoipitia.. kwa mjasilia mali mdogo au wa kati .. hiyo ni hali ya kawaida kabisa .. kwanza hongera kwa kufanya on job training ni wajasiliamali wachache wanaofanya hivyo...

Pili sikushauri kuongeza dau kwa wafanyakazi wako kama kipato hakiruhusu.

Tatu... jaribu kubadilisha mikataba ya ajira.. ipe thamani training yako na wakati wa kusaini ajira ... mwajiliwa anatakiwa a commit to pay back your training cost in cash endapo ataondoka... hapo hutawabana wafanyakazi kutotoka au mwajili mpya kulipia training cost kama atataka kuajili wafanyakazi wako..


Kwa sasa ni hayo tu ... mengine ni PM .... karibu katika timu ya wajasilia mali

are you serious au unajifurahisha kuandika,by the way huwezi kumzuia mtu kuondoka kazini
 
COURTESY wa TZ wengi hatuajili kwa mikataba ya maandishi ndio maana unaona ushauri wangu hauwezekani..

Kwa wenzetu na hata serikalini wakikupa training unasaini mkataba wa kuitumikia ofisi au serikali kwa miaka kadhaa kurudisha gharama za training .. uwezi unalipia....

Ni Rahisi sana unaweka mkataba wako vizuri wakati wa kuajili na unaweka cost zako za training wazi na unamsainisha mfanyakazi kila apatapo training/ on job traing...

siku ya kutaka kuacha kazi unamkumbusha kuwa anatakiwa akulipe / na kama akitoroka labda usijuwe ameenda wapi lakini ukijuwa una haki ya kutaka mwajili mpya akulipe gharama zako


Ni maandishi tu yanatushinda wa Tz ndio maana mikataba mingi tunaingia mikenge

are you serious au unajifurahisha kuandika,by the way huwezi kumzuia mtu kuondoka kazini
 
Last edited by a moderator:
una watrain mambo gani? unatakiwa kujenga mazingira ya wao kuona kwamba hapo kwenye kampuni yako kuna future, kwa maana ya kwamba, kuna job security, kuna fursa za kukua kwa maana ya kuongezeka kipato na kufanya kazi nyingi zaidi, wafanyakazi wanataka hayo tu kiongozi.

ama sivyo train them more and more, na hakikisha unakuwa wafanyakazi wazuri kwenye key areas na uwalipe vizuri, ukiendeleza mchezo wako wa kumaxmise profit kwa kuwalipa wafanyakazi wako kidogo ujue unajiandalia frustration zaidi.

Thanks Sangarara, nina watrain mambo ya marketing, yani kuhusu job security may be wanahisi hapana usalama am not sure ila malipo ni ya kawaida kwakuwa siwezi walipa sana kwakuwa huwezi lipa zaidi wakati unajua wewe unapata kiasi gani, mie mara nyingi nakuwa open nawashirikisha katika mambo yote ya kampuni mfano kama kuna mradi umepatikana etc, tena nao wanaaandikaga hizo profomas etc sipendi kuficha ficha..
 
mama dunia Pole sana na naelewa hali unayoipitia.. kwa mjasilia mali mdogo au wa kati .. hiyo ni hali ya kawaida kabisa .. kwanza hongera kwa kufanya on job training ni wajasiliamali wachache wanaofanya hivyo...

Pili sikushauri kuongeza dau kwa wafanyakazi wako kama kipato hakiruhusu.

Tatu... jaribu kubadilisha mikataba ya ajira.. ipe thamani training yako na wakati wa kusaini ajira ... mwajiliwa anatakiwa a commit to pay back your training cost in cash endapo ataondoka... hapo hutawabana wafanyakazi kutotoka au mwajili mpya kulipia training cost kama atataka kuajili wafanyakazi wako..


Kwa sasa ni hayo tu ... mengine ni PM .... karibu katika timu ya wajasilia mali

Asante Muonamambo, kweli hii point, unajua namie nilishafikiria nikajaribu kumuuliza mwanasheria mmoja kwamba nitawabanaje akaniambia kisheria sijui haiwezekani ndo akanikata maini, ila hapo uliposema ni kweli ngoja nije nimcontact tena advocate mmoja anipe mwongozo zaidi maana ni kweli inauzi sana asikwambie mtu!

Kwenye kuongeza mshahara inakuwa ngumu kwakweli maana unajipiga pale unapoweza,asante sana nimepata kit
 
Ushauri mzuri sn ni wengi tunakumbana na tatizo hilo, kwa kuongezea inategemea na aina ya biashara/kazi yako wakati mwingine ajiri anayependa commited person pia awe na uwezo wa kuelewa au kujiendeleza lakini std 7 tu au form 4 failure kabisa kiasi kwamba ni ngumu kuwa na link na activities nyingine japo ni wagumu wa kuelewa kwangu mm std 7 ndio high commited and reliable kuliko wote japokuwa pia wana drawback zao nyingi less confidence n.k.

NImeajiri wote wa3 graduates, mmoja ndo certificate, ila ndo hivo,,,sasa Silicon nitajauje kama mtu yupo committed or not, yani before kuanza job, maana during interview mtu anavyokuwa hehehe yaani yupo committed over 100%
 
COURTESY wa TZ wengi hatuajili kwa mikataba ya maandishi ndio maana unaona ushauri wangu hauwezekani..

Kwa wenzetu na hata serikalini wakikupa training unasaini mkataba wa kuitumikia ofisi au serikali kwa miaka kadhaa kurudisha gharama za training .. uwezi unalipia....

Ni Rahisi sana unaweka mkataba wako vizuri wakati wa kuajili na unaweka cost zako za training wazi na unamsainisha mfanyakazi kila apatapo training/ on job traing...

siku ya kutaka kuacha kazi unamkumbusha kuwa anatakiwa akulipe / na kama akitoroka labda usijuwe ameenda wapi lakini ukijuwa una haki ya kutaka mwajili mpya akulipe gharama zako


Ni maandishi tu yanatushinda wa Tz ndio maana mikataba mingi tunaingia mikenge

COURTESY ni kweli unavyosema nakumbuka mwalimu mmoja alikuwaga pale ardhi university kaajiriwa si akaenda kusomeshwa UK na chuo, jamaa si akazamia kumbe huku alishasain mkataba wa kuwa lazima urudi kufundisha atleast 2 yrs after kumaliza PHD, kwanini wasimfatilie ilikuwa kasheshe sana!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom